Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio hivyo alafu anaona kamuweza kweli kweli 😂Hahaha!!! Kwamba Nazi ya kafara yeye kaungia maharage..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo alafu anaona kamuweza kweli kweli 😂Hahaha!!! Kwamba Nazi ya kafara yeye kaungia maharage..
Anakungoja kwenye kona 😂😂Hahahahahhaaa
Niwe mkweli nilipanga kuweka screenshot ya convo yake leo hapa ila roho ikakataa.Mpaka kufikia umeshusha huu uzi niwazi kuna kademu kamekukazia mkubwa 🤣🤣.
Just joking,ujumbe umewafikia
Af naona kama zimeanza kufanya kazi vile, sababu ujue sijawah take serious kabisa. Ila leo kuna mambo kaniambia asbh na mchana bado yanazunguka kichwani ndo maana nikaona hadi nipost uzi hapa labda yataondokaAnakungoja kwenye kona 😂😂
Aiseee nimecheka saan..pole mzeeNiwe mkweli nilipanga kuweka screenshot ya convo yake leo hapa ila roho ikakataa.
Convo ya Leo ilikua kali sana, mtu mwepesi angeingia mtego kiurahisi
Dawa ndio inaanza kufanya kazi hivyo, ukiwa na uwezo kuna vitu vifanye kwa tahadhari kubwa sana hasa kwa KE unaowaona wana interest na ndoa. Kuna umri KE akifikisha hata kwao wanampambania apate mtu aoe. Huko kumpambania kuna namna nyingiAf naona kama zimeanza kufanya kazi vile, sababu ujue sijawah take serious kabisa. Ila leo kuna mambo kaniambia asbh na mchana bado yanazunguka kichwani ndo maana nikaona hadi nipost uzi hapa labda yataondoka
ni kweli mkuu Teslarati ishu za hate and like ziko sana kwa wanawake, nadhani inatokana na wao kutawaliwa zaidi na emotion kuliko logic.Mwanaume kwenye late 20s hadi late 40s ndo anakua hot cake, Harvard Research zinasema hivo.
Wanawake wapo complicated sana hasa kuhusu mambo ya hate/like ila naona wanachukianaga sana kama mmojawapo amewazidi uzuri
Half american inakuwaga umri gani hasa mkuu mwanamke akifika anakuwa anapambana sana apate ndoa?Dawa ndio inaanza kufanya kazi hivyo, ukiwa na uwezo kuna vitu vifanye kwa tahadhari kubwa sana hasa kwa KE unaowaona wana interest na ndoa. Kuna umri KE akifikisha hata kwao wanampambania apate mtu aoe. Huko kumpambania kuna namna nyingi
Kwa wenye matamanio ya kuishi maisha ya ndoa ikifika 28 hajapata wa kumuoa/hajaolewa basi huwa tafrani mkuu. Nayasema haya nikiwa kwenye shinikizo la kuoa binti ana 27 yrs kwao kelele zishakua nyingi ni lini utakuja, ni lini utakuja baba ila mimi mpango huo sina kwasasa na muda ukifika hatokua yeye.Half american inakuwaga umri gani hasa mkuu mwanamke akifika anakuwa anapambana sana apate ndoa?
Haha factsHapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.
Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.
Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.
Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
nimepukapata vizuri mkuu Half american , ina maana wapo wanawake ambao hawana kabisa matamanio ya kuishi maisha ya ndoa? basi inaonesha mwanamke akifika umri fulani kama bado hajaolewa, chance ya yeye kuolewa inakuwa imepungua pungua.Kwa wenye matamanio ya kuishi maisha ya ndoa ikifika 28 hajapata wa kumuoa/hajaolewa basi huwa tafrani mkuu. Nayasema haya nikiwa kwenye shinikizo la kuoa binti ana 27 yrs kwao kelele zishakua nyingi ni lini utakuja, ni lini utakuja baba ila mimi mpango huo sina kwasasa na muda ukifika hatokua yeye.
Anayeyumba kwa kunywa whiskey hudondokea kitandani kwake. Anayeyumba kwa kunywa hizi pombe zetu hudondokea mtaroni. Fatilia mkuulakini baada ya kulewa matokeo yake wote wanakuwa droo yaani wote wanayumba yumba
Wapo wasiotamani ndoa kabisa kwa sababu wanazozijua wao.nimepukapata vizuri mkuu Half american , ina maana wapo wanawake ambao hawana kabisa matamanio ya kuishi maisha ya ndoa? basi inaonesha mwanamke akifika umri fulani kama bado hajaolewa, chance ya yeye kuolewa inakuwa imepungua pungua.
nimekupata mkuu, huwezi amini ningeweza kufikiri only ambao wamekuwa single mothers ndio wasiotamani ndoa.Wapo wasiotamani ndoa kabisa kwa sababu wanazozijua wao.
Hiyo ipo wazi mkuu umri ndio unawaamulia
alafu unajua mkuu Half american chance ya wanawake kuolewa imepungua sana. kwasababu ya vitu kadhaa, mfano population ya wanawake ni kubwa, asilimia kubwa kuwa na tabia mbaya. n.kWapo wasiotamani ndoa kabisa kwa sababu wanazozijua wao.
Hiyo ipo wazi mkuu umri ndio unawaamulia