Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Yule unamwambia
We ni mrefu na una body nzuri
Ukivaa hivi au vile utapendeza sana
Anaitikia sawa, nisindikize dukani.
Jiandae wkend twende… wkend ikifika anakwambia nasahihisha au nasoma hapa j3 nina practicals na fom foo C

Sheeee
😂😂
😂😂😂Ungemwambia twende nikakushikie chemicals nyie outing zenu ni maeneo ya shule tu😂😂😂
 
Back
Top Bottom