Nyie wenzangu mnawapataje au mnawapata wapi?

Nyie wenzangu mnawapataje au mnawapata wapi?

Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaza kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.

Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? Maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. Why kuna wenzangu wana enjoy mapenzi wanatoa pesa wenyewe kwa mapenzi na si kwa kulipia.

Nikijicheck nipo handsome kabisa na very fresh. mambo mambo yapo mengi tu na Unyakyusa flani hivi. Unyama mwingi sana kwa kwei. Ila nikitia tu mguu kifuatacho demu ana kuwa na shida ya pesa ya chini sana kaomba 100,000 ya chini sana. Maana kuna ambaye alitaka nimpatie 1,400,000 tumeonana naye ndani ya siku 5 tu.

Nikawaza hii ni kwa sababu gani? Hili jambo linanikatisha tamaa sana limekuwa kilio changu cha muda mrefu humu ndani. Ninyi wenzangu mnafanyaje? Maana pengine huku kuwapeleka hotels nzuri nzuri wanaona kama mimi ni tajiri. Mimi siyo tajiri sema napenda tu mambo mazuri. Tusifanyiane hivyo wajameni.
Tangazo limekaa poa ila ungeweka na "kapicha" ingekuwa poa zaidi
 
Sioni hata tatizo hapo. Kama huna si unasema huna tu.

Sababu gazeti lote hilo hamna uliposema uliwahi kumwambia hata mmoja kwamba huna, we waambie uone mahusiano yataendelea ama La.
Nilijaribu kumwambia mmoja asubiri siku mbili nitamtumia. Aliandika msg yenye maneno ya kunifanya nijione mimi mhuni... Sielewi why alinichukia vile...kwa kuwa huwa sipendi maneno basi mwingine nampa then na mblock. Maana sipendi maugomvi na watu
 
Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaza kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.

Simu imeharibika au ada ya chuo. tatizo langu nini lakini? Maana inanifanya nihisi pengine sipendwi. Why kuna wenzangu wana enjoy mapenzi wanatoa pesa wenyewe kwa mapenzi na si kwa kulipia.

Nikijicheck nipo handsome kabisa na very fresh. mambo mambo yapo mengi tu na Unyakyusa flani hivi. Unyama mwingi sana kwa kwei. Ila nikitia tu mguu kifuatacho demu ana kuwa na shida ya pesa ya chini sana kaomba 100,000 ya chini sana. Maana kuna ambaye alitaka nimpatie 1,400,000 tumeonana naye ndani ya siku 5 tu.

Nikawaza hii ni kwa sababu gani? Hili jambo linanikatisha tamaa sana limekuwa kilio changu cha muda mrefu humu ndani. Ninyi wenzangu mnafanyaje? Maana pengine huku kuwapeleka hotels nzuri nzuri wanaona kama mimi ni tajiri. Mimi siyo tajiri sema napenda tu mambo mazuri. Tusifanyiane hivyo wajameni.
Aiseeee
 
Back
Top Bottom