Nyoshi Al Sadat anashangaza sana

Nyoshi Al Sadat anashangaza sana

Sasa usipoenda kwenye mziki ndio unamkoa Nyoshi Kweli?🤣🤣🤣🤣hata usipoenda wewe wataenda wengine...
By the way,Kwa Nini mlikuwa hamchezi mziki?mlienda kumchora tu mwenzenu sio?
 
Nyoshi nampenda sana sababu ni mkweli, hajui kupindisha maneno. Kama mkorogo anaopaka tu anasema na kuuonesha itakuwa kuwasema nyie? Sasa kama wazungu wanacheza kwanini nyie hamchezi?

Kawachamba mkome na unafiki wenu wa kibongo. Eti mmeenda kumuangalia ana jipya gani, kawakomesha!
We dada tuhurumie plz
 

Nipo hapa makumbusho anapiga show na band yake ya Bogos Musica!! Kuna wazungu wamejaa hapo mbele then anawapongeza wazungu kwa kucheza mziki wake then anasema “nyie waswahili mmekaa tu hata hamchezi wakati wazungu wanacheza, ngoja tuwapigie nyimbo zenu waswahili!!”

Huyu jamaa nahisi kashiba na kuvimbiwa uhuru wa kufanya mziki Bongo!! Huyu kasahau kabisa wakati yuko na FM Academia jinsi watu walivyokuwa wakijaa na kucheza mziki wa FM academia tena yeye akiwa Kiongozi!

Anashindwa kujua hajafikia levels za FM academia na kuishia kututukana sisi “Wachache” tuliojitokeza kuona ana jipya gani!!? Tena kwa gharama zetu!

Tuna Choma mafuta muda [emoji383]! Mamaae! Kwa matusi haya nathibitisha sitohudhuria show yake labda aombe msamaha. Kama vp aende Ulaya akapige mziki wazungu watahudhuria kila siku.

Kaongea utumbo sana leo!! Tunamheshimu sana ila kwa dharau hizi basi Mamlaka imruhusu akajaribu maisha Kinshasa!! Si ndo nyumbani kwao!! Eeh!!basi aende.
Nimejaribu kuangalia kama nitayaona hayo matusi uliyotukanwa na huyo Nyoshi El Sadaat, nimetoka kapa!

Au labda hayo maneno Waswahili na Wazungu yatakuwa na maana tofauti na hii ninayo ifahamu. Au mtoa mada una itikadi za ki ccm? Maana na wenyewe huwa wanataka kusifiwa tu. Ukiwaambia ukweli, wanakuona wewe ni mchochezi!
 
Nyoshi nampenda sana sababu ni mkweli, hajui kupindisha maneno. Kama mkorogo anaopaka tu anasema na kuuonesha itakuwa kuwasema nyie? Sasa kama wazungu wanacheza kwanini nyie hamchezi?

Kawachamba mkome na unafiki wenu wa kibongo. Eti mmeenda kumuangalia ana jipya gani, kawakomesha!
Nifah Jamani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mijitu mingine aisee!! So unahisi huku sisi hatupigi hela!! Wabongo mkitoka nje Mnajiona mmemaliza kumbe wengine ni wabeba box Walmart, Amazon, wakatisha tickets za buses na train [emoji577]! Mwishowe mnaona aibu kurudi bongo na kufia hukohuko!! Kufeni huko kwani nn shida!!!
Du. Comment hiyo ndiyo inakufanya ukoboe mdomo namna hii? Kwenye mitandano ukichukulia mambo serious sana utakufa siku siyo zako. Yaani jamaa kuandika hivyo ndiyo povu mpaka chumba chote kimejaa! Kwa taarifa yako anaweza kuwa ni member yuko Lukuledi huko vijijini anakufanya u-panick namna hii. Hata kama yuko nje mbona alichoandika ni kawaida sana. Mara ngapi hapa watu wanasema mimi niko eg Mwanza nakula sangara... Inferiority complex uliyo nayo siyo ya kawaida...
 

Nipo hapa makumbusho anapiga show na band yake ya Bogos Musica!! Kuna wazungu wamejaa hapo mbele then anawapongeza wazungu kwa kucheza mziki wake then anasema “nyie waswahili mmekaa tu hata hamchezi wakati wazungu wanacheza, ngoja tuwapigie nyimbo zenu waswahili!!”

Huyu jamaa nahisi kashiba na kuvimbiwa uhuru wa kufanya mziki Bongo!! Huyu kasahau kabisa wakati yuko na FM Academia jinsi watu walivyokuwa wakijaa na kucheza mziki wa FM academia tena yeye akiwa Kiongozi!

Anashindwa kujua hajafikia levels za FM academia na kuishia kututukana sisi “Wachache” tuliojitokeza kuona ana jipya gani!!? Tena kwa gharama zetu!

Tuna Choma mafuta muda [emoji383]! Mamaae! Kwa matusi haya nathibitisha sitohudhuria show yake labda aombe msamaha. Kama vp aende Ulaya akapige mziki wazungu watahudhuria kila siku.

Kaongea utumbo sana leo!! Tunamheshimu sana ila kwa dharau hizi basi Mamlaka imruhusu akajaribu maisha Kinshasa!! Si ndo nyumbani kwao!! Eeh!!basi aende.
mnyanyuke mcheze wacha kulalamika we mswahili...
 
Back
Top Bottom