Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

Aiseeh Kasindeee ni mbishii. .... wanaonijua watakuhakikishia. Mie mwili wala haunizuii kufanya chochote, navaa swimming costume kwa raha zangu atayeshangaa na kusonya shauri yake.

Likiandaliwa hilo tamasha, ukimuona mbibi kila wimbo na mchezo yupo ujue ndo Kasie heheheheheheee
Halafu niko mtata na kwenye michezo ni mzulumishi balaa hehehehehee.

Kasie Matata.
Mimi nitatka kushindana nawe kwenye bilinge..nione Kama bado unajua kukibilingia hahahahha Natania!!
 
Mama Mdogo njoo nione nimejikata kidole,
Nipeleke kwa Mganga nimejikata kidole,

Nina Ndoo yangu eeh!
Ya kuchota Maji eeh!
Watoto msitizame Nyuma Yai bovu linapita!

Maji ya Ndimu Maji ya Ndimu.

Na Kambona....
Na wake Zake..
Wamevalia..
Disco tech..
Na mimi hapa..
Ni Kijana..
Kijana kutoka Jf
Namuomba..
Dada afrodenzi ..
Aje kidogo hapa,
Tucheze Pambpin,
Amba yeye...
Amba yeye(rege)? sikumbuki dah ila ilikuwa Raha raha Mustarehe! unatamani muda usiishe Muendeleze libeneke tu.
 
Aaahahahahahhahahahahahaaa loooh looh looh duuuh inabidi nikufinye aiseeh hahahahahahahahahaaa

Haya basi wacha yaishie hapa aahahahahahahaaa

Hii ya mwisho.....

Wale mapacha 2 wanene weusi walikuwa wa kiume. Wanafanana halafu nywele zao kama zilikuwa zina dawa hivi unawakumbuka? Nakumbuka mmoja alienda Tambaza......

Ki RRONDO ulikuwa mdogooo wakati ule aahahahahahahaaa.
Basi siongelei tena hiyo ndo ya mwisho aahahahahahahahahhahahahahaaaaaa looh leo.
Ha ha ha ha ha tulikuwa tunawaita TIN TIN...mama yao alikuwa ana Land Rover 109... Au wewe ndio yule dada yao?
 
Ha ha ha ha ha tulikuwa tunawaita TIN TIN...mama yao alikuwa ana Land Rover 109... Au wewe ndio yule dada yao?

Aahahahahahhaahahhaahhahahahaa RRONDO utanifanya leo nikeshe Hehehehehehehehehehehehehehehehehee yaani hapa nacheka kama mwehuuu hahahahahahahahhaaaa

Ila si umesema habari za shule tusiongelee tena?
Ndo hao hao TIN TIN ila kuhusu dada yao sisemi kitu aahahahahahahahahahahahaaa
 
Mimi nitatka kushindana nawe kwenye bilinge..nione Kama bado unajua kukibilingia hahahahha Natania!!

Yaani nakwambia itakuwa boonge ya kolaabooo. Ntabiringita hadi chini hadi utafurahi na ntainuka hadi juu bila kutegea wala kushikilia chini.

Wajua Kasie wa nje mwenye mwili na muonekano wa macho ni kigagula lakini Kasie wa ndani anajenga hapa yuko soo young yawezekana hata haja vunja ungo.......

Ndo maana saa ingine watu humu hawanielewagi ila kwakuwa mie najijua aaah kwa raha zangu. .... Happy like will never die hehehehehehe

Tutacheza huo na kuruka kamba pia aahahahahaaa. Halafu ili RRONDO asituchulie tunamwambia yeye ndo atushikie kama kurusha ndo atakuwa anazinga hehehehee.

Hebu waandae hilo tamasha kwakweli. Hata kiingilio wakiweka 100,000 poa tuu heheheheee (msinirushie mawee hamani) mwenzetu hapa nina furaha ajabu si ajabu ikija siku ya kulipa kiingilio na mimi nikalalamika mbona bei kubwa kumbe niliitaja mwenyewe hehehehheee.
 
Aahahahahahhaahahhaahhahahahaa RRONDO utanifanya leo nikeshe Hehehehehehehehehehehehehehehehehee yaani hapa nacheka kama mwehuuu hahahahahahahahhaaaa

Ila si umesema habari za shule tusiongelee tena?
Ndo hao hao TIN TIN ila kuhusu dada yao sisemi kitu aahahahahahahahahahahahaaa
Aisee mimi nina photographic memory....nakumbuka nusu ya darasa watu ambao sijawaona miaka zaidi ya 20 iliopjta
 
Aisee mimi nina photographic memory....nakumbuka nusu ya darasa watu ambao sijawaona miaka zaidi ya 20 iliopjta

Aahahahahahahahaaaa yaani wewe unanivunja mbavu ujueee Aahahahahahahahaaaa looh

Kwahiyo taswira unazikumbuka vyema za 7C aahahahahahahhahahahaaaa. Hebu mtaje monitress na monitor alikuwa nani wakati ulee aahahahahahahhahahahaaaa

Halafu sura zinabadilika ujue.... 20 years plus huko nyuma aiseeh ni umri wa mtu huo na sasa ana ndoa yake na watoto kweli mie ni kigagula looh aahahahahahahahahaha ilitakiwa niwe na wajukuu saa hizi looh.
 
Aahahahahahahahaaaa yaani wewe unanivunja mbavu ujueee Aahahahahahahahaaaa looh

Kwahiyo taswira unazikumbuka vyema za 7C aahahahahahahhahahahaaaa. Hebu mtaje monitress na monitor alikuwa nani wakati ulee aahahahahahahhahahahaaaa

Halafu sura zinabadilika ujue.... 20 years plus huko nyuma aiseeh ni umri wa mtu huo na sasa ana ndoa yake na watoto kweli mie ni kigagula looh aahahahahahahahahaha ilitakiwa niwe na wajukuu saa hizi looh.
Nawajua monitors wote wa 7 A,B,C nikikutajia utajua nimemaliza lini mwisho utanijua. I was famous by the way.
 
Kasie usiniulize tena habari za shule maanake dunia ndogo hii...

Sawa nimeacha ila sina mbavu hapa nilipo aahahahahahahaaa. Jumamosi ntaenda pale palipokuwa na kiduka cha baba Taibali kuna shosti yangu bado anakaa maghorofa yale.

Haya nashukuru kwa kumbukumbu njema, ubarikiwe.
 
Hahahahaaa yaani wewe unakumbuka kabisaa na ilikuwa atakayecheza hadi kufikia 100 kwa kuhesabu vile vyumba vya mstatili kwenye kila pembe au kona anakuwa kawaokoa wengine wote waliobabuliwa. Mnaozinga msipokuwa na ushirikiano mtazinga hata mara tatu. Hapo ndo kubabuana mabomba kanaanza na mpira ujazwa mchanga hahahahhaaa ukibabuliwa la uso lazima ukae chini kwanza hahahahahaa.

Ila napenda kwasababu inakupa akili ya mahesabu na kufikiria nawamalizaje hawa kisha nami niingie kucheza,mie nilikuwa nikizinga nahakikisha nimewababua kwanza wanaojua kucheza wenye machejo. Halafu wale ambao hawana machejo aaah unawamaliza fasta. Aliyetoka wa kwanza na wa mwisho ndo wanazinga.

Sasa nikiingia kucheza nahakikisha napambana sibabuliwi wa kwanza na pia nachezaaa nikiona watu wanakaribia kuisha najibabulisha ili nisizinge hehehehehehehehee. Hesabu za kitaani hizo zinaitwa.

Sasa itokee waliobabuliwa ifike zamu yao kuzinga halafu wajidai wameitwa kwao weeeh lazima tuwababue kwa mpira na wakija siku ingine lazima waanzie kuzinga.

Na ikitokea mti kaja kakuta mchezo ushaanza na anataka kuingia basi anaambiwa aingie kuzinga kwanza kisha ndo acheze wakifanikiwa kuwababua wote.

Mkifika siku ingine ndo mnaanza mnapinga inkseeksooo mnakuwa wanne, wataonyanyua viganja juu timu moja wataofunika viganja timu ya pili weeeh ilikuwa raha. Hiyo tuliitumia kwe ye rede ya mateka. Daaah those days....
[emoji23] days of our lives..
 
Nawajua monitors wote wa 7 A,B,C nikikutajia utajua nimemaliza lini mwisho utanijua. I was famous by the way.

Wala usiwataje acha tuu it was funny enough kuvuta memory ya ule mti pale anaosahishaga madaftari mwalimu Ndosi.

Daah nimekumbuka ubuyu wa muhimbili kuke juu wenye pilipili sijui ndo ulikuwa ubuyu wa Zanzibar.
Siku walimu wakicharuka wanaanza kukagua ulimi nje, ukikutwa mwekundu unaambiwa uokote punje 100 za ubuyu usipozitimizia unakula mkong'oto daah. Rafiki yangu siku moja alikutwa ulimi mwekundu kidogo akajitetea mwalimu mie niliomba tuu aahahahahaaa ajibiwa wacha nikulambe fimbo 2 halafu nawewe ukawagaie maumivu. Uache kuomba omba aahahahahaaa.
Daah haya bana basi ngoja tuache hizi habari it has been long.

Mie natamani hilo tamasha tuu watu waandae Old School Re-union sie tulipe viingilio tuserebuke kwa afya zetu.
 
Yaani nakwambia itakuwa boonge ya kolaabooo. Ntabiringita hadi chini hadi utafurahi na ntainuka hadi juu bila kutegea wala kushikilia chini.

Wajua Kasie wa nje mwenye mwili na muonekano wa macho ni kigagula lakini Kasie wa ndani anajenga hapa yuko soo young yawezekana hata haja vunja ungo.......

Ndo maana saa ingine watu humu hawanielewagi ila kwakuwa mie najijua aaah kwa raha zangu. .... Happy like will never die hehehehehehe

Tutacheza huo na kuruka kamba pia aahahahahaaa. Halafu ili RRONDO asituchulie tunamwambia yeye ndo atushikie kama kurusha ndo atakuwa anazinga hehehehee.

Hebu waandae hilo tamasha kwakweli. Hata kiingilio wakiweka 100,000 poa tuu heheheheee (msinirushie mawee hamani) mwenzetu hapa nina furaha ajabu si ajabu ikija siku ya kulipa kiingilio na mimi nikalalamika mbona bei kubwa kumbe niliitaja mwenyewe hehehehheee.
Hahahahaahha.... I Kanti You!! Mimi mvivu wa kucheza toka utotoni nitakuwa nawashangalia wewe na kaka B hapo mkiingia Kati....
 
Kila mtu kwaoo kwaoo akachapwe fimbo za matakoo.
Ha ha ha ha hapo una paka mate mkononi ......ile ya kuimba mko mduara (kama una wako mshike kiuno chini kwa chini ehee chini kwa chini)
 
[emoji23] days of our lives..

Indeed those were days of our lives.....
Those were times unasubiria xmas kwa hamu mle special diet siku hiyo. Asubuhi chai na maandazi mchana pilau usiku tumevimbiwa hata hatuli maana tumbo liko hihaa
Aahahahahaaa looh
 
Duh! huuu uzi umenikumbusha zamani sana, kwanza umenifanya niikumbuke hii TANESCO wakati tunaimba nyimbo hizo na mgao ulikuwepo kama kawa, yaani hadi leo mgao bado upo na nyimbo zimekwisha.
 
Back
Top Bottom