Nyie wenzangu mnawapataje au mnawapata wapi?

Beauty has sent many women into marriage but character is busy packing them out. [emoji23][emoji1787]
 
Kumbe unayataka mwenyewe unawapeleka hotel nzuri hili wakujue una maela mengi au wacha wakupasue mpk akili ikukae sawa tatizo lako unaonyesha kuwa una ela ndio mana wanakunyosha
 
Mademu wa kibongo hawajitambui kwa kweli, kila mmoja anataka kuiga Paula wa Kajala kwa uchangu
 
Nyota ya Buzi ile ile ninayoijua??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hyo kawaida mkuu mi juzi tu hapa nimejuana na mtoto wa chuo nilikutana nae siku ya idi juzi nimepigwa mzinga wa laki moja aongezee ada na hatuna hata mwezi Ila mtoto yupo vizuri kama mwarabu naelekea kutuma hyo hela maana mtoto mashaallah.
 
Hyo kawaida mkuu mi juzi tu hapa nimejuana na mtoto wa chuo nilikutana nae siku ya idi juzi nimepigwa mzinga wa laki moja aongezee ada na hatuna hata mwezi Ila mtoto yupo vizuri kama mwarabu naelekea kutuma hyo hela maana mtoto mashaallah.

Usitume Hiyo hela kama hujamla!
Ukituma tuu hutamkula Huyo manzi.

Hiyoo pesa ukienda direct as a buyer unamla kwa 40k

Sorry mkuuuu nakuambia acha undezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…