Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ni namna bora ya kupona kabisa🤣🤣🤣Usinikumbushe machungu 😁
Maisha saa nyingine ni futuhi tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni namna bora ya kupona kabisa🤣🤣🤣Usinikumbushe machungu 😁
jifanye fala wape siku mzinga ukilia spid miaWa namna hiyo huwa unashughulika nao vipi?
Santo sana mjomba watu wana fegesoo sana🥲🥲 ma mod wamekuwa kama monitor wa la nne D 🤣🤣🤣 hata sijui shangazi pole sanaa sasa hivi umekuwa kama mkwepu 🤣🤣
Polesanamjomba National Anthem mwenzio kule niko pinned kwa mieziii kadhaa!! Tag naiona ila kureply siruhisiwi! Bila shaka Bantu Lady na auntie sophy27 walikubless mjomba wangu 😘!
Samaleko ✋
Asante mam!Polesana
😅😅 nimeona shangazi, ila utoto unawasumbua tuSanto sana mjomba watu wana fegesoo sana
Saivi nazururazurura tu bila mpangilio bora hata mkwepu😂! !!
Ni kwenye Uzi fulani tu mkuu!Okay,halafu hilo jukwaa ulilopigwa ban ni lipi swahiba?
Pamepoa kweli yaniNi Uzi tu mkuu ndio kijiweni nakoshindaga!! 😎
Kule 🤳
Goja nije kwa majaliwa 🤣🤣🤣Forever and always mjombaaa!!!✌️😘
Nimewamiss mnooo wapendwa!
Kareboo sana mjomba 🤗!Goja nije kwa majaliwa 🤣🤣🤣
☺️☺️☺️ isije kuwa namsubiri jesuKareboo sana mjomba 🤗!
Ila wananchi hawajatusimanga!!Hii siku ya leo imejaa masimango kila angle
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!☺️☺️☺️ isije kuwa namsubiri jesu
Sipigi hodii eeh 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Hapana mjombaa mlango upo wazi wee ingia mpaka ndanii mjomba wangu tenaah🤣
Eendiwoooooooo mjomba pita mpaka ndani kabisa!😛Sipigi hodii eeh 😅😅
Twende zetu ndani ndani huko aunt 😊😊Sorry mkuu wee ni mpya Kweri kweri ama kivingine 🤔🤔🤔????