Nyie warembo, kwa nini huwa mnajiweka kwa bei ghali wakati uhalisia unajijua?

Nyie warembo, kwa nini huwa mnajiweka kwa bei ghali wakati uhalisia unajijua?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Unamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali; unaweza ukahisi labda ndivyo alivyo katika maisha yake ya kila siku; kumbe akiwa nyuma ya pazia, ugumu wa maisha yake anaujua mwenyewe.
Mbaya zaidi, vitu anavyoagiza ndivyo anataka afanye majaribio kwa mara ya kwanza.

Hallow; warembo msi 'fake' maisha, ishi maisha yenu; kuagiza vitu vya bei ghali aimaanishi kuwa wewe ni mjanja.
kk.jpg
 
Unamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali; unaweza ukahisi labda ndivyo alivyo katika maisha yake ya kila siku; kumbe akiwa nyuma ya pazia, ugumu wa maisha yake anaujua mwenyewe.
Mbaya zaidi, vitu anavyoagiza ndivyo anataka afanye majaribio kwa mara ya kwanza.

Hallow; warembo msi 'fake' maisha, ishi maisha yenu; kuagiza vitu vya bei ghali aimaanishi kuwa wewe ni mjanja.
View attachment 2530554
Sasa nawe acha kuwaambia waagize watakacho....waambie waagize fruto kama hujiwezi
 
Back
Top Bottom