Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

Kweli ,ila huwa hawamwambii ukweli
 
Ongeza wanafunzi.
 
Jumlisha na washamba wanaokuja kuangalia migari ya ikulu na protokali za tiss wakasimuliane miwani na bastola za tiss kwamba ni ya CIA na wapuuzi wengine wengi plus wafanyabiashara ndogondogo ambao wako upinzani ila wanatumia hiyo mikutano ya ccm kama fursa ya kibiashara.
 
Mnaumia nn ndo maana wanaume tunawahi kufa🤣
Hyo nyomi ndo kura zenyewe sasa
 
Apo bado kundi la walimu wanao lazimishwa kwenda kwenye mikutabo bila kupenda
Bado kundi la wanafunZi... Bado la Boda Boda... Bado wale wanasombwa kwa malori ya mchanga na Mkapa!

Anyways, wingi wa watu si hoja. Hoja ni je wanaokuja kwenye mapokezi hali zao zikoje?
 
JF is no longer of GT!
 
Bado kundi la wanafunZi... Bado la Boda Boda... Bado wale wanasombwa kwa malori ya mchanga na Mkapa!

Anyways, wingi wa watu si hoja. Hoja ni je wanaokuja kwenye mapokezi hali zao zikoje?
Wengi wao wanakuja hata wenyewe hawajui wanakuja kufanya nini,
 
Mkuu,kwa zama hizi ,kuwa na jamii ya watu wenye mawazo finyu hivi,wanaoshabikia na kusifu ujinga,NI JANGA KWA TAIFA,tutachelewa sana kufika.
Mkuu unachelewa kufika na nani ? Wahi tutakukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…