NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

Hatununui
 
Nunua kitabu!
 
Sasa...unaonekana hutaki kujua na naombea mtu asikupe kitabu Cha bure.. Sasa mtu una maswali mengi na umepewa mahali pa kupatia majibu...hutaki! Oh "mpaka nibembelezwe na kupigiwa ngoma". Sasa si Bora uendelee na kukaa hivyohivyo?
 
i will buy and read this book as intellectual ila credibility ya Dr Slaa kwangu ishaondoka kabisa. Ila najua ni mtu mwenye fikra na historia kwa hilo kitabu chake ni muhimu kwa sie tunaopenda kujifunza.
You are a smart person! An attitude of a true intellectual!
 
Wewe bila ya shaka Ni mtu mwenye hekima na uthubutu wa kifikra. Yaani huogopi kujitangaza utapata nakala yako. Watu kama wewe unaonekana wamepujlngua JF... Ila unanipa matumaini!
Why niogope mkuu? Mimi ni mtu huru na napenda kusoma vitabu ndiyo jambo mojawapo ninalopenda so kuogopa kusema nitatafuta copy moja ya Dr naona nikawaida sana maana najua kuna kitu nitajifunza kipya.

Siasa haijawahi kunitawala,Tz siasa zinawatawala watu , hata reasoning inamezwa huko.
 
Mweh..Sasa kitabu kinajaribu kujibu swali hili kwa kina.
Ilishakula.kwakwe yeye apambane kutumikia tu hao mashetani wenzake maccm, kumbe naye ni mnafiki tu. 2015 ilikuwa lazima kila mtu aonesha maamuzi magumu, na naamni kama asingejitoa tungekuwa tunapeperusha bendela ya Ukawa nchii hii

Sasa kapewa Ubalozi kazi ngumu sana hiyo..Inahitaji maamuzi magumu kuliko ya 2015.

Ni sawa na kusaini mkataba wa Kuzimu.
 
Sla alishajiharibia na sasa anajaribu kurudisha heshima aliyopoteza, ni aina ya compassion and obsession tatizo la.kisaikolojia linamuamdama. hicho kitabu hata aandike kurasa 10000, hakina maana yoyote zaidi ya kijitetea usaliti wake kwa watanzania anataka kujustify why aliondoka.

Nani alikuwa hajui mapungufu ya Lowasa??
 
Saaa mbona wako naye tena Lowasa kule kule unasemaje ndugu yangu mtani wa hapo Gungu Mwandiga??
 
Soma kitabu halafu uje na maswali.. duh

Hakuna kipya kwenye hiki kitabu. Kingekuwepo kama kungekuwa na chapter aliyoi-dedicate kwa usaliti wa yote aliyoyaamini na kuyafundisha. Na hii ingekuwa ya kwanza ya kufungulia kitabu!

Wapo ambao hawakuunga mkono ujio wa mamvi upinzani lakini kwa sababu ya yale wanayoyaamini na kuyashikilia, hawakuyasaliti.
 
Yaani bado unahalalisha ujio wa Lowassa na huoni Hindi upinzani ulivyogereshwa na kuvurugwa? Nilidhani watu wameamka...Yaani ulikuwa radhi Lowassa awe Rais wa Tanzania?
 
Na haoni kujipinga kwenye maneno yako? Yaani unampokea Lowassa na bado unajiita mpinzani mwenye msimamo?
 
Yaaaaaaani unavyompenda Slaa hadi kero, ungekuwa jinsia ya ke pengine ingekuwa story nyingine!

Wewe na Slaa mna side na watesaji wa Lissu na wapotezaji wa Saanane, Mawazo, Azory

Kitu msichojua wewe na kibabu Slaa ni kwamba hata akishuka Shetani upinzani wakampa ticket atapata kura yetu
 
Na haoni kujipinga kwenye maneno yako? Yaani unampokea Lowassa na bado unajiita mpinzani mwenye msimamo?

Kwa hiyo tunajadili kitabu cha Lowasa?

Pili, usijifanye hukuisoma paragraph ya pili kwamba wapo ambao hawakuunga mkono ujio wa Lowasa upinzani lakini HAWAKUYASALITI YALE WALIYOYAAMINI NA KUYASHIKILIA kwa kufanya kile alichokifanya huyu unaempigia kijitabu chake chepuo.

Hoja ya msingi ipo wazi na inafubaza juhudi zako za hii promosheni.
 
Toka Gwajima amwage ukwl kuhusu huyu bwana na kushindwa kutoa ufafanuzi mpaka Leo hii huwez nishawishi lolote kuhusiana na kiumbe huyu
 
Mkuu tudokeze like tukio la kuingia hotel ya Moven Peak kupitia uani eti kwenda kuianikaRichmond na Lowasa mmelielezeaje kwenye kitabu chenu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…