Nyonga ya Mama kukosa uwiano na kichwa cha mtoto wakati wa kujifungua

Nyonga ya Mama kukosa uwiano na kichwa cha mtoto wakati wa kujifungua

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Kutokuwa na uwiano wa kichwa cha mtoto na nyonga ya mama wakati wa kujifungua ''Cephalopelvic disproportion (CPD)'' hutokea wakati kuna kutolingana kati ya ukubwa wa kichwa cha mtoto na saizi ya nyonga ya mama kupitia njia ya uzazi kutokana na fupanyonga iliyobana au yenye umbo lisilo la kawaida, na kusababisha "kushindwa kuendelea na mchakato wa leba" kwa sababu za kiufundi.

Tahadhari isipochukuliwa, matokeo yake ni 'uzazi pingamizi (Obstructed labour)' ambayo inaweza kuhatarisha maisha ya mama na mtoto.

1684572808729.png
 
Sawa mtaalamu.! Jana nimepokea taarifa ndg yangu amefanyiwa operation kisa mtoto mkubwa kuliko sehemu ya kutokea.

So how this possible mtoto awe mkubwa kuliko sehemu za kutokea na nyonga imufunguk vzr tu??

Ni sawa na kusema yai tumbon mwa kuku ni kubwa kuliko sehemu ya kutokea
 
Sawa mtaalamu.! Jana nimepokea taarifa ndg yangu amefanyiwa operation kisa mtoto mkubwa kuliko sehemu ya kutokea.

So how this possible mtoto awe mkubwa kuliko sehemu za kutokea na nyonga imufunguk vzr tu??

Ni sawa na kusema yai tumbon mwa kuku ni kubwa kuliko sehemu ya kutokea
Kufitika au kupungua kwa mlango wa uzazi (Cervical effacement) huwenda sambamba na kupanuka au kufunguka kwa njia ya uzazi (Cervical dilation): Kupanuka kwa mlango wa uzazi ni wakati njia inapofunguka inapimwa kwa sentimita. Ikiwa njia imefunguka kabisa kikamilifu inatakiwa kupanuka kwa sentimita 10. Sababu zinazo pelekea njia kushindwa kufunguka ni pamoja na mikazo dhaifu, mtoto kuwa mnene, mtoto kutokutanguliza kichwa. mama kuwa na nyonga ndogo, na njia ya uzazi kuwa ndogo.
 
Kufitika au kupungua kwa mlango wa uzazi (Cervical effacement) huwenda sambamba na kupanuka au kufunguka kwa njia ya uzazi (Cervical dilation): Kupanuka kwa mlango wa uzazi ni wakati njia inapofunguka inapimwa kwa sentimita. Ikiwa njia imefunguka kabisa kikamilifu inatakiwa kupanuka kwa sentimita 10. Sababu zinazo pelekea njia kushindwa kufunguka ni pamoja na mikazo dhaifu, mtoto kuwa mnene, mtoto kutokutanguliza kichwa. mama kuwa na nyonga ndogo, na njia ya uzazi kuwa ndogo.
Ok sawa mtaalamu nimekuelewa. !

Shukran.
 
Back
Top Bottom