Tetesi: Nyuma ya pazia Rich Mavoko kuondoka WCB

Tetesi: Nyuma ya pazia Rich Mavoko kuondoka WCB

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa.

Tukirudi kwenye mada, Mavoko ndani ya WCB alikuwa anapata tabu sana na suala la udini walikuwa wanamtemga sana

Ricardo alivo na roho mbaya alikuwa anamlazimsha kipindi cha mwezi mtukufu na yeye kufunga ama kutoonekana na chakula akiwa pale WCB.

Diamond alipoanza ujenzi wake wa msikiti alilazimisha na yeye aupost na siku ya kuuzindua aende.

Account za WCB wasanii karibia zote insta zina blue tick ila yeye hawakumuhangaikia kuipata kila akiuliza wanadai insta hawarespond

Ile nyimbo ya rudi Diamond aliitaka iwe yake jamaa akakaza mondi alimind sana maana huwa pia anapenda nyimbo nzuri either apewe au ashirikishwe kumbuka hata Kwangwaru alilazimisha ashirikishwe yeye sio Davido.

Rayvann anajijua kuwa anayefuata ni yeye ni jambo la wakati tu maana kuna kipindi alijaribu kuhoji kwanini hamna usawa akaambiwa kama vipi arudi tip top hata yeye kakatazwa kuoa kikirsto anaambiwa sababu mpenzi wake ni muislam basi abadirishe dini na ndio maana rayvan ameanza kujijenga nje ya WCB kaanza kujenga studio yake.

Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani

Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa
 
First to reply
Kwa sasa hapa Bongo naamini WCB ni platform bora kwa msanii kuitumia ili kutengeneza soko la nje na ndani na mtu kama Mavoko alikua na fan base ya kutosha hapa nyumbani naamini aliangalia soko la nje ndio maana akaenda WCB.
Atakua mwehu kama ataondoka kabla lengo lake halijatimia maana toka aende WCB naona hata nje hajapata nafasi ya kutoboa mpaka wadogo zake kama Harmonize na Vanny Boi wanamuacha hatua nyingi na mbaya zaidi hata nyumbani pia ameyumba sana kuna sehemu anakosea ila nadhani bora akomae hapo WCB mpaka lengo litimie ndio kanuni ya mafanikio ilivyo bila kujali kama kuna hizo changamoto (kama ni kweli) ambayo umeyasema narudia tena bora akomae WCB kuliko kuondoka kwa sasa,ingawa hizi tetesi za kuondoka zinaweza kua ni kiki tu kama kawaida ya WCB maana sio wa kuwaamini kwenye matukio kama haya.
 
Hivi rayvany nae muislam?,je na yy alifunga mwezi wa Ramadan?. Huyo Rich bila mond angekuwa tayari tusha msahau, mara kwanza alikuwa chini ya Papa Misifa akagombana na Papa misifa, jamaa akamfungulia kesi ya kudai 50 mil, baadaye akaamua kumkimbia Papa misifa akasainiwa na King kaka wa Kenya huko ndio akapotea kabisa . Baada kuona anapotea, akavunja mkataba na King Kaka akamfuata AY, AY akamwambia yy hameneji wasanii baada ya akina ommy dimpoz na Feza kessy kumzingua, ila AY akamwambia aende kwa Diamond. Jamaa akamkubalia ndio tukaanza kumsikia na mpaka kufanya nyimbo na Patoranking video ikashutiwa na Moe Mussa London hizo zote juhudi za Diamond, sasa mlitaka Diamond afanyeje wakati yy mwenyewe anafanya mziki kivivu, anatoa nyimbo moja moja, wenzake akina Lava Lava, Rayvany, Mbosso, Harmonize kwa mwaka huu washatoa nyimbo zaidi ya tatu. Sasa mavoko atawika vipi wakati hatoi nyimbo.Hivi Diamond angekuwa mdini leo Mose Iyobo si asingekuwa naye na Iyobo ndio kiongozi, upande wa madensa,wana miaka zaidi ya kumi.
 
Hivi rayvany nae muislam?,je na yy alifunga mwezi wa Ramadan?. Huyo Rich bila mond angekuwa tayari tusha msahau, mara kwanza alikuwa chini ya Papa Misifa akagombana na Papa misifa, jamaa akamfungulia kesi ya kudai 50 mil, baadaye akaamua kumkimbia Papa misifa akasainiwa na King kaka wa Kenya huko ndio akapotea kabisa . Baada kuona anapotea, akavunja mkataba na King Kaka akamfuata AY, AY akamwambia yy hameneji wasanii baada ya akina ommy dimpoz na Feza kessy kumzingua, ila AY akamwambia aende kwa Diamond. Jamaa akamkubalia ndio tukaanza kumsikia na mpaka kufanya nyimbo na Patoranking video ikashutiwa na Moe Mussa London hizo zote juhudi za Diamond, sasa mlitaka Diamond afanyeje wakati yy mwenyewe anafanya mziki kivivu, anatoa nyimbo moja moja, wenzake akina Lava Lava, Rayvany, Mbosso, Harmonize kwa mwaka huu washatoa nyimbo zaidi ya tatu. Sasa mavoko atawika vipi wakati hatoi nyimbo.
Fact...
 
Hivi rayvany nae muislam?,je na yy alifunga mwezi wa Ramadan?. Huyo Rich bila mond angekuwa tayari tusha msahau, mara kwanza alikuwa chini ya Papa Misifa akagombana na Papa misifa, jamaa akamfungulia kesi ya kudai 50 mil, baadaye akaamua kumkimbia Papa misifa akasainiwa na King kaka wa Kenya huko ndio akapotea kabisa . Baada kuona anapotea, akavunja mkataba na King Kaka akamfuata AY, AY akamwambia yy hameneji wasanii baada ya akina ommy dimpoz na Feza kessy kumzingua, ila AY akamwambia aende kwa Diamond. Jamaa akamkubalia ndio tukaanza kumsikia na mpaka kufanya nyimbo na Patoranking video ikashutiwa na Moe Mussa London hizo zote juhudi za Diamond, sasa mlitaka Diamond afanyeje wakati yy mwenyewe anafanya mziki kivivu, anatoa nyimbo moja moja, wenzake akina Lava Lava, Rayvany, Mbosso, Harmonize kwa mwaka huu washatoa nyimbo zaidi ya tatu. Sasa mavoko atawika vipi wakati hatoi nyimbo.Hivi Diamond angekuwa mdini leo Mose Iyobo si asingekuwa naye na Iyobo ndio kiongozi, upande wa madensa,wana miaka zaidi ya kumi.
Kwa hiyo alikuwa anaambiwa sasa hivi achia ngoma anakataa?
 
Hivi rayvany nae muislam?,je na yy alifunga mwezi wa Ramadan?. Huyo Rich bila mond angekuwa tayari tusha msahau, mara kwanza alikuwa chini ya Papa Misifa akagombana na Papa misifa, jamaa akamfungulia kesi ya kudai 50 mil, baadaye akaamua kumkimbia Papa misifa akasainiwa na King kaka wa Kenya huko ndio akapotea kabisa . Baada kuona anapotea, akavunja mkataba na King Kaka akamfuata AY, AY akamwambia yy hameneji wasanii baada ya akina ommy dimpoz na Feza kessy kumzingua, ila AY akamwambia aende kwa Diamond. Jamaa akamkubalia ndio tukaanza kumsikia na mpaka kufanya nyimbo na Patoranking video ikashutiwa na Moe Mussa London hizo zote juhudi za Diamond, sasa mlitaka Diamond afanyeje wakati yy mwenyewe anafanya mziki kivivu, anatoa nyimbo moja moja, wenzake akina Lava Lava, Rayvany, Mbosso, Harmonize kwa mwaka huu washatoa nyimbo zaidi ya tatu. Sasa mavoko atawika vipi wakati hatoi nyimbo.Hivi Diamond angekuwa mdini leo Mose Iyobo si asingekuwa naye na Iyobo ndio kiongozi, upande wa madensa,wana miaka zaidi ya kumi.
Umebalance story as if wewe ndio mleta uzi.
 
Back
Top Bottom