Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Asante mkuu,ndo njia yangu pia huenda nilistahili kupita au nimepita bahati mbaya
Mara nyingi mapito ni matokeo ya maamuzi, yanayotokana na matumizi ya akili, tunapaswa kuwa very smart linapokuja swala la maamuzi makubwa makubwa, Sasa unakuta mdada umeingia kwenye mahusiano na mtu in few months unabeba mimba, upo serious kweli???
Kuwa kwenye mahusiano sio kosa lakini kubeba mimba bila mipango au Kwa kudanganywa ubebe ni kosa kubwa sanaaa!

Na hapa ndipo wanawake wengi mnakwama sana
 
Mara nyingi mapito ni matokeo ya maamuzi, yanayotokana na matumizi ya akili, tunapaswa kuwa very smart linapokuja swala la maamuzi makubwa makubwa, Sasa unakuta mdada umeingia kwenye mahusiano na mtu in few months unabeba mimba, upo serious kweli???
Kuwa kwenye mahusiano sio kosa lakini kubeba mimba bila mipango au Kwa kudanganywa ubebe ni kosa kubwa sanaaa!

Na hapa ndipo wanawake wengi mnakwama sana
Asante mkuu,nimepata kitu
 
No kuwa single mother hakuhusiani kabisa. Kwahiyo unadhani singo maza hawatamani ndoa? [emoji16]
Wengi wao hawataki ndoa wanataka kudanga ili kulea mtoto wake, single mother aina hii wanakuwa wamezalishwa na Mume wa mtu au Wamezalishwa na hawapewi huduma ya mtoto, Ukiona single mother anatamani kuolewa ujue Baba mtoto wake anatoa huduma kwa mtoto kwa %99.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wanataka mwanaume mwenye gari na nyumba life start at 40.
Wanaume wenye nyumba na gari kuwakuta single ni nadra Sana.
Labda wapore mme wa mtu au wanabahatike kupata mwanaume aliyekosea kuoa, au aliyefiwa.
 
Wengi wao hawataki ndoa wanataka kudanga ili kulea mtoto wake, single mother aina hii wanakuwa wamezalishwa na Mume wa mtu au Wamezalishwa na hawapewi huduma ya mtoto, Ukiona single mother anatamani kuolewa ujue Baba mtoto wake anatoa huduma kwa mtoto kwa %99.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Sio kila anaedanga lengo ni kulea mtoto alienae. Wanadanga kwa sababu ndio maisha yao hata akipewa matunzo atadanga tu kama ni mdangaji
 
Af naona kama zimeanza kufanya kazi vile, sababu ujue sijawah take serious kabisa. Ila leo kuna mambo kaniambia asbh na mchana bado yanazunguka kichwani ndo maana nikaona hadi nipost uzi hapa labda yataondoka
Kua makini kijana mwenzangu hasa ao wanawake wa huko uzaramuni watakuingiza shimoni
 
Huwa nacheka sana mnaposema neno "KUANDIKIWA". So mkiwa wadogo umri wa kuanzia miaka 16 hadi kabla ya 30 vile mnavyokuwa mnakataa kusettle na vijana wa size yenu, ambao kwa sasa ukitazama wote wameshaoa na wanafamilia, kipindi mkiitwa kwa heshima mnajikausha au kujibu kwa kupuuza, kipindi vijana wanajitoa kuwafukuzia kwa miezi mnawajibu "ila mimi nakuchukulia kama kaka yangu" ile hali mnawavulia nguo wanaume wenye ndoa zao tena mababa wa rika sawa na baba zenu, kipindi mnaruka na hawa mabishoo wa mjini, wakati mkifanya haya yote mlikuwa ndio mnaandikiwa au ilikuwaje yaani huwa sielewi hivi visingizio vya kipuuzi huwa mnatoka navyo wapi.

Kimsingi ikifika muda wa kulipia hesabu huwa mnaanza kuja na hoja za kipopoma sana.
Nailed it, 🤾🤾🤾🤾🤾 dunk kidogo hapo
 
Kuna mkoa nilienda nikaunganishwa na pisi moja ya moto Sana, baada ya makubaliano ikasema twende kwake. Nikaingiza miss kidogo, Ila baadae Yule aliyeniunganisha nae akanihakikishia usalama, coz nilikuwa namuamini kutokana tunafanya kazi taasisi moja nikakubali. Kutoka nje pisi imepaki matako ya nyani tukazama kwake AISEEE nilichokikuta ni hatari Sana.
Ulokuta nn mkuu
 
Walio wengi wanaponzwa na ile hali ya kutaka kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri huku wakisahau kwamba inawezekana akaolewa na maisha mazuri yakamkuta huko.

Nina ndugu yangu saa hii anaenda 32 kilichobakia anawaza walau apate tu mwanaume wa kumpa mimba ili hata azae alee mwenyewe sababu hapati wa kumwambia atamwoa.
😂😂😂😂👍
 
Furaha ni mythical word. Ukitaka kujua neno Furaha limekaa kimtego tazama namna kila mtu anadefine furaha yake kwa namna yake ndipo unajua ni upumbavu wa kiakili kuingia katika Ndoa ukiwa na malengo ya kuitafuta hiyo furaha kisha eventually ukaikosa ukaona ni bora uende nje tena kuitafuta.

Ndoa ni taasisi, wanandoa wanatakiwa kujiwekeza zaidi kwenye kutekeleza majukumu yao sio kuingia kutaka kufanyiwa mambo ambayo yatawapa mrejesho wa furaha ile wanayoitafuta.

Zamani ndoa zilienda bila kujalisha furaha ilikuwapo ama la ndani ya ndoa sababu wanaume walitekeleza majukumu yao bila kukumbushwa sababu walikuwa wanaoa akina mama ambao wamefundwa kutekeleza wajibu wao hata kama nafsi zao zinavinyongo au hasira.

Nitakupa mfano nje ya maswala ya mahusiano ila ukiuelewa utapata maana ninayotaka kukupa.

Kwa mfano leo hii nitafutie mwanamke msomi ambaye ameajiriwa kwenye kampuni kubwa inayomlipa lets say 2 million ambaye atasusa kufanya majukumu ya ofisini kwake sababu tu bosi wake alimjibu vibaya, au alimfokea au alisahau kumsifia kwa kazi nzuri aliyofanya au hakutokea ofisini. Huyu mwanamke hata asemeshwe kwa dharau au kwa jeuri still utaona anafuata maagizo ya maboss wake na kutekeleza wajibu wake wa kazi bila shuruti sababu hayupo tayari kusimamishwa kazi.

Ila rejea huo mfano kwenye ndoa, wanawake hawa wa kisasa ikatokea amekosea ukamfokea, utaona namna atarespond kama sio kujibizana kwa dharau na jeuri ili achapwe makofi basi ataanza mgomo baridi kwa kukuletea viburi ndani ya Ndoa au kuanza kuleta shida kwenye mambo ya kitandani yaani ataanza kukwepa kuwajibika kama mke na ukimwambia asepe hatoona shida siajabu yeye ndie akaondoka bila kufukuzwa.

Hii inakwambia namna hakuna utayari wa wanawake wa kizazi kipya kutumikia ndoa na kuwajibika. Wanaona ni mzigo ila huko maofisini wanakuwa treated vibaya zaidi na maboss zao still wanatii na kutekeleza maagizo. But end of the day boss anamlipa tu mshahara ambao 50% ya huo mshahara huwa unagharamikia expenses za kwenda ofisini kama mavazi, saloon, na urembo mwingine, gharama za usafiri, na michango ya hapo ofisini just in case imetokea haja ya kuchangiana. Na bado mkataba wa kazi ukiexpire huyu mwanamke anarudi home kwa mume wake au kwao with nothing yaani kampuni aliyoipambania hawezi pata mgao wa urithi wala kuwa mojawapo ya wamiliki hata iwaje.

Sasa mwanamke huyu huyu mumewe ajitahidi kumfungulia biashara ambayo atatia mtaji for free, atanunua usafiri ili watumie kumpelekea na kurejesha nyumbani kutoka hapo sehemu ya biashara, chakula ataletewa na house girl, na bado akitia loss mume atajazia mtaji, na biashara ikikua yeye atakuwa ni sehemu ya wamiliki wake na ni rightful mrithi wa mali za mume wake, na biashara ikikuwa yeye atafaidika ila hizo dharau sasa kwa anayemjengea hii empire sasa pumbavu zao hawa viumbe wasio na hekima.

Kimsingi mwanamke hana akili ya kujiongoza ndio maana akiwa anatumia ubongo wake bila msaada ni kama gari linalokimbia kwa speed 220km/hr katika mteremko mkali tegemea muda wowote atapigiza somewhere na damage itakuwa ni fatality kali beyond repair.

Kuna mzee mwenye busara alinambia, Mwanamke mwenye kiburi huwa hafundishiki, anaachwa ajifunze kwa makosa yake mwenyewe. Now nimeamini aisee. Nikuwaacha tu wakosee wajifunze kwa gharama maana wameleta kiburi kufuata maandiko ya MUNGU wacha sasa wapate tamu ya matendo yao. The more tunawalaumu na kuwasema sema the more tunawapa akili ya kuzidi kukengeuka maana wao dhamira yao ni kuishi nje ya mfumo wa maadili ndicho wanachokitaka why sasa tuwalazimishe kuishi ndani ya maadili ambayo wao wenyewe hawayaamini.

So let us let them learn in Nature's language.
Nimeisoma hii point..nikaisoma tena na tena. Aisee...Igweee!! Chukua nyota zako. Japo umetusuuza na stillwire ila sio kesi. Acha tujirekebishe ili tuwe sawa.
 
Hakuna kinachowauma wanawake kama alimkataa mtu ujanani kisa hana pesa na nyumba, then baada ya miaka ikapita akakutana na aliyemkataa zamani akiwa yupo juu yaani ameyapatia maisha.
Si kama mwamposa mkuu

Daah yule mwanamke inamuuma sana kumdharau jamaa alivyokuwa masikini



Sema ndo ajifunze life starts at 40 😁😁
 
Walio wengi wanaponzwa na ile hali ya kutaka kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri huku wakisahau kwamba inawezekana akaolewa na maisha mazuri yakamkuta huko.

Nina ndugu yangu saa hii anaenda 32 kilichobakia anawaza walau apate tu mwanaume wa kumpa mimba ili hata azae alee mwenyewe sababu hapati wa kumwambia atamwoa.
Nifanyie makeke
 
Wanataka mwanaume mwenye gari na nyumba life start at 40.
Wanaume wenye nyumba na gari kuwakuta single ni nadra Sana.
Labda wapore mme wa mtu au wanabahatike kupata mwanaume aliyekosea kuoa, au aliyefiwa.
[emoji38][emoji38][emoji38] wapo boss lakini
 
Back
Top Bottom