Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Payge
Active
Moderator
Mleta mada ameanzisha mada ya kupromote mapenzi ya jinsia moja kwa kubadilisha na hela,
Inakuaje hii mada mnaiacha hewani mpaka sasa hivi? na mleta mada hajapigwa ban?
Wewe fukara tu unapata wap muda wa kua huku tafuta hela..
Hii habari haitotolewa hilo nakuhakikishia. Hutaki kunywa sumu.hata ivyo hata ukifa hauna impact yoyote.
 
Wewe fukara tu unapata wap muda wa kua huku tafuta hela..
Hii habari haitotolewa hilo nakuhakikishia. Hutaki kunywa sumu.hata ivyo hata ukifa hauna impact yoyote.
Kitendo cha kumwita fukara mtu usiyemjua,kinathibitisha kua umeshajikatia tamaa ya maisha,huna future yeyote,unahisi kila mtu anapitia magumu unayoyapitia wewe,

Hivi kuna ufukara zaidi ya huu kwa wewe kusema kua upo tayari kuliwa nyuma ili upewe hela tu?
Uwe unajipa muda wa kutafakari kabla hujaandika jambo hapa JF.
 
Wewe unaekula kiboga umefanikisha nini kwenye maisha zaid ya kua fukara tu had unapata mudawa kubishana na mim..njoo tuunganishe nguvu tutafute konekisheni tupate utajir
siwezi kuunganisha ushaji na msenge!!!'''MUNGU alikupa mkundu kwa ajili ya kunya sio kwa ajili ya kuingiliwa!!...MBIZI wewe!!...hauoni aibu?
 
siwezi kuunganisha ushaji na msenge!!!'''MUNGU alikupa mkundu kwa ajili ya kunya sio kwa ajili ya kuingiliwa!!...MBIZI wewe!!...hauoni aibu?
Fukara unajifanya mtakatiffu na wakat nyuma ya pazia gizani huko unapenda kufirah wadada. [emoji706]
 
Mimi nawashangaa mno mnavyomkalia kooni msanii Daimond na kumdhihaki kwa kila namna kusema tu alifika kwa msanii paff dady

Mwacheni, umasikini mbaya nyie,, shida mkwanja uingie tu, au aliunganishwa kwenye chama cha siri cha giza, nyinyi masikin wenzangu inawauma nini

Nimejua bongo kweli kuna husda na chuki mbaya sana kwa matajiri

Kikubwa ni pesa tu, hayo mengine tuwaachie wenyewe
Aisee ila jamani $50 million parefu nyie...kweli pdaddy alikuwa anajuwa kuwapa watu offer they cant refuse🤣🤣🤣🤣
Ushauri vijana tuendeshe bodaboda tuu utajiri n umaarufu una mengi yake mambo
 
Mimi nawashangaa mno mnavyomkalia kooni msanii DaiKwanjmond na kumdhihaki kwa kila namna kusema tu alifika kwa msanii paff dady

Mwacheni, umasikini mbaya nyie,, shida mkwanja uingie tu, au aliunganishwa kwenye chama cha siri cha giza, nyinyi masikin wenzangu inawauma nini

Nimejua bongo kweli kuna husda na chuki mbaya sana kwa matajiri

Kikubwa ni pesa tu, hayo mengine tuwaachie wenyewe
Kwani Ali Kiba anasemaje?
 
Ustaz kanichekesha sana alivyokuwa akilia kumsikitikia Dianamoo 🤣🤣🤣

Ndio kana Imeandikwa usitamani alichonacho mtu mwingine maana hujui Siri ya mafanikio yake.
 
Aisee ila jamani $50 million parefu nyie...kweli pdaddy alikuwa anajuwa kuwapa watu offer they cant refuse🤣🤣🤣🤣
Ushauri vijana tuendeshe bodaboda tuu utajiri n umaarufu una mengi yake mambo
Hawa jamaa wote walipakwa mafuta wakalegezwa makalio including huyo jamaa aliyesema mambo mengine hawezi kusema. Hizi pesa usione mtu anaendesha gari nzuri mbwemu nyingi kumbe kalegezwa makalio.
 

Attachments

  • VID-20240926-WA0055.mp4
    7.7 MB
😂😂 Nyara za Serikali zinaliwa bila kibali huko Ubeberuni.
 
Dunia ikiwa na watu kama hawa kwa 1/3 tu haitaendelea kabisa. Hebu check km huyu jamaa hata hajishitukii
 
Shida inakuja aliposema mengi yaliyofanyika hayafai hata kupost
 
Back
Top Bottom