Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Mtu yeyote anaeamini kuwa jiwe ni strategist huwa ananifanya nicheke hata kama nilikuwa na huzuni. Jiwe ni jiwe proper; hajui cha strategy wala plans. Anachokiamini (lakini hata utekelezaji wake kwa kutumia akili haujui na hauwezi) ni matumizi ya mabavu.
Mkuu hata kama strategies zake ni poorly organized lakini bado ni JPM strategist !😉😉😉
 
Kama wapinzani wangeachwa huru wafanye siasa za kidemocracia, yaaani


Tume huru

Wafanye mikutano sawasawa na ile ya CCM


2020 CCM ingeangukia USO yaani hata ile mikoa kama Dodoma, Tabora ingechukuliwa na upinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msingi uislamu na ukristo....nyoko kabisa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu swala la udini unalibeza?? Duh hatari
Hii paragraph imeonyesha hauna kitu unachokijua unaongozwa na ushabiki tu bila kutumia akili.

"Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika"
Najua ulitaka niongeze kwamba wametambua hawatashinda sababu ya mabavu ya JPM kutumia nguvu ya dola, anyway ndo kutoshinda kwenyewe huko..hata hivyo JPM bado ana kura nyingi sana coutryside...punguza tu mihemko utalitambua hili

CCM na JPM hawajawahi kuwa na mbinu mkakati za kuushinda upinzani kwenye fair ground. Bado wataendelea kupata fadhila ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi ili kutoboa. Mark my words.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutumia nguvu ni mbinu pia
 
Mtu yeyote anaeamini kuwa jiwe ni strategist huwa ananifanya nicheke hata kama nilikuwa na huzuni. Jiwe ni jiwe proper; hajui cha strategy wala plans. Anachokiamini (lakini hata utekelezaji wake kwa kutumia akili haujui na hauwezi) ni matumizi ya mabavu.
Kwanza jpm anakubalika wapi hakuna kitu Kama hicho,wizi wa kidola ndio salama ya ccm nje ya hapo hakuna ccm anayekubaloka
 
Magufuli hahawahi kuwa strategist yani ni mweupe peeeee. Na ndani ya CCM kwa sasa anapingwa sana. Amebakiza mabavu na anaamini ndiyo yatamvusha.
 
Mchambuzi amejawa na Udini,Nafikiri mchambuzi ni kada wa CCM,Mchambuzi hakuyaona haya,JPM kwa sasa hakuna anakokubalika,Ndani ya CCM kuna makundi..

Uchambuzi uko kipropaganda zaiki kuliko uhalisia wa hili tokeo la kwanini Maalim kajiunga na ACT..
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
JPM hadi sasa zero upinzani 5 JPM anaenda kuwa one time president chadema imepungukiwa na wabunge walafi ambao walivuta mpunga wakarudishiwa ubunge wao na hawajawahi kuwa madhara kwa chama maana chama kiliwabeba wakawa wabunge JPM kalinywa kwa kumrudisha fisadi lowassa na gamba Rostam na hakuna jipya akumbuke 2020 anaingiza nchi kwenye vita na yeye hatabakisalama atakimbia nchi huo ndio ukweli
 
Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
hahahahhahahahhahahhahahahhahahahahahahahahahhahahahhahahahhahahahahahhahahahahhahahahhahahahhahahhahahahahahhahahahhahahahahahhhahahahahahahhahhahahahahahhahahahhahahahhahahahahahhahahahhahahahahahahhahahahahahaahahahahhhahahahhahahhahahahahahhahaaaahahhahahahahahhahahahhahahahhhhahhahahahahahhahahhahahahahahhaahahahhahahahhahahahahhahahhahahahahhahahahhahahahhahahahhahahahahhahahahahahhahahahahhahahahahahhahahahahah
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu

Wanaofuata doctrine ya Freemason kisiasa watakuona kama mchambuzi hodari!
 
Mchambuzi amejawa na Udini,Nafikiri mchambuzi ni kada wa CCM..

Uchambuzi uko kipropaganda zaiki kuliko uhalisia wa hili tokeo la kwanini Maalim kajiunga na ACT..
Nikupe tu mfano, hvi unaweza kumchukua mkristo na kumpa jimbo la Tanga mjini au Pangani ua unguja utegemee atashinda?? Udini na hata ukabila huwa unazingatiwa sana kwenye masuala ya siasa...mi sio kada wa CCM na siasa ni timing pamoja na mbinu JPM anatumia mbinu ya Mabavu na ndiyo anaamini itamvusha..wapinzani nao watafuta gap la kuikabili na hii ndo hoja yangu..
 
Utakuwa mgeni wa siasa maalim seif ni gwiji wa siasa lakini kwa CCM uwa afui dafu awezi kabisa ameshindwa hata iweje, Lissu na Zitto bado ni watoto sana na yao ni nepi, tena mchezo anaofanya Lissu adharani hakuna mtanzania aliye taayari kuuza nchi yake kwa wazungu, pili vyombo vyetu vya ulinzi haviko tayari kwa hilo.

Zitto usimuamn wala Maaalim

Maalim n mjanja anawatumia wapemba kwa maslah yake 7bu wamerogwa wamenyweshwa maji ya maiti hata aende wapi wapo nyuma, ungwaji wake mkono wa waunguja ni mdogo sana, Zitto hana power Tz bara

Bado atasubiri sana

CCM ndo super power ambayo inamua siasa iweje na mambo yaweje, hao ni watoto tu na yao nepi pempas itawachuna
 
Uchambuzi mzuri lakini sikubaliani kuwa Zito na TL ni vibaraka wa wazungu. Kilicho dhahiri ni kuwa wanafanya jitihada za kila aina kutafuta kuungwa mkono na wazungu, sawa kabisa na alivyofanya Mwalimu katika harakati za kumwondoa Mwingereza au walivyofanya OAU na ANC ili kuufuta ubaguzi wa rangi.

Kila mahali Duniani ili kuuondoa ubaguzi, ugandamizaji na udikteta, mafanikio yake yalitegemea uwepo wa mkono wa mzungu hata pale uovu huo ulipofanywa na mzungu mwingine.

Mpaka sasa, jitihada za wapinzani zimeleta matokeo mazuri zaidi kuliko za JPM. Kuna kila dalili, hasa kwa upande wa wananchi, uungwaji mkono kwa vyama vya upinzani haujapungua. Uungwaji mkono wa JPM ndani ya chama chake na kutoka kwa wananchi umepungua sana.

Ni kwa mara ya kwanza, serikali ya Tanzania imekemewa na block zote kubwa kabisa za Magharibi. Ni kwa mara ya kwanza Tanzania inatazamwa kama mfano mbaya wa jinsi nchi inaweza kutoka kuzuri na kuelekea kubaya kwa sababu ya kiongozi mmoja (refer mjadala wa kimataifa ambapo nchi 2, Tanzania na Ethiopia zilitazamwa kama mifano juu ya athari ya kiongozi. Wakati Ethiopia kiongozi wao mmoja tu ameifanya nchi kuwa na mwelekeo mzuri, na Tz mtu mmoja ameifanya nchi ikose mwelekeo).

Wapinzani kwa mara ya kwanza wamesikilizwa zaidi na nchi za Magharibi kuliko wakati mwingine wowote.
 
Mkuu hujatuchambua na sisi wapiga kura. Sisi kwa sasa hivi tuna uelewa wa kura ni siri. Pia sasa tunaelewa maana na umuhimu wa kulinda kura. Tukutane 2019 mitaani na 2020 kitaifa tukiwa na machungu mengi.
 
Nikupe tu mfano, hvi unaweza kumchukua mkristo na kumpa jimbo la Tanga mjini au Pangani ua unguja utegemee atashinda?? Udini na hata ukabila huwa unazingatiwa sana kwenye masuala ya siasa...mi sio kada wa CCM na siasa ni timing pamoja na mbinu JPM anatumia mbinu ya Mabavu na ndiyo anaamini itamvusha..wapinzani nao watafuta gap la kuikabili na hii ndo hoja yangu..
Kwamantiki hiyo Majimbo(wapiga kura) ndio yenye Udini sio CUF wala ACT..!
 
Back
Top Bottom