Tatizo linakuja unapopachika situation zetu kwenye ulimwengu wote.Hamna cha mwanamke nyuma wala nini.Mi nakumbuka kipindi najitafuta ingawa bado sijajipata kiukweli bado,most ladies na sio wote huangalia upepo wa bwanaake.
Kwaio we jidanganye tu kuwa oooh alikuwa ananisaidia mara nini,ila kiuhalisia mwanamke hawezi wekeza sehem ambayo haina ishu mbeleni.
Mke wangu popote ulipo we endelea kujitafuta tu🙌🏿
Relationship concept is ordinary. The richer and more successful you are the harder its for you to find genuine love from women, no woman has ever loved a man that has no value successful, from the beginning women's love for a man has always been consistently conditional and nothing can change, few of them settled with unsuccesful man beacuse they lack options.Sawa boss umeenda kwenye ingilishi ila:
Relationship concept is never ordinary, it moves along universe with alternatives results. Each man will face his own unique destination with peculiar results subject to type of woman he designate.
Halafu:
That general rule rely on data from relationship scandals and drama from ustawi, it can never act as a fomula to clinch actual concept and reality.
KWA KISWAHILI NI KWAMBA HAKUNA FOMULA, MWANAMKE ANAWEZA KUKUMIZA MWANAMKE ANAWEZA KUWA BARAKA. MAMA YAKO NI MWANAMKE WA BABA YAKO.
Ndicho nimemwambia jamaa uko juu. Ukimtongoza mwanamke kabla ya kukubalia jua kwamba ashafanya short terms and long terms analysis na kujua atanufaika vipi.Hamna cha mwanamke nyuma wala nini.Mi nakumbuka kipindi najitafuta ingawa bado sijajipata kiukweli bado,most ladies na sio wote huangalia upepo wa bwanaake.
Kwaio we jidanganye tu kuwa oooh alikuwa ananisaidia mara nini,ila kiuhalisia mwanamke hawezi wekeza sehem ambayo haina ishu mbeleni.
Mke wangu popote ulipo we endelea kujitafuta tu🙌🏿
Wengi humu kinachowakuta ni kuutamani msiba wa wengi, kutafuta pa kupumulia baada ya kukutana na vipigo vya wanawake wa mjini. Tamanio la kiubinadamu kuwa si mimi tu, kuna yule na huyu na yule.JF hatufahamiani tulio wengi…. kupitia maandishi utafahamu behaviour patterns za mhusika, kuna mambo hayadanganyi…. chukua hii weka mfukoni.
Mtu aliyeenda Shule akapata MAARIFA, atajenga hoja yake kwenye objectivity, kuna tatizo gani kutumia maneno “baadhi” au “sio wote”
Binafsi ni aina ya mwanamke anayemzungumzia mleta mada, sina mchango kwenye maisha ya mwanaume, However kuna wanawake out there nawafahamu ni “wanawake bora” is it fair na wao wakiwekwa kundi moja na Mimi?
Think.
Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.Wanawake huwa wana kitu kinaitwa Intuition
Hiyo intuition huwa inamfanya mwanamke kubeba nguvu Fulani katika kumwelekeza Mme wake in the right things.
Pia wanawake huwa wana incubation power -Nguvu ya kuatamia mambo au jambo au wazo.
So ukipata mwanamke sahihi kufanikiwa au kupata mafanikio huwa ni jambo rahisi.
Mtoa mada unabidi usiwekeze nguvu na muda katika kuutazama upande mbaya tu wa mambo . don't do that shit .
Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.
Achraf Hakimi asingekaa kitaalamu leo hii angekua ashapigwa na kitu kizito. Kuna habari nimesoma jana tayari Evra ameshayatimba uko.
Pray for better and get prepared for the worst.Pray for better and expect better
Hata huyo mama ni mwanamke pia usisahau hilo.....labda kama ulilenga ' mwanamke' uliye naye kimahusiano.Hakuna mwanamke yoyote nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio zaidi ya mama yake na uyo mwanaume.
Mwanaume usidanganyike na huo msemo wa kijinga. Hata uyo mwanamke ambae upo nae nyakati za kujitafuta hawezi kuku-support kifedha au rasilimali yoyote.
The only thing she will provide is sex and when she find a better option along the way she will dump you.
Nyuma ya mafanikio yoyote ya mwanaume kuna maumivu, nidhamu, kukataliwa, hustles, failures, focus, resilience, hard work na sara za mama yake.
Women only come later and not before. They appear when the deal is done.
Focus my brothers
Uyo ndio mwanamke anaemaanishwa kwenye huo msemo.....labda kama ulilenga ' mwanamke' uliye naye kimahusiano.
Pray for better and get prepared for the worst.
Wengi humu kinachowakuta ni kuutamani msiba wa wengi, kutafuta pa kupumulia baada ya kukutana na vipigo vya wanawake wa mjini. Tamanio la kiubinadamu kuwa si mimi tu, kuna yule na huyu na yule.
Ndo maana ukiingiza "mama" wanatoa exception za mama zao, utasikia ukitoa mama yangu, wanasahau kuwa huyo mama yake ni mwanamke wa baba yake si mwanamke wake, na pengine ameshawahi kuwa na mwanaume akamfilisi kabla hajakutana na baba yake na kuwa mama kwake.
Maisha hayapo fixed kuwa njia ni hii. Watu wanabadilika, Unakutana na mwanamke mhuni wa leo kwako ila ni malaika wa kesho kwa mwanaume mwingine.
Unakutana na mwanamke malaika wa leo kwako anageuka mhuni wa kesho kwa mwanaume mwingine au unakutana na malaika mwanzo mwisho au vice versa hakuna general rule.
Wapo wanaume wamefanikiwa kupitia wanawake, wapo wanaume wamefilisiwa na wanawake, wapo wanaume wamewadhulumu wanawake mali zao kwa jina la mapenzi.
Wapo wanawake wanataka fedha zako tu, na wapo wanawake wanataka uwe baba kwa familia na akakuvumilia hata ukiwa huna kitu na akanyanyuka na wewe unapokuwa na kitu.
Mkuu saikolojia ya binadamu ina kanuni zake. Insticts za mwanaume na mwanamke zinajulikana, sikatai exceptions zipo lakini usiwe unazingatia sana exceptions kwenye kutunga sheria zako sana sana kwenye kum-judge mwanamke, majuto ni mjukuu.Tatizo linakuja unapopachika situation zetu kwenye ulimwengu wote.
Hakuna ubaya iwapo utaamua kuwa hutaki mwanamke awe sehemu ya utaftaji katika maisha yako. Ni maamuzi sahihi kwako na ni njia sahihi ya kulinda unachovuna maishani.Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.
Achraf Hakimi asingekaa kitaalamu leo hii angekua ashapigwa na kitu kizito. Kuna habari nimesoma jana tayari Evra ameshayatimba uko.
"Baadhi" au "sio wote" hayo maneno yanatumika kama kundi unalotaka kuliweka pembeni ni la watu wachache sana ukilinganisha na kundi zina. Ndio maana Tanzania tunajulikana kama nchi masikini ingawa matarajiri wapo.JF hatufahamiani tulio wengi…. kupitia maandishi utafahamu behaviour patterns za mhusika, kuna mambo hayadanganyi…. chukua hii weka mfukoni.
Mtu aliyeenda Shule akapata MAARIFA, atajenga hoja yake kwenye objectivity, kuna tatizo gani kutumia maneno “baadhi” au “sio wote”
Binafsi ni aina ya mwanamke anayemzungumzia mleta mada, sina mchango kwenye maisha ya mwanaume, However kuna wanawake out there nawafahamu ni “wanawake bora” is it fair na wao wakiwekwa kundi moja na Mimi?
Think.
Truth is not indicator of hatred. Be alerted 24/7.Don't hate anybody be positive 24/7
Hakuna hichi kitu boss. Mambo yangekuwa hivi tangu kuumbwa kwa dunia haya matukio yasingeendelea. Yapo sababu kuna balance ya ubaya na wema na huenda wema upo juu ya ubaya.Mkuu saikolojia ya binadamu ina kanuni zake. Insticts za mwanaume na mwanamke zinajulikana, sikatai exceptions zipo lakini usiwe unazingatia sana exceptions kwenye kutunga sheria zako sana sana kwenye kum-judge mwanamke, majuto ni mjukuu.
Mwanamke anatoa sapoti kwa.mwanaume mwenye mafanikio yaliopo na sio mafanikio tarajiwa ...Mwanamke ambae yupo nyuma ya mafanikio ya mwanaume ni Mzazi pekee , huyu ndio atakusapoti ukiwa huna kitu na utakapoanza na kuwa na kitu na nusu ya majukumu yake ndio yatakuja kubebwa na huyo mwanamke.Aah wewe usinidanganye mimi najua kuna faida ya kuwa na mwanamke kuliko kutokuwa naye.. Bila mwanamke kufilisika rahisi ila ukimpata mwanamke wa kukupenda na kukujali anaweza kuanzisha miradi na akasimamia hasa ukiwa busy na kazi zako huko hence ana faida..
Hoja yangu ni kuongelea upotoshaji wa huo msemo ukilinganisha na hali halisi katika jamii ili mwanaume aamke na kujilinda kwa maana akiyatimba au kupoteza uelekeo wa maisha hana mtetezi wala masia wa kuja kumuokoa.. hakuna popote ambapo nimeimiza chuki ya kijinsia sasa kama mwanaume akitendea kazi maneno yangu in brutal methods hayo ni maamuzi yake sio ambacho mimi nimekisema.Hakuna ubaya iwapo utaamua kuwa hutaki mwanamke awe sehemu ya utaftaji katika maisha yako. Ni maamuzi sahihi kwako na ni njia sahihi ya kulinda unachovuna maishani.
Ubaya unakuja pale ambapo sababu inayokufanya uchukue hayo maamuzi ni ya kulazimishwa kisa umetendwa au umeona mtu akitendwa na sasa unahitaji wanawake wote kasoro mama waexperience matokeo ya kutendwa huko kupitia wanaume wote.
Sasa kama Evra akipigwa na kitu kizito, inafuta matukio yasiyotangazwa ya wanaume wanaofanikiwa kupitia wanawake zao?
Unapenda kujitungia mambo… ndio maana umejitungia hii mada based on your eksipiriense na beliefs."Baadhi" au "sio wote" hayo maneno yanatumika kama kundi unalotaka kuliweka pembeni ni la watu wachache sana ukilinganisha na kundi zina. Ndio maana Tanzania tunajulikana kama nchi masikini ingawa matarajiri wapo.