Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

Ahahaha

Ila huyu mzee kiboko ata mirinda haingii kwasababu huyu anazo epsod nyingi sana za kutosha
Kwan zote kazipiga sku moja?,,kam jibu ni hapana basi hana ukiboko wowote,, vijana wengi tu wanapga zaid ya hao sema hawarekod
 
Leo unaposali, omba kila unachogusa kwa mikono yako kibarikiwe na kizae matunda. Kila akili yako inapotumika kufanya jambo lenye manufaa basi na likafanikiwe. Wale tunaopata riziki kupitia wao Mungu aendelee kuwabariki. Na pale vinywa vyetu vinapofunguka basi viongee busara
 
Umesema umeadhibiwa usiku kucha, sema ni adhabu gani hiyo mkuu ili na sisi tukae mbal na porn za BALTAZARII
Ni mateso makali mtumish ambayo huwez hata yaelezea
 
mtu ambaye yeye ni mdhambi kwake kutazama ndo chakula chake maana ile dhamira safi ya kimungu ilishakufa siku nyingi haifanyi kazi! Ila wewe ambaye unaijua kweli ya Mungu maanake dhamiri yako bado haijafa kwa habari ya kumhofu Mungu, ndo maana ukifanya jambo mbaya unakosa amani! Ndo maana ulipotazama uchafu huo uliadhibiwa na adui kwa sababu sio maisha yako hayo! Jitahidi kujizuia ukijua kwamba duniani kuna falme mbili ufalme wa shetani na ufalme wa Mungu kila ufalme una maisha yake! Hivyo chagua ufalme mmoja utulie huko
AMINA ubalikiwe sana mtu wa MUNGU
 
Alooo usiku nilipo lala BWANA MUNGU kaniletea mapigo makali sana kama adhabu kwanini nilitazama uchafu ule

Mapigo yapi? Nami nimeziona Mr. Kanionyesha kwa simu yake.. Kwa kweli huyo alikuwa mmmmmh kama kaugonjwa au jinamizi fulani analo kupata raha kwa hayo.

Na challenge yake ipo wanawake na wanaume wamepata dance style mpya 😂😂😂
 
Mimi Niko hooi siku mbili ndani hata sioni sina nguvu.
Bwana Yule kama nchini kwao hawamtaki wamlete huku
Chadema tusaidieni kupaza sauti
 
Ila pono hata wa kwa Biblia waliyatenda hayo. Though waliochungulia mmmmmh...
 
Back
Top Bottom