Nyuma ya mafanikio ya mwanaume

Nyuma ya mafanikio ya mwanaume

Hamna cha mwanamke nyuma wala nini.Mi nakumbuka kipindi najitafuta ingawa bado sijajipata kiukweli bado,most ladies na sio wote huangalia upepo wa bwanaake.

Kwaio we jidanganye tu kuwa oooh alikuwa ananisaidia mara nini,ila kiuhalisia mwanamke hawezi wekeza sehem ambayo haina ishu mbeleni.
Mke wangu popote ulipo we endelea kujitafuta tu🙌🏿
Tatizo linakuja unapopachika situation zetu kwenye ulimwengu wote.
 
Sawa boss umeenda kwenye ingilishi ila:

Relationship concept is never ordinary, it moves along universe with alternatives results. Each man will face his own unique destination with peculiar results subject to type of woman he designate.

Halafu:

That general rule rely on data from relationship scandals and drama from ustawi, it can never act as a fomula to clinch actual concept and reality.

KWA KISWAHILI NI KWAMBA HAKUNA FOMULA, MWANAMKE ANAWEZA KUKUMIZA MWANAMKE ANAWEZA KUWA BARAKA. MAMA YAKO NI MWANAMKE WA BABA YAKO.
Relationship concept is ordinary. The richer and more successful you are the harder its for you to find genuine love from women, no woman has ever loved a man that has no value successful, from the beginning women's love for a man has always been consistently conditional and nothing can change, few of them settled with unsuccesful man beacuse they lack options.

As a man you should be wise enough to know that a woman's love for you is highly conditional and just because you are not seeing her making it obvious now doesn't mean she's not loving you for something.

Until you can no longer be useful financially and materially to her that's when you will learn the hard way.

After knowing this truth, your greatest mistake will come when you as a man don't condition your own love for women, it will come when you don't put conditions on your commitment.

As a man be strategic about the kind of woman that you give your commitment, not every woman deserves it, any woman that deserves it must be a woman that's submissive, productive and teachable.

Don't go into relationships that you know you can't benefit anything aside sex, its toxic.
 
Hamna cha mwanamke nyuma wala nini.Mi nakumbuka kipindi najitafuta ingawa bado sijajipata kiukweli bado,most ladies na sio wote huangalia upepo wa bwanaake.

Kwaio we jidanganye tu kuwa oooh alikuwa ananisaidia mara nini,ila kiuhalisia mwanamke hawezi wekeza sehem ambayo haina ishu mbeleni.
Mke wangu popote ulipo we endelea kujitafuta tu🙌🏿
Ndicho nimemwambia jamaa uko juu. Ukimtongoza mwanamke kabla ya kukubalia jua kwamba ashafanya short terms and long terms analysis na kujua atanufaika vipi.

Usijdanganye eti ananipenda kwa sababu alikua na mimi wakati ambao sikua vizuri ukweli ni kwamba alikua na wewe kwa sababu hakua na chaguo bora zaidi Kwa wakati huo.
 
JF hatufahamiani tulio wengi…. kupitia maandishi utafahamu behaviour patterns za mhusika, kuna mambo hayadanganyi…. chukua hii weka mfukoni.

Mtu aliyeenda Shule akapata MAARIFA, atajenga hoja yake kwenye objectivity, kuna tatizo gani kutumia maneno “baadhi” au “sio wote”

Binafsi ni aina ya mwanamke anayemzungumzia mleta mada, sina mchango kwenye maisha ya mwanaume, However kuna wanawake out there nawafahamu ni “wanawake bora” is it fair na wao wakiwekwa kundi moja na Mimi?

Think.
Wengi humu kinachowakuta ni kuutamani msiba wa wengi, kutafuta pa kupumulia baada ya kukutana na vipigo vya wanawake wa mjini. Tamanio la kiubinadamu kuwa si mimi tu, kuna yule na huyu na yule.

Ndo maana ukiingiza "mama" wanatoa exception za mama zao, utasikia ukitoa mama yangu, wanasahau kuwa huyo mama yake ni mwanamke wa baba yake si mwanamke wake, na pengine ameshawahi kuwa na mwanaume akamfilisi kabla hajakutana na baba yake na kuwa mama kwake.

Maisha hayapo fixed kuwa njia ni hii. Watu wanabadilika, Unakutana na mwanamke mhuni wa leo kwako ila ni malaika wa kesho kwa mwanaume mwingine.

Unakutana na mwanamke malaika wa leo kwako anageuka mhuni wa kesho kwa mwanaume mwingine au unakutana na malaika mwanzo mwisho au vice versa hakuna general rule.

Wapo wanaume wamefanikiwa kupitia wanawake, wapo wanaume wamefilisiwa na wanawake, wapo wanaume wamewadhulumu wanawake mali zao kwa jina la mapenzi.

Wapo wanawake wanataka fedha zako tu, na wapo wanawake wanataka uwe baba kwa familia na akakuvumilia hata ukiwa huna kitu na akanyanyuka na wewe unapokuwa na kitu.
 
Wanawake huwa wana kitu kinaitwa Intuition

Hiyo intuition huwa inamfanya mwanamke kubeba nguvu Fulani katika kumwelekeza Mme wake in the right things.

Pia wanawake huwa wana incubation power -Nguvu ya kuatamia mambo au jambo au wazo.

So ukipata mwanamke sahihi kufanikiwa au kupata mafanikio huwa ni jambo rahisi.


Mtoa mada unabidi usiwekeze nguvu na muda katika kuutazama upande mbaya tu wa mambo . don't do that shit .
Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.

Achraf Hakimi asingekaa kitaalamu leo hii angekua ashapigwa na kitu kizito. Kuna habari nimesoma jana tayari Evra ameshayatimba uko.
 
Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.

Achraf Hakimi asingekaa kitaalamu leo hii angekua ashapigwa na kitu kizito. Kuna habari nimesoma jana tayari Evra ameshayatimba uko.

Pray for better and expect better
 
Hakuna mwanamke yoyote nyuma ya mwanaume mwenye mafanikio zaidi ya mama yake na uyo mwanaume.

Mwanaume usidanganyike na huo msemo wa kijinga. Hata uyo mwanamke ambae upo nae nyakati za kujitafuta hawezi kuku-support kifedha au rasilimali yoyote.

The only thing she will provide is sex and when she find a better option along the way she will dump you.

Nyuma ya mafanikio yoyote ya mwanaume kuna maumivu, nidhamu, kukataliwa, hustles, failures, focus, resilience, hard work na sara za mama yake.

Women only come later and not before. They appear when the deal is done.

Focus my brothers
Hata huyo mama ni mwanamke pia usisahau hilo.....labda kama ulilenga ' mwanamke' uliye naye kimahusiano.

Anyway Kila mmoja ana njia yake ya mafanikio, hata Mungu ana mchango mkubwa pia kwa wengi.
 
Wengi humu kinachowakuta ni kuutamani msiba wa wengi, kutafuta pa kupumulia baada ya kukutana na vipigo vya wanawake wa mjini. Tamanio la kiubinadamu kuwa si mimi tu, kuna yule na huyu na yule.

Ndo maana ukiingiza "mama" wanatoa exception za mama zao, utasikia ukitoa mama yangu, wanasahau kuwa huyo mama yake ni mwanamke wa baba yake si mwanamke wake, na pengine ameshawahi kuwa na mwanaume akamfilisi kabla hajakutana na baba yake na kuwa mama kwake.

Maisha hayapo fixed kuwa njia ni hii. Watu wanabadilika, Unakutana na mwanamke mhuni wa leo kwako ila ni malaika wa kesho kwa mwanaume mwingine.

Unakutana na mwanamke malaika wa leo kwako anageuka mhuni wa kesho kwa mwanaume mwingine au unakutana na malaika mwanzo mwisho au vice versa hakuna general rule.

Wapo wanaume wamefanikiwa kupitia wanawake, wapo wanaume wamefilisiwa na wanawake, wapo wanaume wamewadhulumu wanawake mali zao kwa jina la mapenzi.

Wapo wanawake wanataka fedha zako tu, na wapo wanawake wanataka uwe baba kwa familia na akakuvumilia hata ukiwa huna kitu na akanyanyuka na wewe unapokuwa na kitu.

Blessed is your woman, kids, parents na jamii yako yote.

Umetumia dollar ngapi kufikiria hivi? Ni ngumu kiasi gani binadamu kufikiri namna hii? Anyways…

Si Muda utaitwa “a simp” wakati umeongelea pande 4 za dunia. Which is very fair, kila mmoja akisoma comment yako atatafuta fungu lake atajidumbukiza humo.
 
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😥
 
Tatizo linakuja unapopachika situation zetu kwenye ulimwengu wote.
Mkuu saikolojia ya binadamu ina kanuni zake. Insticts za mwanaume na mwanamke zinajulikana, sikatai exceptions zipo lakini usiwe unazingatia sana exceptions kwenye kutunga sheria zako sana sana kwenye kum-judge mwanamke, majuto ni mjukuu.
 
Ni bora uyape kipaumbele mabaya maana hata yasipokutokea hautaathirika kuliko kuyapa kipaumbele mazuri halafu uko njiani ukutane na mabaya.

Achraf Hakimi asingekaa kitaalamu leo hii angekua ashapigwa na kitu kizito. Kuna habari nimesoma jana tayari Evra ameshayatimba uko.
Hakuna ubaya iwapo utaamua kuwa hutaki mwanamke awe sehemu ya utaftaji katika maisha yako. Ni maamuzi sahihi kwako na ni njia sahihi ya kulinda unachovuna maishani.

Ubaya unakuja pale ambapo sababu inayokufanya uchukue hayo maamuzi ni ya kulazimishwa kisa umetendwa au umeona mtu akitendwa na sasa unahitaji wanawake wote kasoro mama waexperience matokeo ya kutendwa huko kupitia wanaume wote.

Sasa kama Evra akipigwa na kitu kizito, inafuta matukio yasiyotangazwa ya wanaume wanaofanikiwa kupitia wanawake zao?
 
JF hatufahamiani tulio wengi…. kupitia maandishi utafahamu behaviour patterns za mhusika, kuna mambo hayadanganyi…. chukua hii weka mfukoni.

Mtu aliyeenda Shule akapata MAARIFA, atajenga hoja yake kwenye objectivity, kuna tatizo gani kutumia maneno “baadhi” au “sio wote”

Binafsi ni aina ya mwanamke anayemzungumzia mleta mada, sina mchango kwenye maisha ya mwanaume, However kuna wanawake out there nawafahamu ni “wanawake bora” is it fair na wao wakiwekwa kundi moja na Mimi?

Think.
"Baadhi" au "sio wote" hayo maneno yanatumika kama kundi unalotaka kuliweka pembeni ni la watu wachache sana ukilinganisha na kundi zina. Ndio maana Tanzania tunajulikana kama nchi masikini ingawa matarajiri wapo.
 
Mkuu saikolojia ya binadamu ina kanuni zake. Insticts za mwanaume na mwanamke zinajulikana, sikatai exceptions zipo lakini usiwe unazingatia sana exceptions kwenye kutunga sheria zako sana sana kwenye kum-judge mwanamke, majuto ni mjukuu.
Hakuna hichi kitu boss. Mambo yangekuwa hivi tangu kuumbwa kwa dunia haya matukio yasingeendelea. Yapo sababu kuna balance ya ubaya na wema na huenda wema upo juu ya ubaya.

Kila mwanaume anapoanza mahusiano ana mategemeo, yale mategemeo ndo yanayoleta matokeo either hasi au chanya kutegemea na aina ya mwanamke aliyeamua awe nae, anachokitegemea ndo huamua ni maamuzi yapi afanye na ndo huzalisha matokeo hasi au chanya.

Tatizo ni kuchukua matokeo hasi yaliyotokana na maamuzi yako yaliyoathiriwa na aina ya mwanamke uliyekuwa nae na kutaka yakabadili mazingira yote yaliyopo ilihali wanawake hawafanani kama ambavyo wanaume hatufanani.
 
Aah wewe usinidanganye mimi najua kuna faida ya kuwa na mwanamke kuliko kutokuwa naye.. Bila mwanamke kufilisika rahisi ila ukimpata mwanamke wa kukupenda na kukujali anaweza kuanzisha miradi na akasimamia hasa ukiwa busy na kazi zako huko hence ana faida..
Mwanamke anatoa sapoti kwa.mwanaume mwenye mafanikio yaliopo na sio mafanikio tarajiwa ...Mwanamke ambae yupo nyuma ya mafanikio ya mwanaume ni Mzazi pekee , huyu ndio atakusapoti ukiwa huna kitu na utakapoanza na kuwa na kitu na nusu ya majukumu yake ndio yatakuja kubebwa na huyo mwanamke.
Wengi ambao wamepata sapoti ya wanawake wao wanaingia katika kundi la wanaume wenye bahati.
 
Hakuna ubaya iwapo utaamua kuwa hutaki mwanamke awe sehemu ya utaftaji katika maisha yako. Ni maamuzi sahihi kwako na ni njia sahihi ya kulinda unachovuna maishani.

Ubaya unakuja pale ambapo sababu inayokufanya uchukue hayo maamuzi ni ya kulazimishwa kisa umetendwa au umeona mtu akitendwa na sasa unahitaji wanawake wote kasoro mama waexperience matokeo ya kutendwa huko kupitia wanaume wote.

Sasa kama Evra akipigwa na kitu kizito, inafuta matukio yasiyotangazwa ya wanaume wanaofanikiwa kupitia wanawake zao?
Hoja yangu ni kuongelea upotoshaji wa huo msemo ukilinganisha na hali halisi katika jamii ili mwanaume aamke na kujilinda kwa maana akiyatimba au kupoteza uelekeo wa maisha hana mtetezi wala masia wa kuja kumuokoa.. hakuna popote ambapo nimeimiza chuki ya kijinsia sasa kama mwanaume akitendea kazi maneno yangu in brutal methods hayo ni maamuzi yake sio ambacho mimi nimekisema.
 
"Baadhi" au "sio wote" hayo maneno yanatumika kama kundi unalotaka kuliweka pembeni ni la watu wachache sana ukilinganisha na kundi zina. Ndio maana Tanzania tunajulikana kama nchi masikini ingawa matarajiri wapo.
Unapenda kujitungia mambo… ndio maana umejitungia hii mada based on your eksipiriense na beliefs.

Unaamua tu hiki kiwe hivi na kile kiwe hivi, sasa hao “wachache na baadhi” ukawafutaje? Maana sijawaona kwenye bandiko lako. Hebu kasome tena bandiko lako “Hakuna” ni neno ulilotumia.
 
Back
Top Bottom