Nyie wenzangu mnawapataje au mnawapata wapi?

Nyie wenzangu mnawapataje au mnawapata wapi?

Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaxa kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.

Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. why kuna wenzangu wana enjoy mapenzi wanatoa pesa wenyewe kwa mapenzi na si kwa kulipia.

Nikijicheck nipo handsome kabisa na very fresh. mambo mambo yapo mengi tu na Unyakyusa flani hivi. Unyama mwingi sana kwa kwei. Ila nikitia tu mguu kifuatacho demu ana kuwa na shida ya pesa ya chini sana kaomba 100,000 ya chini sana. Maana kuna ambaye alitaka nimpatie 1,400,000 tumeonana naye ndani ya siku 5 tu.

Nikawaza hii ni kwa sababu gani? Hili jambo lina nikatisha tamaa sana limekuwa kilio changu ch muda mrefu humu ndani. ninyi wenzangu mnafanyaje? Maana pengine huku kuwapeleka hotels nzuri nzuri wanaona kama mimi ni tajiri. Mimi siyo tajiri sema napenda tu mambo mazuri. Tusifanyiane hivyo wajameni.
Beauty has sent many women into marriage but character is busy packing them out. [emoji23][emoji1787]
 
Kumbe unayataka mwenyewe unawapeleka hotel nzuri hili wakujue una maela mengi au wacha wakupasue mpk akili ikukae sawa tatizo lako unaonyesha kuwa una ela ndio mana wanakunyosha
 
Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaxa kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.

Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. why kuna wenzangu wana enjoy mapenzi wanatoa pesa wenyewe kwa mapenzi na si kwa kulipia.

Nikijicheck nipo handsome kabisa na very fresh. mambo mambo yapo mengi tu na Unyakyusa flani hivi. Unyama mwingi sana kwa kwei. Ila nikitia tu mguu kifuatacho demu ana kuwa na shida ya pesa ya chini sana kaomba 100,000 ya chini sana. Maana kuna ambaye alitaka nimpatie 1,400,000 tumeonana naye ndani ya siku 5 tu.

Nikawaza hii ni kwa sababu gani? Hili jambo lina nikatisha tamaa sana limekuwa kilio changu ch muda mrefu humu ndani. ninyi wenzangu mnafanyaje? Maana pengine huku kuwapeleka hotels nzuri nzuri wanaona kama mimi ni tajiri. Mimi siyo tajiri sema napenda tu mambo mazuri. Tusifanyiane hivyo wajameni.
Mademu wa kibongo hawajitambui kwa kweli, kila mmoja anataka kuiga Paula wa Kajala kwa uchangu
 
Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaxa kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.

Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. why kuna wenzangu wana enjoy mapenzi wanatoa pesa wenyewe kwa mapenzi na si kwa kulipia.

Nikijicheck nipo handsome kabisa na very fresh. mambo mambo yapo mengi tu na Unyakyusa flani hivi. Unyama mwingi sana kwa kwei. Ila nikitia tu mguu kifuatacho demu ana kuwa na shida ya pesa ya chini sana kaomba 100,000 ya chini sana. Maana kuna ambaye alitaka nimpatie 1,400,000 tumeonana naye ndani ya siku 5 tu.

Nikawaza hii ni kwa sababu gani? Hili jambo lina nikatisha tamaa sana limekuwa kilio changu ch muda mrefu humu ndani. ninyi wenzangu mnafanyaje? Maana pengine huku kuwapeleka hotels nzuri nzuri wanaona kama mimi ni tajiri. Mimi siyo tajiri sema napenda tu mambo mazuri. Tusifanyiane hivyo wajameni.
Nyota ya Buzi ile ile ninayoijua??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hyo kawaida mkuu mi juzi tu hapa nimejuana na mtoto wa chuo nilikutana nae siku ya idi juzi nimepigwa mzinga wa laki moja aongezee ada na hatuna hata mwezi Ila mtoto yupo vizuri kama mwarabu naelekea kutuma hyo hela maana mtoto mashaallah.
 
Hyo kawaida mkuu mi juzi tu hapa nimejuana na mtoto wa chuo nilikutana nae siku ya idi juzi nimepigwa mzinga wa laki moja aongezee ada na hatuna hata mwezi Ila mtoto yupo vizuri kama mwarabu naelekea kutuma hyo hela maana mtoto mashaallah.

Usitume Hiyo hela kama hujamla!
Ukituma tuu hutamkula Huyo manzi.

Hiyoo pesa ukienda direct as a buyer unamla kwa 40k

Sorry mkuuuu nakuambia acha undezi.
 
Back
Top Bottom