Nyuma ya mafanikio ya mwanaume

Truth is not indicator of hatred. Be alerted 24/7.

UPENDO ni uwezo

Hivi kweli unategemea MTU mliekutana ukubwani ambaye hana bond na wewe aje awe MTU mwema kwa % kwako!


Ili kupata strong woman unabidi na wewe kuwa strong man because you Attract what you relate .

Mambo yakusema wanawake wanatabia za ubinafsi mara nyingi ukiona unakutana na mambo Kama hizo fahamu wewe ndo unashida.

We need to respect each other in this Entity (universe)

You attract what you reflect.
 
Kupitia iyo iyo akili ya kufikiri kwamba mwanamke yupo nyuma ya mafanikio yako ndio unamuwezesha indirectly hapo.
Unafikiri unaonewa huruma kumbe mwenzako yupo na wewe kwa sababu hana chaguo bora zaidi
Ukiona kanichagua mimi basi jua mimi ni bora kuliko wewe na hao wengine.

Kama alikufanya ufanikiwe, basi post yako imekosa hoja. Haijalishi atafaidika au lah ila issue ni wewe mwanaume umefanikiwa sababu ya support yake
 
Mtu anayetegemea mwanamke aliyekutana nae bar au facebook ili afanikiwe ni mpuuzi asiyejitambua pekee. Kiuhalisia kila mafanikio ya mwanaume ni juhudi zake mwenyewe, au na wazazi wake au familia yake.

Zaidi ya hapo ni fix za malaya kuwakamata maboya. Mwanamke hana faida yoyote kwa mwanaume financially au kimaendeleo zaidi ya kuvua chupi na kutanua miguu ili kumaliza haja za kimwili. Na kutotoresha vifaranga-watu kama muda umefika ili kujenga familia.

Baada ya hapo ni big liability itakayokuchelewesha kufikia maendeleo binafsi kutokana na kupoteza nguvu na muda mwingi kwake, drama za kipuuzi na kumuhudumia.
 
Ukiona kanichagua mimi basi jua mimi ni bora kuliko wewe na hao wengine.

Kama alikufanya ufanikiwe, basi post yako imekosa hoja. Haijalishi atafaidika au lah ila issue ni wewe mwanaume umefanikiwa sababu ya support yake
Nafikiri hatuelewani. Asante kwa ku-comment
 
Nice guys and simps can't understand.
 
When it comes to love relatiinship women are selfish and opportunistics, you can't change the fact.
 


Kuna siku utaelewa mtoa mada anachosema
 
Bolded: Typical a narcissistic phrase.

Kitu gani unadhani haujaeleweka zaidi ya kuchekecha maneno for gaslighting? Lengo la thread yako limeeleweka.
 
sikatai mchango wa mama kwa mwanae ila jitahidi utafute mwanamke wa maana kama unawaza hivyo nasikitika kwamba mali zako zitaliwa na wajinga wajinga wasio na msimamo.

pole sana bro..
 
Mwanamke anaetoa hela yake kumsaidia mwanaume kuna uwezekano mkubwa sana anafanya ivyo kwa kumganda uyo mwanaume sababu mwanamke uyo hana chaguo jingine yaani kimuonekano hauziki sokoni
mkuu badili mawazo uzuri wa mwanamke ni akili hayo ya kuuzika sokoni labda uwe unatafta malaya ila mwanamke anaejielewa hawezi kuwa kama unavyowaza....

na unanifikirisha kama mama yako kakukuza unauelewa huo inamaana hii ni picha halisi ya mwanamke aliekukuza wewe.

no hard feelings ila ndio ukweli huo kaka badili mawazo badili watu unaojihusisha nao uwe huru kwenye hii dunia
 
Kila kanuni ina exceptions, kuna wanawake wana moyo mzuri sana, wapo bega kwa bega na waume/bf zao kwenye maendeleo ya familia zao, so yeah mafanikio ya wanaume yanaweza kuchagizwa sana na wake zao.
 
Mnawatoaga wapi hawa wa hivyo dahh. Tunavyokutana navyo Mwisho unaona bora uishi kisingle single tuu.
mkuu cha kwanza ni mtazamo wako usitarajie ukiwa na mawazo kama ya mleta mada utapata mwanamke imara kamwe..... mwanamke unamjenga ww kwanza akilini mwako unakua na misimamo yako hatusemi ukachague pisi mbovu ila chagua mwanamke ambaye hata ukizaa naye watoto wako watayajua maisha na kuishi nawatu mbali na hapo bora ubaki singo
 
sikatai mchango wa mama kwa mwanae ila jitahidi utafute mwanamke wa maana kama unawaza hivyo nasikitika kwamba mali zako zitaliwa na wajinga wajinga wasio na msimamo.

pole sana bro..
Sijaelewa ushauri wako unaambatana vipi na mada maana hakuna sehemu ambapo nimepinga kuwa katika mahusiano na mwanamke wa maana.

Kama unafatilia posts zangu between the lines moja ya vitu ninavyowakumbusha vijana ni kuwa katika mahusiano na mwanamke wa maana na kuepuka wanawake wanawaongezea liabilities for sake of kupewa mbususu.
 
sawa
 
Hata nikibadili mawazo haitaondoa ukweli.
 
Kila kanuni ina exceptions, kuna wanawake wana moyo mzuri sana, wapo bega kwa bega na waume/bf zao kwenye maendeleo ya familia zao, so yeah mafanikio ya wanaume yanaweza kuchagizwa sana na wake zao.
In everything there is exception but exceptionality don't count when we make rules.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…