Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Na mkiruka ndani ni sawa eeUwiiii!! Nina alegi na Vijana miee kwanza wapite hiviiu😏!
Mtu mziwa Wangu alie matured enough anitosha sina sababu ya kurukaruka nje🤸💃!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mkiruka ndani ni sawa eeUwiiii!! Nina alegi na Vijana miee kwanza wapite hiviiu😏!
Mtu mziwa Wangu alie matured enough anitosha sina sababu ya kurukaruka nje🤸💃!
😂😂 AisehWanajua wakiwa wawazi wataonekana washamba
Dagaa nakula kila siku nyumbani weeeh baki na dagaa zako😂😂!Alishawahi kukutoa 'out', ukala mishikaki ya dagaa?
Ebu tupe uzoefu wakoHii siku ya leo imejaa masimango kila angle
Kam kauwaaaa Nje maradhi mengiNa mkiruka ndani ni sawa ee
Mulemuleeeeee 😂😂! Navopenda ukoko sasa🤣🤣!Ndio zako nini [emoji23][emoji23]
Hao wa kwako ni mboga, nasemea dagaa wa mishikaki? Angalia asikuzeeshe, kabla ya kula mema ya duniaDagaa nakula kila siku nyumbani weeeh baki na dagaa zako😂😂!
Hongera sana. Vipi best ako Bantu Lady umemuona wapi leo?Mulemuleeeeee [emoji23][emoji23]! Navopenda ukoko sasa[emoji1787][emoji1787]!
[emoji106]Uzi upiii??? Ule wa kudate na dent na kunusurika kufungwa??
Ndiokwanzaaaaa azidi kunipendezeshaa weeuweehh wazee wanajua kulea bana!Hao wa kwako ni mboga, nasemea dagaa wa mishikaki? Angalia asikuzeeshe, kabla ya kula mema ya dunia
Naomba hela ya bia mi sina uzoefu wowoteEbu tupe uzoefu wako
Hahahaa... ngoja nisimsemee acha akuje mwenyewe 😁! Ukoko mtramuu nyiee🤣🤣!Hongera sana. Vipi best ako Bantu Lady umemuona wapi leo?
ha ha ha, toroka uje uone; utajiuliza ulichelewa wapiNdiokwanzaaaaa azidi kunipendezeshaa weeuweehh wazee wanajua kulea bana!
Umefungwa au??? Halafu huwezi kuamini bado sijaisoma ntaumia kweli kusoma majanga yanayowahusu wanafunzi kuna vibinti viwili form 3 vyote kimoja ni kirembo hadi sio poa!! Cheupee kimeenda hewani afu kina shepuu kuna vitu nikikiangalia napatwa na uchungu sana!![emoji106]
Weka namba nikutumie chap, haiwezekani na urembo wako wote ulionao uishi maisha ya shidaNaomba hela ya bia mi sina uzoefu wowote
Labda kama nimerogwa sio kwa akili zangu! 👽ha ha ha, toroka uje uone; utajiuliza ulichelewa wapi
Hello bro, I miss youSi ulimwambia aagize atakacho?
Mi nimeimaliza monii ila nilipo refresh tu nikifungua naambia haupo.Umefungwa au??? Halafu huwezi kuamini bado sijaisoma ntaumia kweli kusoma majanga yanayowahusu wanafunzi kuna vibinti viwili form 3 vyote kimoja ni kirembo hadi sio poa!! Cheupee kimeenda hewani afu kina shepuu kuna vitu nikikiangalia napatwa na uchungu sana!!