Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Halafu uzuri ni kwamba huko wanakochepukia ndiko siri zao zinakotoka zaidi maana michepuko haina cha kupoteza. Angalau mke anamsitiri mumewe ili aibu zao zibakie ndani.
Yaani mule mule, unakuta mdada anaongea yule mchepuko nilienda tu, maana nishakula pesa zake zakutosha mtu mwenyewe nikama kakidole ka mwisho nikuzama tu wa zamani, sasa unajiuliza kama yupo hivyo kwanini asitulie kwa mkewe?
 
Yes, huko masaloon kuna mambo acha tu. Unakuta bar maid kaingia anamwaga sifa za bwana fulani alivyo mchovu kamoja hoiii ila anahonga balaa. Halafu unawaza "yule si ni mume wa fulani" unaishia tu kumsikitikia mkewe.
Halafu Baba anavyomnyanyasa mkewe mie usinipangie ninauwezo hata wakuoa wake 2 na zaidi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa na sisi hatubaki nyuma. Tunatafuta kijana tunaenda tunapokelewa na mabusu hatari na show ya kutosha. Tukimaliza tunaoga tunarudi nyumbani tunasumbiri "ng'ombe" ije ile chakula tukalale kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ng'ombe wa kisasa au wale wakulishwa majani ndani maana hawezi hata hata kutembea mita 1 [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unawaza mbali sana.
Ngoja nithibitishe hilo mimi pia.

Hata mkitupa kimoja dkk 3 mkakojoa unadhani ni wote huwa tunaonesha kutokuridhika? Hapana.
Tunajidai "Beb wewe mtundu, ooh nipe maji ya kunywa, ungeniua" hapo najua hata tukisema turudie huo uwezo hauna , kwanza haitasimama na ikisimama inalegea, basi hapo ili usijisikie vibaya nasema "beib hiki kimoja kimetosha tulale jamani utaniua" uonaona mtu mbichwa huooooo. Kumbe kimoyo moyo nasema "ndama wewe"[emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaa haaaa uwiiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] asubuhi asubuhi ulisha amka kumwandalia ili awahi kazini huku umasonya kimoyo moyo haaaa haaaa
 
Halafu Baba anavyomnyanyasa mkewe mie usinipangie ninauwezo hata wakuoa wake 2 na zaidi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mule mule, unakuta mdada anaongea yule mchepuko nilienda tu, maana nishakula pesa zake zakutosha mtu mwenyewe nikama kakidole ka mwisho nikuzama tu wa zamani, sasa unajiuliza kama yupo hivyo kwanini asitulie kwa mkewe?
Kutafuta tu aibu zisizo za lazima.
 
Aiseee....kwa upande wng naona kisasi kinaweza kisababisha na aina ya mwanaume unaeishi nae,unakaa na mwanamme anakudharau jmn mpk anaongea na michepuko yake na wewe upo hapohapo kitandan,ukikaa nae unaona kabosa jinsi unavomkosesha Uhuru wa kuongea na mahawara zake ili hali na wewe unatongozwa Kila siku na wanaume wa maana unaweza ukaamua na wewe kujipa furaha unayoikosa kwake, na wanawake sisi ni wavumilivu sana ila uvumilovu wetu una kikomo aiseee....ndoa na iheshimiwe na watu wooote!!!
Na ukiona mwanamke alikuwa mwaminifu akawa mzinzi tambua hapo yamemfika shingoni. Sasa mtu anaongea na hawala yake mbele ya mkewe kifuatacho ni nini hapo!
 
Yani hom ipo tu,ila vitambi vyenu na operation za uzazi zinaleta shida,ukikunjwa sana unalalamika mshono unauma[emoji16][emoji16].mechi hainogi...za ugenini unapewa style zote mpka plus uzazi wa mpango unapewa
Visingizio na sababu tu hizo zakuogopa kujituma
 
Kutafuta tu aibu zisizo za lazima.
Yaani kwa masikio yangu, utasikia atafute tu pesa starehe awaachie wengine, hivi walivyo ambiwa waishi na wake zao kwa akili sijui wanajua ni akili gani wanazani!
 
Asilimia 99 ya wanawake kwenye ndoa hutumika kuwaridhisha waume zao na wala huwa hawafikishwi kileleni. Mbali na hayo huwa wanaingiliwa bila maandalizi. Mwanamke ili afaidi gem lazima ajengwe kisaikolojia angalau siku moja kabla ya tukio. Tofauti na hapo wanandoa hadi mnaenda kulala mwanamke hajui kama siku hiyo kuna mech.
 
Wapo.
Hauoni kila siku wanaanzisha mada humu kwamba "mke wangu ataniua anataka kila Siku" huwa najiuliza kwanini wanaume mnaogopa papuchi kiasi hicho. Zina meno? Zina ng'ata?
Hannah oyeee !! Binafsi sijawahi choka hiyo issue
 
Asilimia 99 ya wanawake kwenye ndoa hutumika kuwaridhisha waume zao na wala huwa hawafikishwi kileleni. Mbali na hayo huwa wanaingiliwa bila maandalizi. Mwanamke ili afaidi gem lazima ajengwe kisaikolojia angalau siku moja kabla ya tukio. Tofauti na hapo wanandoa hadi mnaenda kulala mwanamke hajui kama siku hiyo kuna mech.
Wanawake wengi kwenye ndoa ni kuvumilia stress basi, kwanza akiongea utasikia mwanamke mlalamishi sasa chakujiuliza hayo malalamishi kwanini yasifanyiwe kazi ili amani itawale? Lakini wanaume wakileo wananuna hao wakiambiwa ukweli!
 
Wanawake wengi kwenye ndoa ni kuvumilia stress basi, kwanza akiongea utasikia mwanamke mlalamishi sasa chakujiuliza hayo malalamishi kwanini yasifanyiwe kazi ili amani itawale? Lakini wanaume wakileo wananuna hao wakiambiwa ukweli!
Ni kweli wanawake wengi kwenye ndoa wanavumilia sana.Mtu akiwa anakuonyesha upendo na kukujali hata kama angekuwa inasimama dk moja ungeridhika.Ila mtu hakuonyeshi upendo wala kukujali unaona bora uishi maisha mengjne.mimi binafsi siwalaumu wanawake wanaochepuka maana na wao wanafuata walivyovikosa ndani kwao kama wanaume wanavyofanya
 
Kwahiyo ni wanawake wote wanachepuka?
Achana na mambo ya utafiti nimeufanya vipi ni mambo yaliyo wazi.
Au unadhani mashosti hatusimuliani?

Hiyo kweli mnasimuliana sana hata kushawishiana kuchepuka hata kama mtu achepuki[emoji16]
 
1. Wanaume wengi mna shida ya nguvu za kiume and yet badala ya hizo chache mlizonazo mzitumie kuwaridhisha wake/wapenzi wenu bado unaona sifa kuwa na michepuko. Hence problems.

2. Mkishaoa mnajisahau sana, vile vionjo vya kumvutia mkeo huna tena, kumbukeni hisia zetu sio kama zenu.

3. Mikwaruzano ndani ya ndoa inayokosa utatuzi wa muda mrefu, mtu anaamua kuitafuta faraja nje.

4. Curiocity tu ya penzi jipya (wote mnafahamu penzi jipya lilivyo na mbwembwe)

6. Makundi/mashost, wapo wanawake wanaochepuka sababu ya kuwasikiliza mashost, kamweleza shost tatizo lake suluhisho alopewa na shost ni kuchepuka(maybe shost nae anachepuka na akamweleza anavyofaidi)

7. Upweke, wanawake wengi ni wapweke ndani ya ndoa zao. Its like wamejioa, hivyo anaamua atafute companionship nje.

8. Single mother, kama mnadhani single mothers ni wale ambao hawajaolewa tu basi tambueni kuna single mothers wengi tu ndani ya ndoa. Anajihudumia almost everthing yeye na wanawe, mume yupo tu kama pambo hata watoto hawafaidi uwepo wa baba yao.

9. Financial support, kuna wanaochepuka kutafuta financial support, let say anataka kujiongeza afanye jambo fulani na hana uwezo wa kifedha na mume kagoma au hawezi kumwezesha, anatokea kibopa anamwezesha ndio basi tena na papa linaliwa.

10. Tamaa, wengine wanachepuka tu sababu ya tamaa maana kuwa na mwanaume mmoja hawezi. Wanakwambia "mwanaume mmoja anadumaza".

11. Kutafuta mtoto, una shida ya mtoto na mumeo hana uwezo wa kuzalisha, basi unaamua umtafutie mtoto huko nje ili angalau nae aitwe baba(mnaona tunavyowajali sasa!!)

11. Magonjwa, japo hii inataka kufanana na ile ya 1. Magonjwa kama kisukari na pressure inapelekea wanaume kuwa na performance mbovu sana, hivyo mkeo/mpenzio anabakia na maugwadu yake kila siku mwisho anaamua akutafutie msaidizi.

12. Umri(mabadiliko ya kimwili), kuna umri ukifika sijajua kama ni kwa wanawake wote au baadhi tu, yaani unakuwa na hamu balaa. Mumeo anakuwa hakuridhishi kabisa, sasa hapo ukikosa uvumilivu ndio unachepuka.

13. Yote tisa, huyu bwana shetani huyuuuu mbaya sanaaaaa.

Point sana[emoji106]
 
Ni kweli wanawake wengi kwenye ndoa wanavumilia sana.Mtu akiwa anakuonyesha upendo na kukujali hata kama angekuwa inasimama dk moja ungeridhika.Ila mtu hakuonyeshi upendo wala kukujali unaona bora uishi maisha mengjne.mimi binafsi siwalaumu wanawake wanaochepuka maana na wao wanafuata walivyovikosa ndani kwao kama wanaume wanavyofanya
Kinachosikitisha ndoa huonekana kama mzigo wa mwanamke, badala ya mme na mke wote wanatakiwa kuibeba kwa pamoja
 
Back
Top Bottom