Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Unataka kusema wote uliokutana nao walikuwa wanakutupia mzigo wa kuitunza familia?
Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
 
Wengine yan basi tu
Kuna huyo mmoja, alikuwa n ticha
Jioni nikipita kazini kwake unakuta ana michaki mpk kwenye nguo.
Kwani kaka ukiwa mwalimu ndio lazima ubaki na uthibitisho wa michaki??
Unamuelekeza mtu haelekei
Cha kufia nn
Kwan mngekula chaki ?😂😂
We hukumpenda tu mwalimu wa watu itakua una undugu na mpwayungu village
 
Mwalimu ni tall dark
Ana kiforesta chake no D
Lkn ndo vile tena, unavyovitaka awe navyo na unajua kabisa viko ndani ya uwezo wake haviwezi kujipambania 😒

Ila mjue kuna nyakati pesa si kila kitu.
Si huwa mnazihusudu sana iweje leo useme sio kila kitu? Kulikoni
 
Back
Top Bottom