NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Mkumbushe Dr Willibrod Slaa alisema hawezi kukaa na Kinyesi (ENL) CHADEMA
Akakimbilia CCM, sasa Kinyesi kimemfuata huko huko CCM
 
Nunua kitabu usome
 
Ngosha Tumbo hapokei simu.
 
Mkuu, umemaliza, ningekuwa mod ningeweka hii quote ktk thread.
 
Japo sijakisoma hicho kitabu ila kuna vitu Dr. Slaa hawezi kusema, kwa vile mimi nilibahatika kukaa nae mahali akiwa na mkewe Josephine, just the three of us, Josephine ndio kila kitu kwa Dr. Slaa, kule kujidai kususa kwa sababu ya kugombea urais it's all just lies kwa sababu msimamo naujua from horses mouth, kwa vile yalikuwa maongezi ya off the record, sio ustaarabu kusema walisema nini ila mimi humu nilisema haya kuhusu Chadema, hakuna akiyeamini ila ukweli ni huu.


P
 
Mmmh kumbe business hii, Dr. Slaa nachojua aliacha upadre akaoa, akaachana na mke wa ndoa halali na watoto, kisha akachukua hawara anaitwa Josephine akawa anatawaliwa na Josephine kila kitu, mengine ya kawaida hana jipya.. Ingekuwa kitabu cha Historia ya Mh Magufuli ndani ya muda mfupi kufanya maendeleo makubwa ningekuelewa. Dr. Slaa, noooo
 
Mmmh kumbe business hii, Dr. Slaa nachojua aliacha upadre akaoa, mengine ya kawaida hana jipya.. Ingekuwa kitabu cha Historia ya Mh Magufuli ndani ya muda mfupi kufanya maendeleo makubwa ningekuelewa. Dr. Slaa, noooo
Mtu wenu huyo someni kitabu chake!!
 
Alikwambi, Kinyesi kikiwa chooni ni nafuu kuliko kukichota chooni ukatia kwenye ndoo na kukiweka sebleni, kinanuka zaidi.
 
Alikwambi, Kinyesi kikiwa chooni ni nafuu kuliko kukichota chooni ukatia kwenye ndoo na kukiweka sebleni, kinanuka zaidi.
Ndiyo kinyesi kimerudi chooni ambako na yeye yuko. Kumbe alisema ivyo kwa kuwa alijua mwisho wa siku atarudi chooni?

Sebule imeshakuwa safi, jee choo kinaweza kugeuka kuwa chumba cha kulala ama sebule?
 
Kuna ufisadi wa uuzwaji wa nyumba za serikali umo? Kama upo ndani ya hicho kitabu nikakinunue tafadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…