Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Afu nisadie kumtaja aliyesema atatoa au alitoa dau kubwa kuliko azam tv ili tukuelewee tofaut na hapo ntakuona unaleta ushilawadu tu
Huyu MK54, anakosa rejea ya kile anacho tuaminisha, ame generalize mada yake mnoo kiasi kwamba hata sisi wachangiaji tunajikuta tunajadili bila kuwa na rejea sahihi,
Atuambie.
1. Hiyo anayosema ukakasi wa muda wa mkataba kwa kuainisha, mapungufu ya kisheria na sio bla bla

2. Value for money, aje hapa na ikiwezekana aje na fact and figures (Aanze kutuambia hiyo value for money anamaanisha nini, akilinganisha na nini)
3. Utaratibu wa Zabuni (Aje na Facts kuwa haikutangazwa, sabab wadau wamemuelimisha kwenda ktk website ya TFF, lakin zaidi wamemtaka aende TFF kufanya rejea)
 
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Taratibu za manunuzi zinataka mkataba uwe wa muda gani
(Itakuwa vizuri ukatupa kifungu cha sheria au kanuni ya manunuzi ili tufanye rejea)
 
Mkuu Mk54 Unafanya arguments na Watu Ambao Hata Utaratibu Wa tender hawaujui, Juzi Kati Mkuu Fohadi Alitoa Hoja Kama Hii na akainisha Mkataba ulivyo na Jinsi Azam TV watakzvyopiga Hela within Hyo 10yrs Lakini Watu wakaja na Hoja ya sjui Azam katutoa mbali sjui Nini na Nini... Hongera kwa Hii hoja
Hoja yake ni nzuri, lakin hana uhakika kwa sabab ana ufinyu wa rejea (references) ya mada yake.
Angekuwa amefukunyua huko tff na kupata vithibitisho, nadhani angeweza itetea vizuri mada yake.
 
Next time jifunze KUANDIKA vyema.

Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.

Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.

Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.

Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.

Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.

Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Mkuu acha unafiki na uongo mzee, hizo kampuni ni kampuni gani? Na kwanini hazisemi zenyewe uje kusema wewe? Wakati ligi yetu ipo takataka walikuwa wapi? Wabongo maneno mengi tumeshazoea
 
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.

Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.

TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.

Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Tafiti gani zimeonyesha hivyo chief ??
 
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.

Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.

TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.

Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Hivi wewe unajua bingwa wa vpl anapata sh ngapi kwa mdhamini mkuu vodacom?
 
Next time jifunze KUANDIKA vyema.

Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.

Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.

Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.

Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.

Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.

Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Hayo makampuni mbona hayakuomba tenda ilipotangazwa ??
 
Una miaka mingapi dogo!?? Miaka 5 nyuma hii ligi lin okiwa haielewek mdogo Angu tulikuwa tunafatilia mpira kwa redio
Azam, katusaidia sana DSTV tuliwabembeleza sana watusaidie kuonyesha ligi lakini waligoma walikuwa wanataka mechi za watani tu.

So usiwabeze Azam mdogo wangu kisa umeikuta ligi inaonyeshwa unashinda kibanda umiza jamaa wamewekeza sana ni muda wao wa kula matunda sasa.

Wanachonifurahisha azam wako tayari kukuza soka letu, watasapot timu zetu pia.
Wewe kuwa maskini haihalalishi mkeo kugongwa nje ili alete pesa ya kula nyumbani.
 
Next time jifunze KUANDIKA vyema.

Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.

Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.

Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.

Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.

Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.

Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Hawezi kukuelewa,nguruwe akipewa chakula akashiba basi haihitaji jengine
 
Sio Kweli. Tenda haikuwa Opening.

Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016.

Ndiyo uzuri wa kujadili kwa pamoja.

Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.

Je unajua vipengele vyovyote vilivyomo ndani ya mkataba.... any contract terms?

Je unajua maana ya value for money ndani ya miaka 10 ijayo? Inawezekana Azam amesaidia kuitangaza ligi na watu kupenda mpira, lakini hiyo haitoi amefanya sana biashara na haitoi uhalali wa Monopoly.

DSTV ni kama Azam kwa SA, mkataba wake hauzidi miaka 4 na anaweka mpunga wa maana.

Naomba uliangalie hili katika mtazamo chanya pasi na majungu tujadili kwa akili
Nyie mleteni mtu ambae yuko tayari kutoa bilioni 22 kwa mkataba wa miaka mitatu
 
Uhuru unao Kuna muda inatakiwa ujifunze kuangalia jambo kwa maslahi mapana sana ya vilabu na maendeleo ya sokaView attachment 1801962
Wewe unakuja na data mwezio anakurupuka halafu anajidai ana hoja, achana nae, ligi yetu zamani pesa za zawadi walikuwa wanapata watatu wa juu saivi wanapata hadi wanaoshuka daraja
 
Kuna mtu anaita wengine vichaa na mediocre wakati yeye mwenyewe hawezi kuleta rejea za kile anachokitetea.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu Mk54 Unafanya arguments na Watu Ambao Hata Utaratibu Wa tender hawaujui, Juzi Kati Mkuu Fohadi Alitoa Hoja Kama Hii na akainisha Mkataba ulivyo na Jinsi Azam TV watakzvyopiga Hela within Hyo 10yrs Lakini Watu wakaja na Hoja ya sjui Azam katutoa mbali sjui Nini na Nini... Hongera kwa Hii hoja
Eti jinsi azam atakavyopiga hela, huyo jamaa alisema azama ana wateja 1000000 lakini ukweli upo tcra walisema nchi nzima madish hai ni laki 4 tu sasa hayo laki 4 gawanya kwa star times, azam dstv ting nk
 
« Sasa akipata mkataba wa miaka mitatu anaweza kupata hasara maana itabidi ashindanie tenda na anaweza kukosa, kwahiyo Kuna ambo mengi Sana kuhusu huo mkataba. »
[emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426]
Kwa maelezo yako hapo juu mjomba wewe ukienda pale TAKUKURU kuhojiwa , ujue ndiyo safari yako imefika hapo . Hautorudi tena maana mule mule ndani wana kaselo kao. Watakutunza mpaka wakupeleka
Kisutu kwa maelezo zaidi.

Taratibu hazipo hivi chief, suala la cost operations halina uhusiano na contract duration. Ni aina nyingine ya UKAKASI ulio jificha. Hauwezi plan kuandaa Mkataba wenye favor kwa Supplier au service provider eti kisa atakuwa na operation cost kubwa hivyo tumpe wa muda mrefu ili apate faida bila ya kujali VFM. UTAFUNGWA WEWE!

Umeongea kitu cha ajabu sana. Probably ni out of your knowledge
Upo sawa kweli kichwani?Mimi ni Nani Hadi PCCB wanikamate kwa sababu ya tenda ya Azam na TFF.

Gari moja la Outside broadcasting linagharimu mpaka milioni 500,ili kuwe na ufanisi kwenye kurusha matangazo yanatakiwa magari zaidi ya kumi kwenye mechi zote camera za kutosha,uwanja mmoja tu unahitaji kamera zaidi ya sita hapa ujue siyo camera ya simu maana nahisi unaweza kufikiri wanapiga picha kwa Tecno za laki moja moja,magari mawili la kurusha matangazo na kingine la kubeba wafanyakazi nk, wafanyakazi zaidi ya kumi,Kuna wafanyakazi studio (mafundi),Kuna wachambuzi,Kuna watangazaji wa uwanjani nk.


Kwa gharama hizo umpe mtu tenda ya mwaka mmoja au miwili!

Haya mambo ni makubwa kwako achana nayo,nenda kwenye page ya Hamisa Mobeto ukaangalie mapaja yake.
 
Pia huna lolote unalolijia maana hujui hata Kama tenda ilitangazwa,Sasa Kama hufuatilii mambo utaweza kweli kujua mambo ya udhamini,utangazaji nk?
 
Mosi, MKATABA umetolewa kwa muktadha wa UZOEFU na sio katika TARATIBU za Manunuzi ya Umma. Mathalani, tukiangalia Ligi ya South Africa, duration ya MKATABA inakuwa ni kati ya miaka miwili hadi mitatu tu. Kila timu inapokea Bil 4 kwa mwaka huku mshindi wa PSL akipokea Bil 6 ikiwa ni jumla ya shilingi Bil 10.

Pili, Kuna viashiria vyote ya kwamba TFF na Wizara ya Habari na Michezo imeshawishika kwenye MOTIVE ya AZAM TV. CAG na TAKUKURU inashauriwa juu ya UCHUNGUZI Kuanzia Wizara ya Habari na Michezo mpaka viongozi wa TFF ili kuweza kujua COMPLIANCE na ETHICS za MKATABA kwa minajili ya Value for Money pamoja na contract duration ya miaka 10.

Tatu. Halikadhalika tafiti zinaonesha ya kwamba endapo kama kungekuwa na COMPETITION ya WAZABUNI yaani Open Tendering basi the highest BIDDER angefika kati Bil 800 hadi 1 Trilioni kwa kipindi hicho cha miaka 10.

TAKUKURU na CAG,
1. Special AUDIT kwenye mlolongo mzima wa MKATABA huu ufanyike kuanzia ngazi ya Wizara hadi TFF
2. MKATABA kati ya miaka 2 na 3 ungekuwa na TIJA katika THAMANI ya FEDHA na kuongeza ushindani kwa WAZABUNI wengine. Mkataba tajwa umekiuka VFM.

Mwisho, mada hii haina any personal issues, ni katika kutoa FURSA ya kuhoji mambo ya msingi na kuangalia mambo yetu katika jicho la tatu; There is no FREE LUNCH , NEVER!
Majini ya Bakhresa Ni makali Sana, umeaga kwenu?
 
Back
Top Bottom