Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
π€π€Kuna wanangu nimewalusha umu one love
Sisi n ndugu ama vip wadau wangu,ambao sijawataja mtanisamee Bure mana sija yakalili majina yenu vyema ila tupo pamojaππ½
Mwenyewe nikajua hivyo... Ila bonge la konziMbona kama AI ndo imetumika kutengeneza kila kitu
Au sio ππ nakubali mkuuππ½oyaaaaah bonge la dude hili
ππ½hongera
Utoe gundu lakoππKama hujanitaja kwenye huo wimbo jua hauta hit
ππ½ππ½Kichupa kikali sana Bob
Sijal uwakika japo jina lako gumu sana kama MZIZI wa dawa πππAwamu nyingine usiponitaja unachezea ban coz Niko kwenye crue ya mods
Ata kwetu wapoMbona kama AI ndo imetumika kutengeneza kila kitu
Si ndio πππKwamba hadi Mshangazi ametajwa?