Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
- Thread starter
- #21
Boss vyema kama hujui ukauliza...tenda ilikuwa wazi na wazabuni waliojitokeza kuomba ni pamoja na TBC 1 kupitia Startimes, Startv kupitia continental decoda , na ATN kupitia TING ...so you see..watu waliojitokeza kuweka mzigo mezani..hoja za Azam TV zikwap shawishi zaidi kuliko hao wengine...
Na kingine watu mnalia Sana na DSTV Ila kiukweli DSTV asingeweza kutoa pesa ata robo ya aliyotoa Azam TV.. zingatia alichotoa kwenye ligi za Zambia na ethiopia ambapo huko anasoko kubwa pia Kama hapa TZ.
Utasema mbona Katoa mzigo mkubwa Afrika kusini, jibu ni simple tu kule Afrika kusini DStv ni kama Azam TV kwa hapa bongo..wanawateja wengi na uhakika mkubwa wa return ..the same na Azam TV hapa ..ingekuwa Azam TV anazamnini ligi ya kenya asingetia pesa nyingi hivi..simple kwa kuwa hana return kule.
Ukijumlisha dau ambalo angetoa washindaji wote hao ..kwa.miaka kumi ijayo..isingeweza kufika dau aliloweka Azam TV ..
Sio Kweli. Tenda haikuwa Opening.
Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016.
Ndiyo uzuri wa kujadili kwa pamoja.
Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.
Je unajua vipengele vyovyote vilivyomo ndani ya mkataba.... any contract terms?
Je unajua maana ya value for money ndani ya miaka 10 ijayo? Inawezekana Azam amesaidia kuitangaza ligi na watu kupenda mpira, lakini hiyo haitoi amefanya sana biashara na haitoi uhalali wa Monopoly.
DSTV ni kama Azam kwa SA, mkataba wake hauzidi miaka 4 na anaweka mpunga wa maana.
Naomba uliangalie hili katika mtazamo chanya pasi na majungu tujadili kwa akili