Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

Weka ushahidi hapa la sivyo hizo ni porojo tu. Kwani tangu amengia madarakani umewahi sikia kuna mkoa. umelia njaa au kipindupindu Dar, au mgao wa umeme, ujambazi unausikia tena? Mfumko wa bei je, upo au umedhibitiwa. Najua unajua ila kwa kuwa umezoea siasa za ujanja ujanja ambazo awamu hii hazipo unaona aibu kukiri.

I rest my case! Wenye akili japo kidogo watajua tofauti iliyopo kati yetu. Sitaki kushindana na nguruwe kugalagala kwenye matope.
 
Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k .
Uhuru wa vyombo vya habari na raia, kuminywa demokrasia na kuegemea china, hizi zote ni danganya toto tu.

USA hajali what you are doing with your country as long as he get what he wants. na hii ni kwa wote UK France n.k

Kumbuka hawa hawa ndio waliokuwa wakiwa finance madikteta wa kiafrika na kuwapa silaha kuuwa watu, walipochoka nao wakawashuhulikia.

CCM kama ulivosema wapo well organized, wamejifunza na wanajua how to play with these people.

Maalim alifika UK akalalamika sana na sana, na mataifa yote duniani wanajua kuwa jamaa kaporwa, lakini who cared?

Wamemrudisha visiwani na ahadi ya watashuhulikia, mpaka leo kimya. Kuna kipindi apa eti Misaada imezuiliwa, imeanza kuja wenyewe.....

CCM wanakula sahani moja na mabeberu na ndio maana wanaendelea kudumu.
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
The game continues.
 
Mtu yeyote anaeamini kuwa jiwe ni strategist huwa ananifanya nicheke hata kama nilikuwa na huzuni. Jiwe ni jiwe proper; hajui cha strategy wala plans. Anachokiamini (lakini hata utekelezaji wake kwa kutumia akili haujui na hauwezi) ni matumizi ya mabavu.
Usijidanganye MTU wa strategy anatumia akili na sio nguvu, jiwe anatumia nguvu automatically sio MTU wa strategy
 
By the way; definition ya science imebadilika mno sasa. Nadhani ni hapa kwetu tu ndio tumebaki na dhana kuwa chemistry, biology na physics ndio science. Lakini nchi nyingine utakuta mtu anasoma finance na course yake inaitwa Bsc Finance, anaesoma marketing Bsc Marketing etc. Sasa kuna mtu kasomea "PhD in maganda ya korosho" halafu anaitwa scientist! Ukiuliza practical use ya hiyo "science" huambiwi zaidi ya kuwa aliesoma ni "smart" kwa kuwa "kasoma science".
😁😁😁😁😁😁 PHD in maganda ya korosho from University of Dar es Salaam
 
Hakuna cha msuguano na USA wala nini,nadhani pana mambo madogo madogo tu ya kurekebisha, endapo msuguano ungefika to that extent kwamba unahatarisha maslahi na usalama wa marekani na rafiki zake, nadhani USA wasingesita kuvunja mahusiano ya kibalozi na kumrudisha nyumbani balozi wake ikiambatana na kumfukuza balozi wa Tanzania nchini USA, kitu ambacho ingekua very danger kwa Tanzania, hakuna nchi yeyote duniani inayoingia kwenye serious mgogoro na USA alafu ikabaki salama hilo sahau, by then Tanzania haina rasilmali za kuifanya USA itumie resource zake kuleta tension nchini, maana hawa jamaa wanaangalia return in, hawako tayari kupoteza resource zao eti kwasababu tu wanataka kumweka mtu fulani madarakani, Tz haina hizo rasimali tunazoaminishwa kwamba tunazo, hata kama zipo not to that extent, dhahabu ya geita, kahama na tanzanite ya mererani plus gas ya mtwara haiwezi ikawapa super profit USA na rafiki zake mpaka wakashawishika kuinvest in dirt game kama,hii, hata hayo mafuta tunaambiwa yapo baharini sio mengi kivile, angalia nchi zenye mafuta kwa wingi, venezuela , Libia, Nigeria na Angola. By the way kwa wale wanaotegemea kumtoa madarakani JPM kwa msaada wa USA na rafiki zake wasahau, hili jambo hawatajaribu kulifanya wao kwa maana biashara hii haitawalipa ni biashara yene hasara, na wazungu hawako tayari kuinvest katika biashara yenye hasara wataishia kulaani kwenye vyombo vya habari vya kimataifa then yataisha.





=
Mkuu upo sawa kabisa...wanaotapatapa kutafuta msaada huko hawajui kuwa jamaa wale ni opportunist....kwenye rasilimali kama dhahabu, almasi tayar wameshakaba na wananufaika tu vizur....mpak sasa ni kama hawana mpango wwte was kuingilia siasa za Tanzania, wanachokifanya just kuwaridhisha tu wanaowaendea na matamko ya vyombo vya habar na majarida....kinachoshangaza Leo wanalaani kwenye vijarida alaf kesho wanatuma msaada ikulu kwa JPM na tabasamu bashasha
 
Uhuru wa vyombo vya habari na raia, kuminywa demokrasia na kuegemea china, hizi zote ni danganya toto tu.

USA hajali what you are doing with your country as long as he get what he wants. na hii ni kwa wote UK France n.k

Kumbuka hawa hawa ndio waliokuwa wakiwa finance madikteta wa kiafrika na kuwapa silaha kuuwa watu, walipochoka nao wakawashuhulikia.

CCM kama ulivosema wapo well organized, wamejifunza na wanajua how to play with these people.

Maalim alifika UK akalalamika sana na sana, na mataifa yote duniani wanajua kuwa jamaa kaporwa, lakini who cared?

Wamemrudisha visiwani na ahadi ya watashuhulikia, mpaka leo kimya. Kuna kipindi apa eti Misaada imezuiliwa, imeanza kuja wenyewe.....

CCM wanakula sahani moja na mabeberu na ndio maana wanaendelea kudumu.
Mkuu well said..ndo mana nikasema hvi mipango ya opposition hasa ya kutegemea vyombo international itategemea factor mbalimbali moja wapo kuwepo na msuguanao makali kati ya makaburu na JPM (kitu ambacho mpak sasa hakipo) kuna sehmu wanagusa wanafikir CCM haipo lakni wanakuta CCM ishakita mzizi mpaka kwenye mantle
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu

NI UJENZI WA HOJA / UCHAMBUZI MZURI, KWA JICHO LANGU
 
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.

JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili vyema..alishaona anaenda kuwekwa mtu kati ndani ya CCM na watu ambao ana tofauti nao lakini wnye nguvu ndani ya Chama (Membe group)

Kwa jicho la tatu alifanya juu chini kuhakikisha kundi lenye nguvu zaidi ndani ya chama tawala linakuwa upande wake by any means (Lowasa group) na hapo akafanikiwa kulivunja nguvu kundi la upande wa pili, Lowassa bado ana nguvu kubwa ya kisiasa na ni mtaji mkubwa sana wa JPM...bila shaka JPM atapita kama mgombea urais kupitia chama tawala (Patamu hapo.)

Changamoto nyingine ilikuwa upande wa pili yaani upinzani, juhudi zilifanyika kuiangamiza CUF na kuimaliza nguvu Chadema, wabunge wengi na madiwani wametimkia CCM..na hilo amefanikiwa kwa kias kikubwa.

Hata hivyo kuna vichwa vitatu makini ambavyo JPM anatakiwa acheze navyo vyema Hawa ni Lissu, Zitto na Seif.

Hawa watu wametazama kwa umakini mwenendo wa siasa za bongo wakaona hakuna uwezekano wa vyama vya upinzani kushinda uchaguzi 2020 kwa njia ya kura, ukiachilia mbali mambo anayoyafanya JPM, bado jamaa anakubalika sana kwa wananchi hasa maeneo muhimu kwa kura, hivyo kwa vyovyote vike kushindwa ni hakika.

Kwa mtazamo huo Lissu na Zitto wkaamua kutafuta msaada nje ya box through western countries, na hivyo wanafanya kila wawezalo kuhakikisha Nchi za Magharibi zinaimulika Tz kwa jicho la pekee, JPM anajaribu kuwatikisa hawa jamaa wa magahribi, uongozi wake unaenda kinyume na propaganda za magharibi (mf ) kuminywa uhuru wa vyombo vya habari, kuminywa kwa democrasia na kuegemea kwake kwa nchi kama china n.k ..

Hivyo Lissu pamoja na Zitto wanatumia Mwanya huo kupress ili hizi nchi zihakikishe zinashawishika kumwondolea mbali JPM 2020, na kwa vyovyote vile Lissu na Zitto ni vibaraka wa hawa jamaa.

Hata hivyo hawa wazungu hawawezi kukupa tu msaada wa ushindi kwenye uchaguzi kama hawajajiridhisha ya kuwa watafaidika zaidi kuliko wanavyofaidika sasa, pili hawawezi kwenda nje ya propaganda yao ya democrasia na hivyo lazima ujipange kupata support ya wapiga kura wa kutosha, na hapa ndipo mkakati kabambe umesukwa....

Hoja ikaja, Ili kupata mtaji mkubwa wa wapiga kura lazima vyama vikuu vya upinzani viunganishe nguvu, mambo ya kupambana separately inabidi yakae pembeni...possibly mipango kabambe imeenda kama ifuatavyo.

CUF ni kama imeyumba sana, hata hivyo ni chama chenye mtaji mkubwa wa wapiga kura hasa visiwani na maeneo ya Pwani, huku chama kikiwa na mpasuko mkubwa, bado Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo support yake haitakiwi kupuuzwa.

Kwa vyovyote vile Seif alitakiwa ahame ili kuhamisha kura sehemu salama kwa upinzani...suala la kidini likaibuka, chama cha Chadema kimsingi kina msingi wa kikristo sana , wanachama na wafuasi wa CUF 90% ni muslim na wana itikadi kali hawa watu.. Hivyo tactically haitaleta matokeo mazuri kwa Seif kuhamia Chadema, badala yake best option ikaja Seif atimukie ACT ambayo msingi wake mkuu pia ni uislamu na hivyo support itakuwa kubwa visiwani na Pwani.

Hivyo Zitto na Seif kazi kubwa waliyo nayo ni kuorganize wanachama wa CUF na ACT wazalendo wawe kitu kimoja for the final battle, kazi kubwa itakayobaki kwa Mbowe ni kuorganize wanachama wa Chadema kutokana na seleka seleka la kuhama kwa wabunge na madiwani ambalo kimsingi limepunguza ushawishi wa chama.... huku kazi kubwa ya Lissu akisaidiwa na Zitto ni kumobilize western support for the final Assault, kuelekea uchaguzi mkuu vyama hivi vitaungana ili kuleta impact kubwa zaidi na hapa inatengenezwa proper timing kulingana na matokeo ya mikakati itakavyokwenda .....

My take:
Ili mpango huu ufanikiwe Other factors should remain costant eg: Msuguano wenye ushawishi kati ya western countries +USA na JPM (Mpak sasa hivi hakuna msuguanao wenye maana), Kuibuka kwa makundi yenye nguvu zaidi ndani ya CCM yanayopingana na sera za JPM (Kurudi kwa Lowasa na Rostam, hili ni kama limezimika, but let us wait and see), kusiwepo na tofauti kati ya Zitto na Chadema kila mmoja aridhike na mipango itakayopangwa. nk....

Hivyo JPM inabidi akae mkao wa kula, hata hivyo JPM yupo vizuri sana kwenye kucheza na nyakati, bado yeye ndo ana nafasi kubwa ya kubadili mchezo anytyme, tutaendelea kushuhudia mambo mengi zaidi ya kisiasa kadiri tunavyohit ucahaguzi mkuu..Leo nimemuona mzee Kikwete akienda ikulu
Ccm na lipumba ndio mlitazamia maali atahamia cdm. Wengine wenye akili walijua atahamia act-w. Uswahiba wao hivi karibuni kilikuwa ni taa ya njano tosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kabisa unaweza kukaa ukajidanganya kuwa Lissu anaweza kumshinda Magufuli 2020?
Bila wizi, anashinda alfajiri ya majogoo. Magufuli bila ubabe wa kuiba kura kwa mgongo wa tume, anaenda nyumbani vizuri sana. Ccm, bila tume yao hii, is nothing but a Spent Cartridge.
 
Ni kweli Magufuli hana ujanja wowote kisiasa, yeye anachotegemea ni mbeleko ya tume yake ya uchaguzi. That's all.

Acha basi tupate tume huru na hao wakurugenzi waende nyumbani wasiwe sehemu ya hiyo tume ndio tuone basi kama kweli yeye sio "Joka la Kibisa".

Huyu hana lolote ni ubabe wa bure tu. Kwa nini basi anaogopa tume huru??????????
 
Uchambuzi wako umekosa hoja muhimu Moja kuu uneongelea hama hama ya wabunge na madiwani kwa chadema umesahau Lowassa effect kuwa kuhama kwake kahama na sehemu kubwa ya wale wapiga kura milioni sita wake ambao asilimia zaidi ya themanini walipigia kura chadema sababu ya Lowassa kwenye mikoa yenye walutheri Wengi.Hawakupigia kura chadema sababu wanaipenda Chadema Bali sababu walimpenda Lowassa mikoa yenye walutheri wengi kama Kilimanjaro,Arusha,manyara,Mbeya,Dar es salaam Tanga na Momba na morogoro
Hata kama hatagombea tena lakini Lowasa target yake ni 2025. Amerudi lakini ataishikisha adabu muda ukifika. Anaweza asisamehe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi mwenyewe ni victim wa maamuzi anayoyafanya JPM...shughuli zangu huwa zinanilazmu nikutane na watu wasio na elimu huko kijijini...hawa watu wengi wao hawajui haki zao za msingi kuhusu serikali, wanachoangalia ni mvua imenyesha, mifugo ipo vizur na wamevuna mazao, mabwawa yamejaaa maji huwa wanawaza serikali pale tu wanapopata balaa la njaa, au taabu ya maji... wengi wao hujifungulia nyumban na hata njiani, wanajitibu kwa kutumia dawa za mitishamba, kwao shule, hospital na ujenzi wa barabara ni mambo ya ziada na sio lazima...

kwa Tanzania kundi hili ni kubwa sana na limebeba more than 60% ya Tanzania residents , wana imani na CCM kupita maelezo hii ni ngome ngumu sana wapinzani kuipita kwanza wanajulikana kama wahuni...ni kweli JPM uongozi wake unashindwa kulenga shabaha, pamoja na vipaumbele ambavyo havimsaidii mwananchi wa kawaid na vinapoteza hela nying but still ana mtaj mkubwa wa kura

Jaman fanyeni utafiti sio kupiga stor kweny vijiwe vya mjin ambapo wengi wa wakazi wake hata kura hawapigi
Hi umepata wap ujasiri wa kucommit fallacy ya kugeneralise kuhusu vijjn?Hivi Heche ni mbunge wa mjin?Mm kijijn kwetu watu wako well informed labda unamaanisha vijiji vya kongwa na maeneo mengine ya dodoma
 
Kifupi jambo asilolijua ni kama usiku wa Giza.Upinzani ndio ukae tayari safari hii uchaguzii ujao kwanza Upinzani wengi wa wanachama wao hawataenda kupiga kura kabisa hasa Zanzibar huku bara ndio usiseme .Mwanachama wa Upinzani kumwinua akapige kura labda umnyanyue na winchi.Wengo hawataenda kabisa,S sijui Upinzani utafanyaje kuhamasisha wanachama wao wakapige Kura

Waweza kuwa kweli kwenye hili kwani wengi wameona wizi unaofanywa ccyemu, ila pia nimecheka sana eti jiwe ana strategy hivi mleta mada uko serious kweli au umeweka utani kidogo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama yafuatayo yatafanyika!
1.NEC itakuwa huru na Haki.
2.Vyombo vya ulinzi na usalama vitakaa pembeni visiingilie uchaguzi.
Zaidi ya hapo hata Vyama vya Upinzani vingekuja na mikakati gani,lazima CCM itabaki madarakani tu.
Asikudanganye mtu!
 
Back
Top Bottom