Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Wahi kwa mwamposa mbwaaa wewe utaanza kubweka sasasasa😅😅😅🙌
Hahahaaa, kama watu mijini walivyo na wanasheria mm nina kalumanzila wangu ameshaweka shield za kutosha
 
Kuna mkoa nilienda nikaunganishwa na pisi moja ya moto Sana, baada ya makubaliano ikasema twende kwake. Nikaingiza miss kidogo, Ila baadae Yule aliyeniunganisha nae akanihakikishia usalama, coz nilikuwa namuamini kutokana tunafanya kazi taasisi moja nikakubali. Kutoka nje pisi imepaki matako ya nyani tukazama kwake AISEEE nilichokikuta ni hatari Sana.
Malizia
 
Nilimblock 😔😔
Wanaume wengi huku jf hawajakuelewa, ila mm nimekuwa, wanaume tukipata pesa tunadhani ndo kila kitu, na tunaweza attract kila mwanamke, hata kama tuna vitambi shepu na sura mbaya, tukichunwa tunakuja kulia humu jf Depal
 
Hakuna kinachowauma wanawake kama alimkataa mtu ujanani kisa hana pesa na nyumba, then baada ya miaka ikapita akakutana na aliyemkataa zamani akiwa yupo juu yaani ameyapatia maisha.
Hii ni kweli kabisa
 
Mfano mzuri yupo mwamba anajiita captango instagram anamiliki mahoteli zanzibar na kampuni za tours, akiwa down alitoswa na demu aliambiwa na demu hana future kipindi hicho ni masikini hana kitu, hio speech ilimuumiza Sana alikuwa kampenda Sana huyo demu ikampa spirit ya kupambana leo ni tajiri. Wasichokielewa watoto wa kike maisha hayasimama akikuona leo upo down huna kitu wao ukariri ndo ushafeli hivyo dharau kibao.
Kusota ni miaka kutoka ni siku moja tu.
Nini huyo, unamuona Naseeb Abdul yaani Diamond. Hii alitoa Hadithi yake kabisa akihadithia akasema kipindi akiwa Naseeb alikuwa anapitia maisha ya chini sana sasa kuna demu alikuwa anamuelewa sana. Huyu demu alikuwa hajamuelewa diamond so akawa anamlia vihela vyake vidogo vidogo.

Ila kuna siku huyu demu akamtolea uvivu diamond akamchana live kuwa hawezi kuwa na yeye maana ana mtu ambaye anatarajia kumposa ataolewa huko yeye bado kinda na hajimudu so hataweza kumuweka ndani.

Diamond kwa majonzi sana alirejea kwa mama yake akiwa na huzuni akaanza kulia katika mikono ya mama yake akijiuliza amekosea nini hadi kuambiwa vile.

Anasema mama yake alimfariji tu na kumwambia avumilie maumivu yataisha atapata mchumba mwingine.

Fast-forward leo hii. Huyo dada popote alipo anajisikiaje. Na ni miaka zaidi ya kumi na imepita. Diamond anaruka na pisi kali na akitaka kuoa leo wadada watapanga msululu hapa na chalinze.

Sijui yupo hali gani si ajabu amezalishwa na kuachwa.
 
Huwa vina kauli fulani hivi eti vinajibu "sijamaliza mambo yangu, nikimaliza ndiyo nitaingia kwenye ndoa". Utadhani vina mipango fulani amazing kumbe uzinzi tu.
Ukikafuatilia sasa hayo anayosema ni mambo yake. Upumbavu mtupu, ni kuvizia Serengeti lite na Desperado za bure huko kwenye mitoko ya kumendea, vinapenda kupewa pewa offer, kupewa lift kwenye magari ya watu ambao wana wake zao, kuvaa nguo za mitego ili viitwe.

Yaani vimeweza sana kuipa uzito ile maana ya neno Foolish age.
 
Ukikafuatilia sasa hayo anayosema ni mambo yake. Upumbavu mtupu, ni kuvizia Serengeti lite na Desperado za bure huko kwenye mitoko ya kumendea, vinapenda kupewa pewa offer, kupewa lift kwenye magari ya watu ambao wana wake zao, kuvaa nguo za mitego ili viitwe.

Yaani vimeweza sana kuipa uzito ile maana ya neno Foolish age.
Balaa
 
Back
Top Bottom