Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Mimi nawashangaa mno mnavyomkalia kooni msanii Daimond na kumdhihaki kwa kila namna kusema tu alifika kwa msanii paff dady

Mwacheni, umasikini mbaya nyie,, shida mkwanja uingie tu, au aliunganishwa kwenye chama cha siri cha giza, nyinyi masikin wenzangu inawauma nini

Nimejua bongo kweli kuna husda na chuki mbaya sana kwa matajiri

Kikubwa ni pesa tu, hayo mengine tuwaachie wenyewe
mkuu kufilika sio jambo dogo kwa mtoto wa kiume...hata ukiwa na pesa vepe ukitiwa dude makatoni wewe na na gigy money ni sawa tu
 
Mwambie kabisa huyu mpumbavu anayekomalia kwamba diamond kapata hela baada ya kufirwaa na p did
Huna hela wewe kinabo. Una pata muda wa kuingia humu kubishana na mimi ..una hela gani wewe
 
Sioni tatizo la Diamond kuwa na privacy zake, hata mimi sipost maisha yangu yote mtandaoni.

Ni nongwa za kipumbavu tu, mtu aliyefirwa hawezi kuongea hivi, hata mastaa wana mambo yao private.

Kwa akili hizi ccm itaendelea kutawala kwa miaka mingi ijayo.
 
Unaposema kuwa kikubwa ni pesa tu... maana yake wewe uko tayari kufanya chochote mradi upate pesa...
Swali kwako: Hivi kama kinachosemwa kuwa kimetokea kwa hao wasanii kwa Diddy ni kweli. Je wewe ungekuwa tayari kuwa sodomised ili upate hiyo hela?
NB: unapojibu elewa kuwa umesha sema kuwa kikubwa ni pesa tu.
mbona ameshajibu huko juu, ye ni team Jumalokole aka Camara katoka golini
 
Majuto hua ni kwa mafukara kama nyinyi [emoji23] hata milo mitatu hamuwez , hauna hela wewe mbwa njoo tutafute konekshen kama daimond tupige hela..umesikia we fukara

Kama PDD analia wewe nani na ukurutu wako kwenye hilo hole? Kalale mbele 😂 😂 😂
Tushaanza kusikia wanaachia watoto majukumu. Kuna mambo sio rahisi kwa mtu mwenye akili zake. Hawa wanaoliwa machafukeni waendelee tu na watakufa mafukara kaka wewe😂😂😂😂
 
Nishindwe kumuonea Wivu Benjamin Fernandes(31 yrs)wa NALA aliyekataa Mshahara wa 450m kwa mwezi ndiyo nimuonee wivu Dayamondi(35 yrs) Mpakwa mafuta anayeingiza 250m kwa mwezi?

Kwenye circle yangu sina connection na Dayamondi hata kwa asilimia 0% ,so awe bilionea namba moja duniani au mpakwa mafuta wa diddy au nani hainiathiri hata chembe ila tunaongea tu Ukweli kwamba DAYAMONDI ALIPAKWA MAFUTA ,mbona Burna katulia tuli anakula tu matuzo ya grammy.

Achana na muuza shimo la taka....anahisi takataka zitamtoa kimasomaso 😂 😂 😂 😂
 
Alienda kwa didy akanyweshwa pombe akazima wakampaka wese didy kala bikra anakujashtuka didy kalal pemben dushe lipo on pemben mabodygadi we unafanyanin kama sio kukubali matokeo tu upewe millions dollar zako
 
Kama hayo yalimtokea, sidhani kama hata angegusia kwenda kwa huyo jamaa. Nina imani ana punje ya aibu.
HAYO YOTE ALIYAONGEA KABLA MWAMBA HAJAKAMATWA SO HAKUJUA KAMA MWAMBA ATAKAMATWA.
 
Waache unafiki..wamepata utajir leo wanajifanya kukimbia..wajifunze kua na shukran..mimi nisingefuta..na kwanza ningewaambia kabisa ni kweli nimeinamishwa ili nipate utajiri..mbona hua wanaonesha harus za wanaume kwa wanaume hazarani au madem kwa madem..pumbav zao.
Njoo tukuinamishe tukugee utajiri pesa zipo
 
Back
Top Bottom