Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
To yeye inaonekana ni mwanamke ambaye anataka mwanamume perfect ambao kihalisi hawapoNi kwenda nayo hivyo hvyo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To yeye inaonekana ni mwanamke ambaye anataka mwanamume perfect ambao kihalisi hawapoNi kwenda nayo hivyo hvyo tu
Tupo sisi 😂To yeye inaonekana ni mwanamke ambaye anataka mwanamume perfect ambao kihalisi hawapo
Sisi ndo tuliobakia ni yeye tu kuangalia nani ana nafuu 😀Tupo sisi 😂
😁 akizidi kuchelewa watabaki wanaopumua tuSisi ndo tuliobakia ni yeye tu kuangalia nani ana nafuu 😀
Unataka kusema wote uliokutana nao walikuwa wanakutupia mzigo wa kuitunza familia?Mi mwanaume perfect ni yule anahudumia familia na siyo anitegemeaye kutunza familia
Kaza kichwa hvyo hvyo 😁Tuacheni bana… ya kesho yatajipambania yenyewe
Yan niache kuringa kisa kuogopa 3rd floor 🌚
Nije kujikuta kwenye chaka sio langu, ndoa iwe ndoano🤭
nitawatafuta wote walioleta niaKaza kichwa hvyo hvyo 😁
Hawawezi kuwa na nia ile ile sisteriinitawatafuta wote walioleta nia
Tuanze upya mipango 😂
Wengine yan basi tuUnataka kusema wote uliokutana nao walikuwa wanakutupia mzigo wa kuitunza familia?
SawaHawawezi kuwa na nia ile ile sisterii
Kwan mngekula chaki ?😂😂Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
Mwalimu ni tall darkKwan mngekula chaki ?😂😂
We hukumpenda tu mwalimu wa watu itakua una undugu na mpwayungu village
Walimu wamekukosea nn😂😂😂Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
Si huwa mnazihusudu sana iweje leo useme sio kila kitu? KulikoniMwalimu ni tall dark
Ana kiforesta chake no D
Lkn ndo vile tena, unavyovitaka awe navyo na unajua kabisa viko ndani ya uwezo wake haviwezi kujipambania 😒
Ila mjue kuna nyakati pesa si kila kitu.
HawajanikoseaWalimu wamekukosea nn😂😂😂
Tuishie hapo mkuuUnataka kusema wote uliokutana nao walikuwa wanakutupia mzigo wa kuitunza familia?
Nani anazihusudu?Si huwa mnazihusudu sana iweje leo useme sio kila kitu? Kulikoni
Ungeshakua mke wa mwalimu ila ukamtosaHawajanikosea
🤣🤣
Ni huyo mwalimu mmoja tu nimemtolea mf hai wa waoaji tunavyopishana nao