Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Wanawake, mko nyuma ya keyboard.

Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa. Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?


Wanaume, Leo vungeni tusikilizie tunavyochanwa live na hawa wake/ watarijiwa wetu. Chukueni kabisa notebook [emoji871][emoji871]

Wadada uwanja wenu huu.
Fungukeni
Aiseee....kwa upande wng naona kisasi kinaweza kisababisha na aina ya mwanaume unaeishi nae,unakaa na mwanamme anakudharau jmn mpk anaongea na michepuko yake na wewe upo hapohapo kitandan,ukikaa nae unaona kabosa jinsi unavomkosesha Uhuru wa kuongea na mahawara zake ili hali na wewe unatongozwa Kila siku na wanaume wa maana unaweza ukaamua na wewe kujipa furaha unayoikosa kwake, na wanawake sisi ni wavumilivu sana ila uvumilovu wetu una kikomo aiseee....ndoa na iheshimiwe na watu wooote!!!
 
Sababu kubwa ni tamaa na shetani
Wanawake, mko nyuma ya keyboard.

Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa. Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?


Wanaume, Leo vungeni tusikilizie tunavyochanwa live na hawa wake/ watarijiwa wetu. Chukueni kabisa notebook [emoji871][emoji871]

Wadada uwanja wenu huu.
Fungukeni
 
Paula Paul nimekuona usipite kimya hapa
1.Kutokuridhishwa/kutokuridhika kimapenzi na SO wake.

2.Kuwa na hisia za kimapenzi na mtu mwingine. Mfano, ameolewa na John lakini hisia zake za kimapenzi zipo kwa Ally.

Yapo mengi yameshasemwa.

Sitasema Fedha, kwasababu swali limehusisha kwanini "wanachepuka" na sio kwanini "wanajiuza".
 
Sasa na sisi hatubaki nyuma. Tunatafuta kijana tunaenda tunapokelewa na mabusu hatari na show ya kutosha. Tukimaliza tunaoga tunarudi nyumbani tunasumbiri "ng'ombe" ije ile chakula tukalale kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuachane na mambo ya makabila ila sababu kuu ya "ninampa hela ,kila kitu akitaka nampa na mapenzi nampa lakini anachepuka" ni kwamba mnakuwa ni kagoli kamoja DKK 3, mtu unapata jeuri ya kusema unampa mtu kila kitu?😂😂😂.

Binafsi naona vyote sawa nina case studies nyingi Kama 4 ambazo zinahusu hulka, shoo kali sana ila ni kubuhu Kama loote
 
Aiseee....kwa upande wng naona kisasi kinaweza kisababisha na aina ya mwanaume unaeishi nae,unakaa na mwanamme anakudharau jmn mpk anaongea na michepuko yake na wewe upo hapohapo kitandan,ukikaa nae unaona kabosa jinsi unavomkosesha Uhuru wa kuongea na mahawara zake ili hali na wewe unatongozwa Kila siku na wanaume wa maana unaweza ukaamua na wewe kujipa furaha unayoikosa kwake, na wanawake sisi ni wavumilivu sana ila uvumilovu wetu una kikomo aiseee....ndoa na iheshimiwe na watu wooote!!!
wanaume chukueni hii
 
1.Kutokuridhishwa/kutokuridhika kimapenzi na SO wake.

2.Kuwa na hisia za kimapenzi na mtu mwingine. Mfano, ameolewa na John lakini hisia zake za kimapenzi zipo kwa Ally.

Yapo mengi yameshasemwa.

Sitasema Fedha, kwasababu swali limehusisha kwanini "wanachepuka" na sio kwanini "wanajiuza".
aisee
 
Kubwa kuliko yote ni Mtu kukusaliti wkt we umetulia
Mengine ni;
Mtu kukuchukulia poa
Mtu hakujali
Kuonekana kama mlalamishi wkt unajaribu 'kuwasiliana' ili mpate suluhu ya changamoto zenu

Afu inbox yako ina msururu wa raia wanakutafuta kila leo..........

Kuna point inafika Unachoka kumvumilia asiethamini upendo/uvumilivu wako

Siku moja moja inakuwa just to make yourself happy.....either na mtu mtu mpya ama wa zamani
Hivyo tu
wanaume tuchukue hii
 
Aiseee....kwa upande wng naona kisasi kinaweza kisababisha na aina ya mwanaume unaeishi nae,unakaa na mwanamme anakudharau jmn mpk anaongea na michepuko yake na wewe upo hapohapo kitandan,ukikaa nae unaona kabosa jinsi unavomkosesha Uhuru wa kuongea na mahawara zake ili hali na wewe unatongozwa Kila siku na wanaume wa maana unaweza ukaamua na wewe kujipa furaha unayoikosa kwake, na wanawake sisi ni wavumilivu sana ila uvumilovu wetu una kikomo aiseee....ndoa na iheshimiwe na watu wooote!!!
Nakubali kabisa kua ukomo wa mapenzi kwenu 'ke' kwetu waume zenu huwa upo karibu mno ndyo maana kwa sasa wanaume ndyo wanalia na mapenzi zaidi ya wanawake
 
Nakubali kabisa kua ukomo wa mapenzi kwenu 'ke' kwetu waume zenu huwa upo karibu mno ndyo maana kwa sasa wanaume ndyo wanalia na mapenzi zaidi ya wanawake
mzee huo utafiti umeufanyia wapi
 
Umemalizaaaaa !!!akhsante sana
Cc Smart911
Mume au mpenzi kukuchukulia poa (Yani anakuona wa kawaida tu hajali tena, hakusifii, hadi unajiona ovyo wakati deep down unajua wewe kisu. Then unapata mtu anakuangalia kwa macho flani hivi)

Kukosekana kwa plan ya future(uko na mwanamke 1 year, 2 years haijajulikana uko naye umuoe, mnafurahishana tu au vipi)

Tabia tu (mtu hawezi kuwa na mpenzi mmoja)

Dushelele (kutafta raha za dunia kama hazipati ndani)
 
Mkishatuweka ndani mnaona ndio mmemaliza kila kitu.
Hamjali tena kuturidhisha kama kipindi cha kabla hamjatuoa.
Wakati mwingine hamna hata muda wa kutuandaa panapo 6*6.
Kwa kifupi mnasahau mapenzi na kuturidhisha.
Mnategemea nini?
Kwan huezi mwambia mmeo kua hufikishwi ?
Yaani ukamwambia more doze iz needed?
Kama amepata kitambi kwakua anapikiwa basi akatumia hata congo dust ufurahi?
Hitimisho ' ke ' mahusiano ya 'me' 1 yanawakinahisha mapema.
Full stop
 
Kwahiyo mpo busy kuandaa mafao ya uzeeni.
Sasa msiulize tena kwanini tunachepuka.

Wikiend yenyewe mnagusa gusa hamna mnachofanya. Kichekesho kimoja cha wanaume ni kwamba anaweza kujiona amesimamia show sijui ukucha kumbe hamna kitu kakupaka paka tuu.
Halafu ukichepuka mtu anakujliza "umekosa nini"? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kufunguka Hannah show wewe unaridhika kwa muda gani?
 
Back
Top Bottom