Yaani nakwambia itakuwa boonge ya kolaabooo. Ntabiringita hadi chini hadi utafurahi na ntainuka hadi juu bila kutegea wala kushikilia chini.
Wajua Kasie wa nje mwenye mwili na muonekano wa macho ni kigagula lakini Kasie wa ndani anajenga hapa yuko soo young yawezekana hata haja vunja ungo.......
Ndo maana saa ingine watu humu hawanielewagi ila kwakuwa mie najijua aaah kwa raha zangu. .... Happy like will never die hehehehehehe
Tutacheza huo na kuruka kamba pia aahahahahaaa. Halafu ili
RRONDO asituchulie tunamwambia yeye ndo atushikie kama kurusha ndo atakuwa anazinga hehehehee.
Hebu waandae hilo tamasha kwakweli. Hata kiingilio wakiweka 100,000 poa tuu heheheheee (msinirushie mawee hamani) mwenzetu hapa nina furaha ajabu si ajabu ikija siku ya kulipa kiingilio na mimi nikalalamika mbona bei kubwa kumbe niliitaja mwenyewe hehehehheee.