Huyu MK54, anakosa rejea ya kile anacho tuaminisha, ame generalize mada yake mnoo kiasi kwamba hata sisi wachangiaji tunajikuta tunajadili bila kuwa na rejea sahihi,Afu nisadie kumtaja aliyesema atatoa au alitoa dau kubwa kuliko azam tv ili tukuelewee tofaut na hapo ntakuona unaleta ushilawadu tu
Taratibu za manunuzi zinataka mkataba uwe wa muda ganiMosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hoja yake ni nzuri, lakin hana uhakika kwa sabab ana ufinyu wa rejea (references) ya mada yake.
Mkuu acha unafiki na uongo mzee, hizo kampuni ni kampuni gani? Na kwanini hazisemi zenyewe uje kusema wewe? Wakati ligi yetu ipo takataka walikuwa wapi? Wabongo maneno mengi tumeshazoeaNext time jifunze KUANDIKA vyema.
Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.
Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.
Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.
Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.
Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.
Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Espn na la liga wana contract ya miaka 10 mbona hamshangai huko?Miaka 10 mingi sana kwa karne hii ya 21, Hii ni sawa na ile aliyosain chief Mangungo, tofauti ni nyakati tu.
Ukiambiwa umlete wa miaka mitatu kwa dau zuri utamleta?Miaka 10 ni mingi sana
Tafiti gani zimeonyesha hivyo chief ??Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Hivi wewe unajua bingwa wa vpl anapata sh ngapi kwa mdhamini mkuu vodacom?Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Hayo makampuni mbona hayakuomba tenda ilipotangazwa ??Next time jifunze KUANDIKA vyema.
Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.
Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.
Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.
Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.
Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.
Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Wewe kuwa maskini haihalalishi mkeo kugongwa nje ili alete pesa ya kula nyumbani.Una miaka mingapi dogo!?? Miaka 5 nyuma hii ligi lin okiwa haielewek mdogo Angu tulikuwa tunafatilia mpira kwa redio
Azam, katusaidia sana DSTV tuliwabembeleza sana watusaidie kuonyesha ligi lakini waligoma walikuwa wanataka mechi za watani tu.
So usiwabeze Azam mdogo wangu kisa umeikuta ligi inaonyeshwa unashinda kibanda umiza jamaa wamewekeza sana ni muda wao wa kula matunda sasa.
Wanachonifurahisha azam wako tayari kukuza soka letu, watasapot timu zetu pia.
Hawezi kukuelewa,nguruwe akipewa chakula akashiba basi haihitaji jengineNext time jifunze KUANDIKA vyema.
Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.
Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.
Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.
Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.
Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.
Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Nyie mleteni mtu ambae yuko tayari kutoa bilioni 22 kwa mkataba wa miaka mitatuSio Kweli. Tenda haikuwa Opening.
Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016.
Ndiyo uzuri wa kujadili kwa pamoja.
Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.
Je unajua vipengele vyovyote vilivyomo ndani ya mkataba.... any contract terms?
Je unajua maana ya value for money ndani ya miaka 10 ijayo? Inawezekana Azam amesaidia kuitangaza ligi na watu kupenda mpira, lakini hiyo haitoi amefanya sana biashara na haitoi uhalali wa Monopoly.
DSTV ni kama Azam kwa SA, mkataba wake hauzidi miaka 4 na anaweka mpunga wa maana.
Naomba uliangalie hili katika mtazamo chanya pasi na majungu tujadili kwa akili
Wewe unakuja na data mwezio anakurupuka halafu anajidai ana hoja, achana nae, ligi yetu zamani pesa za zawadi walikuwa wanapata watatu wa juu saivi wanapata hadi wanaoshuka darajaUhuru unao Kuna muda inatakiwa ujifunze kuangalia jambo kwa maslahi mapana sana ya vilabu na maendeleo ya sokaView attachment 1801962
Akitaja niite mkuuTaja huyo aliyetaka kuweka hizo 800b hadi 1Tl? Otherwise huu utakuwa umbea na udaku tu
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Eti jinsi azam atakavyopiga hela, huyo jamaa alisema azama ana wateja 1000000 lakini ukweli upo tcra walisema nchi nzima madish hai ni laki 4 tu sasa hayo laki 4 gawanya kwa star times, azam dstv ting nk
Upo sawa kweli kichwani?Mimi ni Nani Hadi PCCB wanikamate kwa sababu ya tenda ya Azam na TFF.« Sasa akipata mkataba wa miaka mitatu anaweza kupata hasara maana itabidi ashindanie tenda na anaweza kukosa, kwahiyo Kuna ambo mengi Sana kuhusu huo mkataba. »
[emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426]
Kwa maelezo yako hapo juu mjomba wewe ukienda pale TAKUKURU kuhojiwa , ujue ndiyo safari yako imefika hapo . Hautorudi tena maana mule mule ndani wana kaselo kao. Watakutunza mpaka wakupeleka
Kisutu kwa maelezo zaidi.
Taratibu hazipo hivi chief, suala la cost operations halina uhusiano na contract duration. Ni aina nyingine ya UKAKASI ulio jificha. Hauwezi plan kuandaa Mkataba wenye favor kwa Supplier au service provider eti kisa atakuwa na operation cost kubwa hivyo tumpe wa muda mrefu ili apate faida bila ya kujali VFM. UTAFUNGWA WEWE!
Umeongea kitu cha ajabu sana. Probably ni out of your knowledge
Majini ya Bakhresa Ni makali Sana, umeaga kwenu?Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.
Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.
Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.
TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.
Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!