Nyoshi Al Sadat anashangaza sana

Madame nilipe hela yangu
Ili Nile minyama na kuinjio mzik mzuri
Sasa matusi ya nn?
Au kifurushi kulikuwa na package ya kucheza?
 

Utakuwa hujui historia ya nyoshi na fm academia!! Nyoshi na band yake hii hajafikia level ya FM academia!! Mtu hawezi kuinuka kucheza mziki ambao haina vibe!! Atapata tabu sana!! Mwambie au nikupigie ndo umwambie!! Niko nae hapa!!
[emoji16]
 
Acha kujifariji wewe,wewe endelea tu kukaa kwenye vijiwe vya kahawa na kubishana Simba na Yanga,huyo uliyemquote ni wapi amesema huko hampigi hela?

Halafu wewe ungekua na hela usingekuja kulia lia hapa eti sijui umechoma mafuta,mara eti umetumia gharama zako,punguza chuki kila mtu na maisha yake.
 
Sina la kuongeza๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Bia imegeuka moshi kichwani.

Si haba, hebu jaribu kiingereza basi tujue umekunywa brand ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ