Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
For sureMimi kama THE BEEKEEPER nikisikiliza nyimbo ya Eminem, not afraid. inanipa mzuka sana wa kufanya harakati zangu za kila siku. Kwako mdau ni ipi?
Perfect designMimi nyimbo zote za Nyashinski
Mulemule☺️Perfect design
Lift me up
Mwamba anajua sana. Na video zake huwa ni nzuri.Mulemule☺️
Naam unaweza waambia walimwengu watoke wakatafute pa kuishi unataka umpe mtu dunia.Nyimbo hizo ulizotaja inafaa usikilize ukiwa na mchumba wako, dunia nzima utaona umeiweka mkononi😂
Lucas vipi nyimbo ya hatunywi sumu hatujinyongi...ccm mbele kwa mbele..Mimi nyimbo zote za Nyashinski
Nyimbo yoyote iliyotungwa stanslaus mujwahuki au bernard mukasaMimi kama THE BEEKEEPER nikisikiliza nyimbo ya Eminem, not afraid. inanipa mzuka sana wa kufanya harakati zangu za kila siku. Kwako mdau ni ipi?
Eroo Suvai..Niandikie inbox 🤣
Kiherehere leo kimekubamba.
Cha kufanya chukua maji na sabuni nawa mikono yako. Kisha chukua maji masafi na chumvi kisha safisha pua yako.
Unaweza pia kuchukua kitambaa kisafi ukalowanisha kwenye maji ya uvuguvugu kisha ukasafisha puani.
Lakini pia unaweza kujifukiza.
Hata hivyo, hiyo hali ni ya muda. Pole sana..
Angalia whatsApp yakoNitumie nizisikilize 😎
Nilimuona mfalme zumaridi anaipenda sana Okamani duduMonique Seka - Okaman
Muache Lucas wanguLucas vipi nyimbo ya hatunywi sumu hatujinyongi...ccm mbele kwa mbele..