barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ila kwa njia ipitazo ndio inaimarika zaidi.Madrid msimu huu inapita kwenye njia nyembamba sana
Tusubiri ila lolote linaweza kutokea..Roma hakutegemewa kufika paleafadhali, angalau liverpool waingie fainali...
Bora apangiwe hizo hizo njia nyembamba maana akipangiwa barabara pana Haters wataongea kuwa anapendelewa kupangiwa vibondeIla kwa njia ipitazo ndio inaimarika zaidi.
Inafika mahali sasa wamezoea kupita njia nyembamba.
Waingereza na mashabiki wa liver wanaamini Mancity ni timu bora kabisa duniani kwa sasa hivyo kuitoa kwa goli za kutosha basi kunawapa wao uwezo wa kumfunga yeyote ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.Liverpool hata mimi nilimtamani tumlambe wanajiamini sn.
Kumtoa city imekuwa nongwa sana sasa tukutane fainal Tuwape dawa.
Real.Tusubiri ila lolote linaweza kutokea..Roma hakutegemewa kufika pale
Watu wana kumbukumbu fupi, jamaa kamtoa Barcelona.Tusubiri ila lolote linaweza kutokea..Roma hakutegemewa kufika pale
Liverpool wako vzr ila sio wa kutisha dunia..Waingereza na mashabiki wa liver wanaamini Mancity ni timu bora kabisa duniani kwa sasa hivyo kuitoa kwa goli za kutosha basi kunawapa wao uwezo wa kumfunga yeyote ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.
Hivi hata mchezaji mmoja mmoja, unawezaje walinganisha na kina Ronaldo, Modric, Casemiro, Marcelo, Verane, etc na kina Salah, Mane, Firmino, etc ambao hata hawajashinda vitu.
Napenda wakutane na Real fainali wapewe somo, tena inaweza kuwa fainali moja ya one sided sana!!
Sawaa trh 24 sio mbali tusubiri mkuu.Kwa tunaojua mpira na pia tumeshawahi kuucheza kwa Viwango vyetu halafu ni wafuatiliaji na wachambuzi wa masuala mbalimbali hadi yahusuyo Mchezo wa Mpira wa miguu katika Timu Nne zilizofuzu Semi Finals na uwepo wa Timu ngumu na ya ' Kiume ' kabisa ya Liverpool FC huhitaji kupoteza mno muda wako kujua ya kwamba iwe isiwe Kombe la Champions League la 2017/2018 linabebwa na Liverpool FC ambayo nina uhakika itakutana FC Bayern Munchen Fainali huko.
Vijana wa 40s na late 30s mnapenda sana kujipa moyo.Kwa tunaojua mpira na pia tumeshawahi kuucheza kwa Viwango vyetu halafu ni wafuatiliaji na wachambuzi wa masuala mbalimbali hadi yahusuyo Mchezo wa Mpira wa miguu katika Timu Nne zilizofuzu Semi Finals na uwepo wa Timu ngumu na ya ' Kiume ' kabisa ya Liverpool FC huhitaji kupoteza mno muda wako kujua ya kwamba iwe isiwe Kombe la Champions League la 2017/2018 linabebwa na Liverpool FC ambayo nina uhakika itakutana FC Bayern Munchen Fainali huko.
Katika uchambuz huu Umeweka ushabiki ila ukiutoa jamaa uko vzr.Kwa tunaojua mpira na pia tumeshawahi kuucheza kwa Viwango vyetu halafu ni wafuatiliaji na wachambuzi wa masuala mbalimbali hadi yahusuyo Mchezo wa Mpira wa miguu katika Timu Nne zilizofuzu Semi Finals na uwepo wa Timu ngumu na ya ' Kiume ' kabisa ya Liverpool FC huhitaji kupoteza mno muda wako kujua ya kwamba iwe isiwe Kombe la Champions League la 2017/2018 linabebwa na Liverpool FC ambayo nina uhakika itakutana FC Bayern Munchen Fainali huko.
Mkuu, unaleta siasa hapa! Zimepangwa mapema kivipi??KOTE, UEFA NA EUROPA fainali zimepangwa mapema. amabao wanasifa za kukutana fainali wamekutanishwa mapema mno nusu fainali!
Hata za Real, Buyern nazo zilitangazwa. Gazeti la The Sun ni gazeti la udaku, sio kila gazeti la Uk au linaloandika kwa lugha ya kizungu ni reliable source.hii draw kama imekuwa staged! ROMA waliatangaza kuuza ticket za game yao ya may 2nd na liverpool kwenye website yao tangu jana! tunapigwa kekundu! wanaweka vipira vilivyo chemshwa!
Roma sell tickets to face Liverpool... day before they draw Reds in semi-final
Wewe umeelewaje? Ni mtazamo wangu tu!Mkuu, unaleta siasa hapa! Zimepangwa mapema kivipi??
Hata za Real, Buyern nazo zilitangazwa. Gazeti la The Sun ni gazeti la udaku, sio kila gazeti la Uk au linaloandika kwa lugha ya kizungu ni reliable source.
Draw HAZIJAPANGWA. Ndio nilivyoelewa.Wewe umeelewaje? Ni mtazamo wangu tu!