Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Acha tu wifi ale vizuri na wewe utakula vizuri šTatizo mnatukomoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu wifi ale vizuri na wewe utakula vizuri šTatizo mnatukomoa
Hio pichaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Unamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali;
View attachment 2530554
Njoo nikutoe 'out' basi, ila usiagize vitu vya bei ghaliHio pichaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Mie nshavimbiwa ugali wangu hapa Niko furuuuuu!Njoo nikutoe 'out' basi, ila usiagize vitu vya bei ghali
Sita kusema kwa watu, we njoo tuMie nshavimbiwa ugali wangu hapa Niko furuuuuu!
Asante kwa ofa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa nawe acha kuwaambia waagize watakacho....waambie waagize fruto kama hujiwezi
Tatizo ukiitikia wito atakwambia kunywa utakacho, ukichukua wine atakuja kukusimanga huku kuwa huwa unakunywa soda...mlipotoka ukanywa wine chukua tahadharišMie nshavimbiwa ugali wangu hapa Niko furuuuuu!
Asante kwa ofa!
Nilishawahi kuleta uzi kama hapa miaka ya nyuma lkn naona bado hawataki kujirekebisha[emoji2]Unamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali; unaweza ukahisi labda ndivyo alivyo katika maisha yake ya kila siku; kumbe akiwa nyuma ya pazia, ugumu wa maisha yake anaujua mwenyewe.
Mbaya zaidi, vitu anavyoagiza ndivyo anataka afanye majaribio kwa mara ya kwanza.
Hallow; warembo msi 'fake' maisha, ishi maisha yenu; kuagiza vitu vya bei ghali aimaanishi kuwa wewe ni mjanja.
View attachment 2530554
Mie natolewa out na wamoyo Wangu tyuu!!Sita kusema kwa watu, we njoo tu
Ndio shida za kudate Vijana!š! Hawanaga simile!Tatizo ukiitikia wito atakwambia kunywa utakacho, ukichukua wine atakuja kukusimanga huku kuwa huwa unakunywa soda...mlipotoka ukanywa wine chukua tahadhariš
Huyo anakupotezea muda tu; njoo ufurahie duniaMie natolewa out na wamoyo Wangu tyuu!!
Si hamtutaki wazee pia? Pambaneni naoNdio shida za kudate Vijana!š! Hawanaga simile!
Weeeeehh weeeehhh treinaaahhhh acha kabisa . Ako vyedi kila idaraaš!Huyo anakupotezea muda tu; njoo ufurahie dunia
Alishawahi kukutoa 'out', ukala mishikaki ya dagaa?Weeeeehh weeeehhh treinaaahhhh acha kabisa . Ako vyedi kila idaraaš!
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Si ndio me nawaambia wadada kila siku. Tuwe wawazi na wakweli.Unamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali; unaweza ukahisi labda ndivyo alivyo katika maisha yake ya kila siku; kumbe akiwa nyuma ya pazia, ugumu wa maisha yake anaujua mwenyewe.
Mbaya zaidi, vitu anavyoagiza ndivyo anataka afanye majaribio kwa mara ya kwanza.
Hallow; warembo msi 'fake' maisha, ishi maisha yenu; kuagiza vitu vya bei ghali aimaanishi kuwa wewe ni mjanja.
View attachment 2530554
Ndio zako nini [emoji23][emoji23]Hio picha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanajua wakiwa wawazi wataonekana washambaš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Si ndio me nawaambia wadada kila siku. Tuwe wawazi na wakweli.
Uwiiii!! Nina alegi na Vijana miee kwanza wapite hiviiuš!Si hamtutaki wazee pia? Pambaneni nao
Pole mkuu yatapita tuHii siku ya leo imejaa masimango kila angle