Mimi nitatka kushindana nawe kwenye bilinge..nione Kama bado unajua kukibilingia hahahahha Natania!!Aiseeh Kasindeee ni mbishii. .... wanaonijua watakuhakikishia. Mie mwili wala haunizuii kufanya chochote, navaa swimming costume kwa raha zangu atayeshangaa na kusonya shauri yake.
Likiandaliwa hilo tamasha, ukimuona mbibi kila wimbo na mchezo yupo ujue ndo Kasie heheheheheheee
Halafu niko mtata na kwenye michezo ni mzulumishi balaa hehehehehee.
Kasie Matata.
Ha ha ha ha ha tulikuwa tunawaita TIN TIN...mama yao alikuwa ana Land Rover 109... Au wewe ndio yule dada yao?Aaahahahahahhahahahahahaaa loooh looh looh duuuh inabidi nikufinye aiseeh hahahahahahahahahaaa
Haya basi wacha yaishie hapa aahahahahahahaaa
Hii ya mwisho.....
Wale mapacha 2 wanene weusi walikuwa wa kiume. Wanafanana halafu nywele zao kama zilikuwa zina dawa hivi unawakumbuka? Nakumbuka mmoja alienda Tambaza......
Ki RRONDO ulikuwa mdogooo wakati ule aahahahahahahaaa.
Basi siongelei tena hiyo ndo ya mwisho aahahahahahahahahhahahahahaaaaaa looh leo.
Ha ha ha ha ha tulikuwa tunawaita TIN TIN...mama yao alikuwa ana Land Rover 109... Au wewe ndio yule dada yao?
Mimi nitatka kushindana nawe kwenye bilinge..nione Kama bado unajua kukibilingia hahahahha Natania!!
Aisee mimi nina photographic memory....nakumbuka nusu ya darasa watu ambao sijawaona miaka zaidi ya 20 iliopjtaAahahahahahhaahahhaahhahahahaa RRONDO utanifanya leo nikeshe Hehehehehehehehehehehehehehehehehee yaani hapa nacheka kama mwehuuu hahahahahahahahhaaaa
Ila si umesema habari za shule tusiongelee tena?
Ndo hao hao TIN TIN ila kuhusu dada yao sisemi kitu aahahahahahahahahahahahaaa
Aisee mimi nina photographic memory....nakumbuka nusu ya darasa watu ambao sijawaona miaka zaidi ya 20 iliopjta
Nawajua monitors wote wa 7 A,B,C nikikutajia utajua nimemaliza lini mwisho utanijua. I was famous by the way.Aahahahahahahahaaaa yaani wewe unanivunja mbavu ujueee Aahahahahahahahaaaa looh
Kwahiyo taswira unazikumbuka vyema za 7C aahahahahahahhahahahaaaa. Hebu mtaje monitress na monitor alikuwa nani wakati ulee aahahahahahahhahahahaaaa
Halafu sura zinabadilika ujue.... 20 years plus huko nyuma aiseeh ni umri wa mtu huo na sasa ana ndoa yake na watoto kweli mie ni kigagula looh aahahahahahahahahaha ilitakiwa niwe na wajukuu saa hizi looh.
Kasie usiniulize tena habari za shule maanake dunia ndogo hii...
Kaenda wapi?? Kaenda wapi?Ukuuuti Ukuuuti wa mnazi wa mnazi ukija upepooo, wapepeaa
Namtafuta mke wangu namtafuta mke wangu. ...hapa yupo hapa yupo
[emoji23] days of our lives..Hahahahaaa yaani wewe unakumbuka kabisaa na ilikuwa atakayecheza hadi kufikia 100 kwa kuhesabu vile vyumba vya mstatili kwenye kila pembe au kona anakuwa kawaokoa wengine wote waliobabuliwa. Mnaozinga msipokuwa na ushirikiano mtazinga hata mara tatu. Hapo ndo kubabuana mabomba kanaanza na mpira ujazwa mchanga hahahahhaaa ukibabuliwa la uso lazima ukae chini kwanza hahahahahaa.
Ila napenda kwasababu inakupa akili ya mahesabu na kufikiria nawamalizaje hawa kisha nami niingie kucheza,mie nilikuwa nikizinga nahakikisha nimewababua kwanza wanaojua kucheza wenye machejo. Halafu wale ambao hawana machejo aaah unawamaliza fasta. Aliyetoka wa kwanza na wa mwisho ndo wanazinga.
Sasa nikiingia kucheza nahakikisha napambana sibabuliwi wa kwanza na pia nachezaaa nikiona watu wanakaribia kuisha najibabulisha ili nisizinge hehehehehehehehee. Hesabu za kitaani hizo zinaitwa.
Sasa itokee waliobabuliwa ifike zamu yao kuzinga halafu wajidai wameitwa kwao weeeh lazima tuwababue kwa mpira na wakija siku ingine lazima waanzie kuzinga.
Na ikitokea mti kaja kakuta mchezo ushaanza na anataka kuingia basi anaambiwa aingie kuzinga kwanza kisha ndo acheze wakifanikiwa kuwababua wote.
Mkifika siku ingine ndo mnaanza mnapinga inkseeksooo mnakuwa wanne, wataonyanyua viganja juu timu moja wataofunika viganja timu ya pili weeeh ilikuwa raha. Hiyo tuliitumia kwe ye rede ya mateka. Daaah those days....
Nawajua monitors wote wa 7 A,B,C nikikutajia utajua nimemaliza lini mwisho utanijua. I was famous by the way.
Kunguru alisema/kila mtu kwao kwa...asiye na kwao akalale juu ya ubao
Hahahahaahha.... I Kanti You!! Mimi mvivu wa kucheza toka utotoni nitakuwa nawashangalia wewe na kaka B hapo mkiingia Kati....Yaani nakwambia itakuwa boonge ya kolaabooo. Ntabiringita hadi chini hadi utafurahi na ntainuka hadi juu bila kutegea wala kushikilia chini.
Wajua Kasie wa nje mwenye mwili na muonekano wa macho ni kigagula lakini Kasie wa ndani anajenga hapa yuko soo young yawezekana hata haja vunja ungo.......
Ndo maana saa ingine watu humu hawanielewagi ila kwakuwa mie najijua aaah kwa raha zangu. .... Happy like will never die hehehehehehe
Tutacheza huo na kuruka kamba pia aahahahahaaa. Halafu ili RRONDO asituchulie tunamwambia yeye ndo atushikie kama kurusha ndo atakuwa anazinga hehehehee.
Hebu waandae hilo tamasha kwakweli. Hata kiingilio wakiweka 100,000 poa tuu heheheheee (msinirushie mawee hamani) mwenzetu hapa nina furaha ajabu si ajabu ikija siku ya kulipa kiingilio na mimi nikalalamika mbona bei kubwa kumbe niliitaja mwenyewe hehehehheee.
Ha ha ha ha hapo una paka mate mkononi ......ile ya kuimba mko mduara (kama una wako mshike kiuno chini kwa chini ehee chini kwa chini)Kila mtu kwaoo kwaoo akachapwe fimbo za matakoo.
[emoji23] days of our lives..