Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah[emoji23] akia nani we jamaa, wasabato ndo tuna tabu hivi[emoji3]Utakuwa una mwonekano wa kizee mixer kitambi..
Na kuvaa vaa suti wanajua tajiri wewe kumbe msabato
Wasabato hatuna uhusiano na ushamba, tunacho jali n kuvaa mavazi ya heshima yanayo mpa Mungu utukufuumenichekesha leo nimekutana na wasabato wamekula tai nyekundu miwan nyekundu suruale nyeupe na viatu vyekundu. Sijui walikuwa wanaenda kutoa posa.
Haki ya nani fanta leo zitaomba poh.
Wanawake wengi ni omba omba nilikwisha toa uzi nenda kausome utapata maarifa
Uweke huo uzi hapa
Uweke huo uzi hapa
Nakazia hapa"Akiombaa helaa achana naeeee...!!
Asa yeye anajieka kishua shua anategemea niniTatizo ni umasikini, yaweza kua wa fedha ama maarifa
Changamkia fursa hiyo...unaenda kugegeduana hotel expensive tuu na sio lodgeNimeelewa tangazo…fungua pm tuje 🤣
HahahaaaaUtakuwa una mwonekano wa kizee mixer kitambi..
Na kuvaa vaa suti wanajua tajiri wewe kumbe msabato
Kuna mtu anampa hizo hela 😅😅😅😅 relaxMm nimekapata katoto kakipalestina ni kazuri hatari hakajaniomba ela mwezi unakatika hapa najiuliza ni bomu ananitegeshea au nimeokota dodo chini ya mfenesi??? [emoji15]
Sawa mkuu ila hawoo wasabato nilio kutana nao utafikiri wamepigwa rangi nguo zinavyoo ng'aa nikajua ndo kamchezo kenu.Wasabato hatuna uhusiano na ushamba, tunacho jali n kuvaa mavazi ya heshima yanayo mpa Mungu utukufu
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila wewNimeelewa tangazo, fungua pm tuje [emoji1787]
Ulisha kutana ambae kaachwa au ana stress meza ni fulu mafanta alafu huwa wanakambinu kakutembea na BIG G wanatafuna ili gas isiwasumbue.Ukute msabato halafu ni polisi sasa hapo inakuwa ni zaidi ya kisanga hivi kwanini wanakunywaga mafanta yale na ma Pepsi?
Alafu nyie ndo huwa mnachunwa blaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakazia hapa"
Haisaidii mkuu,komaa naye mpaka ule.Mimi huwaga manzi akila 50k na hakuna dalili ya kula utamuu yani napiga chini fastaaaa