Nyimbo yangu special kwa Jamii Forums

Nyimbo yangu special kwa Jamii Forums

😂😂😂Mkuu, huu wimbo nimeupachika Qubase 10.5 hapa studio kwangu ili nifahamu sauti yako halisi uliyoingizia verse, ngoma imeshindwa kugawanyika kabisa. Kiufupi haina data

Kwa utaalamu wangu wa teknolojia, nikatumia Blackbox ai ili nigundue imekuaje kuaje nikagundua wimbo umeimbwa na ai system ya Suno

Mkuu, tafuta hela uingie studio. Kama hujui kuimba mtafute hata Jay Combat, uwe kama DJ Mushizo tu

Acha kusumbua vichwa vya wanaJF, acha kusumbua ai,
Acha uchawa
 
Back
Top Bottom