Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira umeanza kuangalia lini. Manchester city hajawahi kuingia nusu fainali are you serious?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba nikukumbushe kama ulikua tayari umeanza kufuatilia mpira wa ulaya na kama bado naomba nikujuze Manchester city alifika nusu fainali na kutolewa na real Madrid msimu wa 2015-2016.Waingereza na mashabiki wa liver wanaamini Mancity ni timu bora kabisa duniani kwa sasa hivyo kuitoa kwa goli za kutosha basi kunawapa wao uwezo wa kumfunga yeyote ila hawajui kuwa mancity haijawahi hata fika nusu fainali ya uefa champions league.
Hivi hata mchezaji mmoja mmoja, unawezaje walinganisha na kina Ronaldo, Modric, Casemiro, Marcelo, Verane, etc na kina Salah, Mane, Firmino, etc ambao hata hawajashinda vitu.
Napenda wakutane na Real fainali wapewe somo, tena inaweza kuwa fainali moja ya one sided sana!!
Kingdoms are conquered bro!Umeanza kushabikia mpira msimu uliopita, sio kosa lako.
Siidharau Mancity, ila rekodi HAZIDANGANYI, ulaya ni wachovu na pia rekodi hazidanganyi, REAL NDIO KINGS OF EUROPE, hutaki acha!!
Ronaldo ni mshamba mkuu. Msamehe. Mbona ashasemwa na wenyewe huko.Mm siumiagi akifunga nakerekaga na masifa yake basi
Wewe nadhani utakuwa shabiki united.Wapange tu watu wao..mimi hiyo michuano hapana,imenitoka kabisa
Wewe nadhani utakuwa shabiki united.