Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Wewe mi nakuuliza kila siku.Badala umwambie hapo unatuambua sisi tulio makwetu tukusaidie nini?
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Ulihama lini Chadema ?
Na kwanini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mi nakuuliza kila siku.Badala umwambie hapo unatuambua sisi tulio makwetu tukusaidie nini?
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
nilikumbuka kabla hujanijibuKweli Rukia! So ulikuwa unanitest au!! Mbongo wewe mnafiki sana!!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We dada tuhurumie plzNyoshi nampenda sana sababu ni mkweli, hajui kupindisha maneno. Kama mkorogo anaopaka tu anasema na kuuonesha itakuwa kuwasema nyie? Sasa kama wazungu wanacheza kwanini nyie hamchezi?
Kawachamba mkome na unafiki wenu wa kibongo. Eti mmeenda kumuangalia ana jipya gani, kawakomesha!
Nimejaribu kuangalia kama nitayaona hayo matusi uliyotukanwa na huyo Nyoshi El Sadaat, nimetoka kapa!
Nipo hapa makumbusho anapiga show na band yake ya Bogos Musica!! Kuna wazungu wamejaa hapo mbele then anawapongeza wazungu kwa kucheza mziki wake then anasema “nyie waswahili mmekaa tu hata hamchezi wakati wazungu wanacheza, ngoja tuwapigie nyimbo zenu waswahili!!”
Huyu jamaa nahisi kashiba na kuvimbiwa uhuru wa kufanya mziki Bongo!! Huyu kasahau kabisa wakati yuko na FM Academia jinsi watu walivyokuwa wakijaa na kucheza mziki wa FM academia tena yeye akiwa Kiongozi!
Anashindwa kujua hajafikia levels za FM academia na kuishia kututukana sisi “Wachache” tuliojitokeza kuona ana jipya gani!!? Tena kwa gharama zetu!
Tuna Choma mafuta muda [emoji383]! Mamaae! Kwa matusi haya nathibitisha sitohudhuria show yake labda aombe msamaha. Kama vp aende Ulaya akapige mziki wazungu watahudhuria kila siku.
Kaongea utumbo sana leo!! Tunamheshimu sana ila kwa dharau hizi basi Mamlaka imruhusu akajaribu maisha Kinshasa!! Si ndo nyumbani kwao!! Eeh!!basi aende.
Hayo malalamiko ungeyapeleka hukohuko kwa wenye hela wenzako wewe koromijeHuna hela wewe!! Lala uote ujikojolee kitandani!!
Niko na nyosh hapa anasema kama vp kunya tikiti
Mjinga huyo
Na ndomana hapewi uraia miaka nenda miaka rudi
Rukia BrunoNikumbushe jina la Marehemu mke wa nyoshi. Dada alikuwaga mzuri yule
Nifah Jamani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyoshi nampenda sana sababu ni mkweli, hajui kupindisha maneno. Kama mkorogo anaopaka tu anasema na kuuonesha itakuwa kuwasema nyie? Sasa kama wazungu wanacheza kwanini nyie hamchezi?
Kawachamba mkome na unafiki wenu wa kibongo. Eti mmeenda kumuangalia ana jipya gani, kawakomesha!
Maimartha wa JeseNikumbushe jina la Marehemu mke wa nyoshi. Dada alikuwaga mzuri yule
Du. Comment hiyo ndiyo inakufanya ukoboe mdomo namna hii? Kwenye mitandano ukichukulia mambo serious sana utakufa siku siyo zako. Yaani jamaa kuandika hivyo ndiyo povu mpaka chumba chote kimejaa! Kwa taarifa yako anaweza kuwa ni member yuko Lukuledi huko vijijini anakufanya u-panick namna hii. Hata kama yuko nje mbona alichoandika ni kawaida sana. Mara ngapi hapa watu wanasema mimi niko eg Mwanza nakula sangara... Inferiority complex uliyo nayo siyo ya kawaida...Mijitu mingine aisee!! So unahisi huku sisi hatupigi hela!! Wabongo mkitoka nje Mnajiona mmemaliza kumbe wengine ni wabeba box Walmart, Amazon, wakatisha tickets za buses na train [emoji577]! Mwishowe mnaona aibu kurudi bongo na kufia hukohuko!! Kufeni huko kwani nn shida!!!
mnyanyuke mcheze wacha kulalamika we mswahili...
Nipo hapa makumbusho anapiga show na band yake ya Bogos Musica!! Kuna wazungu wamejaa hapo mbele then anawapongeza wazungu kwa kucheza mziki wake then anasema “nyie waswahili mmekaa tu hata hamchezi wakati wazungu wanacheza, ngoja tuwapigie nyimbo zenu waswahili!!”
Huyu jamaa nahisi kashiba na kuvimbiwa uhuru wa kufanya mziki Bongo!! Huyu kasahau kabisa wakati yuko na FM Academia jinsi watu walivyokuwa wakijaa na kucheza mziki wa FM academia tena yeye akiwa Kiongozi!
Anashindwa kujua hajafikia levels za FM academia na kuishia kututukana sisi “Wachache” tuliojitokeza kuona ana jipya gani!!? Tena kwa gharama zetu!
Tuna Choma mafuta muda [emoji383]! Mamaae! Kwa matusi haya nathibitisha sitohudhuria show yake labda aombe msamaha. Kama vp aende Ulaya akapige mziki wazungu watahudhuria kila siku.
Kaongea utumbo sana leo!! Tunamheshimu sana ila kwa dharau hizi basi Mamlaka imruhusu akajaribu maisha Kinshasa!! Si ndo nyumbani kwao!! Eeh!!basi aende.