Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumba

Sii tu kwamba aliyetuumba bali ameenda mbali zaid hata akamtoa mwanae wa pekee ili tupate kupona

Kuna nyakati niliishi kwenye zambi sana lakini MUNGU ni MWAMINIFU alinitoa huko akanipa neema au baraka au zawadi ya uwongofu

Si kwamba sitendi zambi kabisa hapana kuna mda kama mwanadamu unajikuta umeanguka, kuna mda ukianguka MUNGU anashusha fimbo hapo hapo kuna mda anasamehe kabisa kama hakijatokea kitu

Sasa bas toka baltazar atrend nilijizua kuzama uchafu ule maana mimi huwa sitazami kabisa porn kwakuwa kutazama porn ni dhambi kubwa sana na ni lango la adui kwa ajili ya kutukosanisha na MFALME aliyetuumba

Lakini kadri makelele yalivyo kuwa yakizid nikajisemea ebhu ngoja nitazame kama mbili tatu hivi Kwan kuna nini

Alooo usiku nilipo lala BWANA MUNGU kaniletea mapigo makali sana kama adhabu kwanini nilitazama uchafu ule

Najuta sana kutazama uchafu ule kwakweli
Na ninashukuru sana kuona kwamba kumbe ROHO wa MUNGU yu pamoja nami

Lakin sasa naomba kuwauliza ninyi wezangu je huwa hampati mapigo yeyote yale juu ya dhambi na uovu mnaotenda?

Moderater msiunganishe huu uzi na zile nyuzi za baltazar

Asante sana BWANA YESU KRISTO

LONDON BOY
 
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumb...
mtu ambaye yeye ni mdhambi kwake kutazama ndo chakula chake maana ile dhamira safi ya kimungu ilishakufa siku nyingi haifanyi kazi! Ila wewe ambaye unaijua kweli ya Mungu maanake dhamiri yako bado haijafa kwa habari ya kumhofu Mungu, ndo maana ukifanya jambo mbaya unakosa amani!

Ndo maana ulipotazama uchafu huo uliadhibiwa na adui kwa sababu sio maisha yako hayo! Jitahidi kujizuia ukijua kwamba duniani kuna falme mbili ufalme wa shetani na ufalme wa Mungu kila ufalme una maisha yake! Hivyo chagua ufalme mmoja utulie huko
 
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumb...
In spiritual ile sio bahati mbaya ni mpango kabisa wa kuchafua nafsi za wanadamu

Mkakati ulikuwa ni watu maarufu so Kila mmoja atavutiwa

kuzitazama hivyo gharama yake ni kubwa Sana kwa MTU anauemcha Mungu kutazama huo uchafu
 
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumba

Sii tu kwamba aliyetuumba bali ameenda mbali zaid hata akamtoa mwanae wa pekee ili tupate kupona

Kuna nyakati niliishi kwenye zambi sana lakini MUNGU ni MWAMINIFU alinitoa huko akanipa neema au baraka au zawadi ya uwongofu

Si kwamba sitendi zambi kabisa hapana kuna mda kama mwanadamu unajikuta umeanguka, kuna mda ukianguka MUNGU anashusha fimbo hapo hapo kuna mda anasamehe kabisa kama hakijatokea kitu

Sasa bas toka baltazar atrend nilijizua kuzama uchafu ule maana mimi huwa sitazami kabisa porn kwakuwa kutazama porn ni dhambi kubwa sana na ni lango la adui kwa ajili ya kutukosanisha na MFALME aliyetuumba

Lakini kadri makelele yalivyo kuwa yakizid nikajisemea ebhu ngoja nitazame kama mbili tatu hivi Kwan kuna nini

Alooo usiku nilipo lala BWANA MUNGU kaniletea mapigo makali sana kama adhabu kwanini nilitazama uchafu ule

Najuta sana kutazama uchafu ule kwakweli
Na ninashukuru sana kuona kwamba kumbe ROHO wa MUNGU yu pamoja nami

Lakin sasa naomba kuwauliza ninyi wezangu je huwa hampati mapigo yeyote yale juu ya dhambi na uovu mnaotenda?

Moderater msiunganishe huu uzi na zile nyuzi za baltazar

Asante sana BWANA YESU KRISTO

LONDON BOY
Alikupa mapigo Gani!?
 
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumba

Sii tu kwamba aliyetuumba bali ameenda mbali zaid hata akamtoa mwanae wa pekee ili tupate kupon...
Sasa wewe unajua kabisa kutazama pounds ni dhambi na Roho wa Mungu amekupnya lakini bado ukafanya shingo ngumu. Lazima upate mapigo na shukuru kwakuwa kila mwana apendwaye hurudiwa na Baba. Wewe ni mtoto wa Mungu usirudie tena hayo mauchafu.

Halafu nakushangaa unavyouliza wengine kwani wao wamemwamini Yesu na kufanyika watoto wa Mungu? Iwapo mtu hahatuhu na kumpokea Yesu, Roho wa Munhu hawezi kuingia ndani yake na ikiwa mtu teyote hana Roho wa Kristo huyo sio wake na hawezi kudikia hukumu ktk matendo maovu kwakuwa dhamiri yake imekufa ganzi.
 
BWANA awe nanyi wana wa MUNGU

Kwanza naomba kumshukuru MWENYEZI MUNGU aliyetuumba

Sii tu kwamba aliyetuumba bali ameenda mbali zaid hata akamtoa mwanae wa pekee ili tupate kupona

Kuna nyakati niliishi kwenye zambi sana lakini MUNGU ni MWAMINIFU alinitoa huko akanipa neema au baraka au zawadi ya uwongofu

Si kwamba sitendi zambi kabisa hapana kuna mda kama mwanadamu unajikuta umeanguka, kuna mda ukianguka MUNGU anashusha fimbo hapo hapo kuna mda anasamehe kabisa kama hakijatokea kitu

Sasa bas toka baltazar atrend nilijizua kuzama uchafu ule maana mimi huwa sitazami kabisa porn kwakuwa kutazama porn ni dhambi kubwa sana na ni lango la adui kwa ajili ya kutukosanisha na MFALME aliyetuumba

Lakini kadri makelele yalivyo kuwa yakizid nikajisemea ebhu ngoja nitazame kama mbili tatu hivi Kwan kuna nini

Alooo usiku nilipo lala BWANA MUNGU kaniletea mapigo makali sana kama adhabu kwanini nilitazama uchafu ule

Najuta sana kutazama uchafu ule kwakweli
Na ninashukuru sana kuona kwamba kumbe ROHO wa MUNGU yu pamoja nami

Lakin sasa naomba kuwauliza ninyi wezangu je huwa hampati mapigo yeyote yale juu ya dhambi na uovu mnaotenda?

Moderater msiunganishe huu uzi na zile nyuzi za baltazar

Asante sana BWANA YESU KRISTO

LONDON BOY
Adhabu ipo palepale kwa watenda dhambi
 
Back
Top Bottom