Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo


Sio Kweli. Tenda haikuwa Opening.

Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016.

Ndiyo uzuri wa kujadili kwa pamoja.

Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.

Je unajua vipengele vyovyote vilivyomo ndani ya mkataba.... any contract terms?

Je unajua maana ya value for money ndani ya miaka 10 ijayo? Inawezekana Azam amesaidia kuitangaza ligi na watu kupenda mpira, lakini hiyo haitoi amefanya sana biashara na haitoi uhalali wa Monopoly.

DSTV ni kama Azam kwa SA, mkataba wake hauzidi miaka 4 na anaweka mpunga wa maana.

Naomba uliangalie hili katika mtazamo chanya pasi na majungu tujadili kwa akili
 
Lisemwalo lipo
 

Huo ushindani wa ligi unaongezeka vipi ikiwa Azam kapewa pin ya 10 years?

Maneno kama Akili ndogo au kutafuta kazi ya uchambuzi haina uhusiano na Mjadala huu.
 

Kwa Vigezo gani ?
 
We we una post pumba zako hapa kwa manufaa ya nani?? Ficha ujinga wako mkuu!!
Ni aibu kubwa kutokujua mchango wa Azam TV kwenye kukuza soka letu!

Maneno kama pumba na ujinga hayana uhusiano na mjadala huu. Ninakuomba ubaki kwenye topic ili tujadili kwa mapana
 
We binafsi umefanya nini kwa miaka kumi iliyopita.bado uko VB kwa shemeji yako then unasemaje mingi sana

Alichofanya binafsi ndani ya miaka 10 iliyopita hakina uhusiano na kinachojadiliwa. Ninakuomba ubaki kwenye topic tujadili kwa maslahi mapama
 
Mwenye akili za kijinga ni yule anaepiga majungu kwa chuki binafsi na vijisababu vya njaa kama zako kuona Azam kupewa mkataba wa haki za matangazo.
Ni chuki tu ulizonazo huna jipya man.

Kwahiyo wewe unapinga watu kuhoji?

Sorry, nimekuita Mediocre Mind kwa sababu huna Mental Strength za kujadili hoja kinyume na mtazamo wako.

Matokeo yake unaishia kusema tunachuki na wivu. Ikiwa kila Mtanzania angekuwa na mtazamo kama wako, kungekuwa hakuna Sababu ya kuhoji mambo ya msingi.

Kama mimi nimepotoka, naomba utoe ufafanuzi yakinifu dhidi ya hoja iliyopo mezani.
 
Kwa maneno haya ya shombo, watu smart hawawez jadili hii mada, unaifunga mada makusudi ili uonekane unajua unachokiandika kumbe ni pumba tupu, wadhamini wa kuweke tilion 1 wako wapi Tanzania hii? Hizi ni porojo tu na fitna, tuache fitna tufanye kazi, kazi ya AZAM imeonekana ktk kusapoti ligi yetu, ndondi ma filam za ndani.
AZAM apewe haki yake afanye makubwa zaidi.
 

Hujaelewa vyema mada. Re read and focus kwenye topic ya msingi
 
Tenda ilitangazwa, mimi niliona tangazo kwenye mitandao ya TFF.
Ukubwa au udogo wa fedha zinazotolewa unategemea ukubwa wa uchumi wa nchi, usifananishe South Africa na Tanzania, jiulize wangapi South wanaweza kununua ving'amuzi na kulipia malipo kila mwezi, pia jiulize swali hilohilo kwa Tanzania.

Kuhusu miaka 10 ni kwamba Azam pia watatakiwa kununua vifaa, Kama camera, magari ya matangazo ambayo ni gharama kubwa, kuwapa mafunzo wafanyakazi nk.

Sasa akipata mkataba wa miaka mitatu anaweza kupata hasara maana itabidi ashindanie tenda na anaweza kukosa, kwahiyo Kuna ambo mengi Sana kuhusu huo mkataba.
 
Dstv wapumbavu sana walisema ligi yetu haina ubora wakati Kenya walikuwa wakionesha ligi yao kupitia GOTV Tenga akaamua kuwapa nafasi azam tv na imesadia sana kuongeza Thamani ya ligi yetu. Kwa mfuatiliaji wa mpira hii ishu hawezi kuongea huu ujinga.

Na walitangaza tenda Tff dstv, startimes wote wameanguka
 
Acha uchawi wewe tenda ilitangazwa afu huwez kufanisha south Africa na ligi yetu ni vitu viwili tofauti tumia busara

Okay, share hapa ilipotangazwa.
Hoja ya pili, contract duration na value for money unaizungumziaje, tunajadili Chief acha kupanic huenda ukajifunza kitu in the process
 
Weee ondoa ujinga hapa mbona hawajashinda tenda ilitangazwa
 
Kawekee wewe wako acha upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…