Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nyie wanawake mnaoringa sasa hivi niko pale nawasubiri mkigusa 30s

Nisiseme mengi, nimekaa pale na Jack Daniels yangu nawasubiri mguse 30s muanze kutulilia tuwaoe.

Nna madem fln wanne 30s and above hv wote wako mikoa tofauti, siwezi waita michepuko sababu huwa napozea nikiwa maeneo hayo na kuwalipa japo kwa status zao huwezi jua kama wanauza. Wataalam tunaweza ita wanafanya High profile prostitution.

Sasa toka mwaka huu uanze wawili kati yao (mmoja wa Dar na mwngne wa Moro) wananiletea habari za kutaka niwaoe, wote wanajua mie bachela, wamekomaa kuwahi goli hadi kuna muda nablock sababu washajiozesha kwangu bila hata hiari yangu.

Juzi nlikua Moro, huyo wa moro nmekuta kanichinjia jogoo kabisa na kawaida baada ya kukaa siku kadhaa kawaida huwa namuachia kama 200k hadi 500k sometimes ila this time kaikataa kabisa anakomaa awe mke halali. Moyoni nikacheka tu.

Nyie vibinti under 30 tukitaka kuwaweka ndani punguzeni nyodo, heshimu sana mwanaume anaetaka kukuoa kwa hali hii ya sasa.

Umesahau tu kiungo cha tangawizi, kwamba mwanamke hataki 500k? Kwa ajili ya kuwa mke halali, kwa hiyo hawezi ichukua na kuwa mke halali? Tafuteni hela vijana achaneni na kuangalia tamthiliya za mexicans ambao wote sauti zao zaonyesha ni mashoga.
 
Mkuu Mungu akubariki sana, kama wewe ni me Wanaume wote wangekuwa wana akili ya kuelewa kama wewe, hakika ndoa ingekuwa sehemu salama sana
Kama naona ulivokuja mbio baada ya kusaidiwa point.

Anyway
Umesahau tu kiungo cha tangawizi, kwamba mwanamke hataki 500k? Kwa ajili ya kuwa mke halali, kwa hiyo hawezi ichukua na kuwa mke halali? Tafuteni hela vijana achaneni na kuangalia tamthiliya za mexicans ambao wote sauti zao zaonyesha ni mashoga.
we ndo ukatafute hela sababu unadhan 500k ni hela kubwa sana.

Dem ana kazi yake nzr tu anakunja 800k per month, bado ananidanga mara kibao, aje kukataa 500k mara moja tu ndo ushangae, toka mitandaoni ukatafute hela chief
 
Kama naona ulivokuja mbio baada ya kusaidiwa point.

Anyway

we ndo ukatafute hela sababu unadhan 500k ni hela kubwa sana.

Dem ana kazi yake nzr tu anakunja 800k per month, bado ananidanga mara kibao, aje kukataa 500k mara moja tu ndo ushangae, toka mitandaoni ukatafute hela chief

We fala kweli, basi ngoja ninyamaze, kwa hiyo instead of taking 500k ni fidia ya wewe kuoa? Huoni wewe ni chizi smart?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_1659219936427.jpg
 
Mi mwanaume perfect ni yule anahudumia familia na siyo anitegemeaye kutunza familia
Unaonekana una tabia ya uzembe kwenye majukumu ya mke na una lawama ambazo hazina msingi kwa mwanaume kiasi kwamba inakuwa kama unamfundisha majukumu yake jambo ambalo hakuna mwanaume anapenda na hakuna atakaekubali kuishi na mwanamke ambaye anahiyo tabia.

Ukiwa na tabia za kutegea majukumu kwa kisingizio cha kuwa wewe ni mwanamke na mwanaume pekee ndie anatakiwa kutoa hata pale anapokuwa hana ila wewe unaficha chako basi automatically MUNGU atamtoa huyo mwanaume kwenye maisha yako na atakuletea wa kufanana nae yaani ambaye na yeye anategea majukumu yake kwa kisingizio cha haki sawa na ujuaji wa nani afanye nini.

Mabinti wengi mnakosa sifa ya kuishi na wanaume miaka hii sababu ya tabia hizi za ubinafsi za kuhisi wao hawatakiwi kuwajibika kwa lolote kwenye mahusiano mwanaume ndie abebe kila kitu hata kipindi ambacho anakuwa hayupo vizuri badala ya kuwa comforter kwa mwanaume wao wapo busy kulaumu na kufanya matukio ya dharau na kufedhehesha mwanaume.
 
Unaonekana una tabia ya uzembe kwenye majukumu ya mke na una lawama ambazo hazina msingi kwa mwanaume kiasi kwamba inakuwa kama unamfundisha majukumu yake jambo ambalo hakuna mwanaume anapenda na hakuna atakaekubali kuishi na mwanamke ambaye anahiyo tabia.

Ukiwa na tabia za kutegea majukumu kwa kisingizio cha kuwa wewe ni mwanamke na mwanaume pekee ndie anatakiwa kutoa hata pale anapokuwa hana ila wewe unaficha chako basi automatically MUNGU atamtoa huyo mwanaume kwenye maisha yako na atakuletea wa kufanana nae yaani ambaye na yeye anategea majukumu yake kwa kisingizio cha haki sawa na ujuaji wa nani afanye nini.

Mabinti wengi mnakosa sifa ya kuishi na wanaume miaka hii sababu ya tabia hizi za ubinafsi za kuhisi wao hawatakiwi kuwajibika kwa lolote kwenye mahusiano mwanaume ndie abebe kila kitu hata kipindi ambacho anakuwa hayupo vizuri badala ya kuwa comforter kwa mwanaume wao wapo busy kulaumu na kufanya matukio ya dharau na kufedhehesha mwanaume.
Sawasawa
 
Ishu sio jimbo liko wazi

Kuoa au kuolewa ni suala la muda na mipango ya MUNGU, unajua sio kila mtu kaandikiwa ataolewa ataoa so ukiona hawajaolewa jua muda wao bado, GOD timing is perfect
Huwa nacheka sana mnaposema neno "KUANDIKIWA". So mkiwa wadogo umri wa kuanzia miaka 16 hadi kabla ya 30 vile mnavyokuwa mnakataa kusettle na vijana wa size yenu, ambao kwa sasa ukitazama wote wameshaoa na wanafamilia, kipindi mkiitwa kwa heshima mnajikausha au kujibu kwa kupuuza, kipindi vijana wanajitoa kuwafukuzia kwa miezi mnawajibu "ila mimi nakuchukulia kama kaka yangu" ile hali mnawavulia nguo wanaume wenye ndoa zao tena mababa wa rika sawa na baba zenu, kipindi mnaruka na hawa mabishoo wa mjini, wakati mkifanya haya yote mlikuwa ndio mnaandikiwa au ilikuwaje yaani huwa sielewi hivi visingizio vya kipuuzi huwa mnatoka navyo wapi.

Kimsingi ikifika muda wa kulipia hesabu huwa mnaanza kuja na hoja za kipopoma sana.
 
Hivi kwanini ndoa zimekuwa changamoto sana siku hizi? Wanawake mmekuwa na complications nyingi sana nahisi hivyo. Halafu utakuta hao wenye 30+ bado wanajimwambafy hawataki kuolewa bado bado kumbe roho zinawauma na kuwasuta. Ifikie wakati wanawake mbadirike aiseee, akitokea Mwanamume kakuelewa na anataka kukuoa ridhika naye kama maisha mazuri huwa yanatafutwa lakini kutaka mwanamume mwenye good life akufuate aje akuoe hiyo ni ngumu sana na kwa kifupi Wanaume wengi wenye mafanikio huwa wanapitia magumu mengi sana na suala la kuoa kwake linakuwa ni gumu kidogo kwa asilimia kubwa na atakachokuwa anakifanyiwa ni kupiga rungu na kuzalisha tu. Wanawake mbadirike musiwe mnakuwa na ubaguzi unless otherwise mambo yataendelea kuwaendea harijojo tu.
Mtu amepigwa mashine za kila aina halafu anafika 30 anaanza kuweka unrealistic standards. Mwanaume ili nimkubalie awe na hiki na kile awe hivi halafu awe vile, halafu asiwe anafanya hivi na vile. Kwakifupi, wanakuwa so insecure hadi wanajitengenezea expectations ambazo hazipo kiuhalisia.
 
Back
Top Bottom