Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Vilainishi 1000 Kuna watu walikuwa wanapewa mpaka Dolla million 50 wanakataa kufumuliwa Malinda na P Diddy
Dddduuuhhh nimechekaaaaa hatari, wallah kosa yote usikose hela ya bando tu, utakufa kwa stress 😂 😂
 
Wewe ungefurahi kusikia mtoto wako wa kumzaa wanampakua, au ni kwa vile siyo mtoto wako.
 
Unatazama video baada ya video: sema basi, Diamond kafanya nini,hata huoni kitu.
 
Huu uzi nimesoma comments mpaka natetemeka. Miaka ijayo watoto wangu sijui wataolewa na nani. Sioni wakuwaoa zaidi naona wa ku compite nao kutafuta mabwana
 
Huu uzi nimesoma comments mpaka natetemeka. Miaka ijayo watoto wangu sijui wataolewa na nani. Sioni wakuwaoa zaidi naona wa ku compite nao kutafuta mabwana
Kama vipi uwaoe wewe uwakaze vizuri.
 
Jamaa alikosa utajiri hivi hivi..atakua anajilaumu sana.
FB_IMG_1727533559798.jpg
 
Back
Top Bottom