Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unakuta mtu anaagiza hennesy, wakati huko mtaani anapiga balimiNdivyo walivyo.
Sasa nawe acha kuwaambia waagize watakacho....waambie waagize fruto kama hujiweziUnamtongoza mrembo, anakuwa ana nata kweli; ukimtoa 'out' anaanza kuagiza vitu vya bei ghali; unaweza ukahisi labda ndivyo alivyo katika maisha yake ya kila siku; kumbe akiwa nyuma ya pazia, ugumu wa maisha yake anaujua mwenyewe.
Mbaya zaidi, vitu anavyoagiza ndivyo anataka afanye majaribio kwa mara ya kwanza.
Hallow; warembo msi 'fake' maisha, ishi maisha yenu; kuagiza vitu vya bei ghali aimaanishi kuwa wewe ni mjanja.
View attachment 2530554
Si ulimwambia aagize atakacho?Unakuta mtu anaagiza hennesy, wakati huko mtaani anapiga balimi
Acha kufananisha mambo ya hovyo na bia! Unaijua balimi au unaisikia? Ile ni bonge la biaUnakuta mtu anaagiza hennesy, wakati huko mtaani anapiga balimi
Nyuma ya pazia, ata mlo mmoja unampa shidaTena angeagiza JD hata 5
Inasababisha mahusiano mengi kuvunjikaInawezekana hayo maisha ya kuwa open ni ya ndani ya ndoa ambazo kwa sasa hazitakiwi.
🤣🤣🤣🤣🤗Home tule ugali bamia na out tule wali maharage teh, we kuweza???
HAijalishi naye anataka kula vitu vizuri mpe kabla hajakupa🤣Nyuma ya pazia, ata mlo mmoja unampa shida
Wanawake wa hivyo hawataki mahusiano wanataka pesa yako iwape vitu ambavyo katika maisha yao ya kawaida hawavipati. Mahusiano ni kama jiwe kwenye mfereji, lazima alikanyage kuvuka, akishavuka hata likivunjika anaona sawa.Inasababisha mahusiano mengi kuvunjika
Sijui akiri zao kwakweli.Unakuta mtu anaagiza hennesy, wakati huko mtaani anapiga balimi
Tatizo mnatukomoaAcha uchoyo😁