Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

Nyuma ya Pazia; TFF -AZAM TV Haki ya Matangazo

Ningekuwa Azam natoa pesa zangu mbaki na ligi zenu

Tatizo wabongo ni ishu sana kueleweshwa hii ndiyo shida.
Sote tunatambua mchango wa AZAM. Lakini hoja hapa sio kutambua mchango wake, hoja hapa ni uhalali wa miongozo na kanuni kwa kuzingatia contract duration. Haya mambo enzi ya mwendazake yasingefanyika
 
Upo sawa kweli kichwani?Mimi ni Nani Hadi PCCB wanikamate kwa sababu ya tenda ya Azam na TFF.

Gari moja la Outside broadcasting linagharimu mpaka milioni 500,ili kuwe na ufanisi kwenye kurusha matangazo yanatakiwa magari zaidi ya kumi kwenye mechi zote camera za kutosha,uwanja mmoja tu unahitaji kamera zaidi ya sita hapa ujue siyo camera ya simu maana nahisi unaweza kufikiri wanapiga picha kwa Tecno za laki moja moja,magari mawili la kurusha matangazo na kingine la kubeba wafanyakazi nk, wafanyakazi zaidi ya kumi,Kuna wafanyakazi studio (mafundi),Kuna wachambuzi,Kuna watangazaji wa uwanjani nk.


Kwa gharama hizo umpe mtu tenda ya mwaka mmoja au miwili!

Haya mambo ni makubwa kwako achana nayo,nenda kwenye page ya Hamisa Mobeto ukaangalie mapaja yake.

Wewe ni tatizo. Una reasoning ya ajabu and very subjective. Na haujui lolote kuhusu manunuzi
 
Tatizo wabongo ni ishu sana kueleweshwa hii ndiyo shida.
Sote tunatambua mchango wa AZAM. Lakini hoja hapa sio kutambua mchango wake, hoja hapa ni uhalali wa miongozo na kanuni kwa kuzingatia contract duration. Haya mambo enzi ya mwendazake yasingefanyika
Unapendekeza nini hasa?
 
Mkuu Badili Mtazamo wa Maisha yako.

Wewe kuwa maskini haitoi UHALALI kwa mke wako kutoka nje kwa kigezo cha kutafuta hela ya kula. Think big.

Wacha TAKUKURU ifanye kazi yake. What is Value for Money, Mjomba? How old are you? and after 10 years from now utakuwa na umri gani.

There is no such a thing Mwanaharamu apite, maneno hayo ni kuruhusu utumwa wa akili, sheria na miongozo imewekwa
Ili iwe ni Guidance kwetu ; chochote nje ya hapo ni RUSHWA
Huyu ni shabiki wa simba ambae amezoea kusema MO ile bil 20 kwa raha simba inayotupa
 
Hoja imekaa kimajungu zaidi. Inawezekana mleta uzi ni mtu wa kampuni ambayo haijajipanga ila inatamani sana kupata mkataba na TFF.

Uzuri ni kuwa ukikosa mkataba na shirikisho unaweza kuingia na vilabu na ukatangaza biashara zako.

Azam TV wanao utayari hao wengine kujitokeza huwa wanagwaya.
 
Tangazo la tenda

E34DB842-6431-484D-8DD2-20B7BD570824.jpeg


BBCAC294-7F5B-452E-BF26-89808F822B6F.jpeg
 
Boss vyema kama hujui ukauliza...tenda ilikuwa wazi na wazabuni waliojitokeza kuomba ni pamoja na TBC 1 kupitia Startimes, Startv kupitia continental decoda na ATN kupitia TING ...so you see..watu waliojitokeza kuweka mzigo mezani..hoja za Azam TV zikwap shawishi zaidi kuliko hao wengine...

Na kingine watu mnalia Sana na DSTV Ila kiukweli DSTV asingeweza kutoa pesa hata robo ya aliyotoa Azam TV.. zingatia alichotoa kwenye ligi za Zambia na Ethiopia ambapo huko ana soko kubwa pia Kama hapa TZ.

Utasema mbona Katoa mzigo mkubwa Afrika kusini, jibu ni simple tu kule Afrika kusini DStv ni kama Azam TV kwa hapa bongo..wana wateja wengi na uhakika mkubwa wa return ..the same na Azam TV hapa ..ingekuwa Azam TV anadhamini ligi ya Kenya asingetia pesa nyingi hivi..simple kwa kuwa hana return kule.

Ukijumlisha dau ambalo angetoa washindaji wote hao.. kwa miaka kumi ijayo..isingeweza kufika dau aliloweka Azam TV..
Mleta mada anaishambulia TFF kwa hoja ya udhamini wao. Ni wale kwenye makundi ya whatsapp huwa wanamshambulia sana Karia.

Huwezi kuwa na TFF isiwe na mashabiki wa Yanga au Simba kwa Tanzania yetu.
 
Na ndiyo maana tunasema kuanzia Wizara ya Habari na Michezo pamoja na TFF wafanyiwe special Audit.

Na haya mambo kwa awamu ya 5 tungekuwa tunaongea Mengine. Yaani taasisi za umma zinaongozwa na watu wa hovyo sana
Wewe ulie makini unaongoza kitu gani au taasisi gani?
 
Next time jifunze KUANDIKA vyema.

Hoja ya msingi hapa sio habari za miaka 5 iliyopita. Hoja ya msingi Bil 225 kwa miaka 10 ni akili MUFILISI katika Karne hii.

Wewe unadhani kwanini yeye ame PIN muda mrefu hivo. Kumbuka huyu ana UZOEFU na ameshaona kuna madini kiasi gani Kwenye INVESTMENT hiyo.

Je unayo taarifa kwamba kuna kampuni nyingi sana zilianza kumendea hiyo FURSA baada ya kufanya financial analysis zao . Na walikuwa tayari kuweka mara 2 ya mzigo huo tena for less that 10 years.

Wewe unadhani hiyo PIN ya 10 years ni BAHATI mbaya ? Unadhani AZAM anashindwa kutoa 2 Bil kwa Wizara husika na TFF kuharakisha hiyo dili.

Je unajua sheria ya Restricted Tendering ? Je unajua kipengele chochote ndani ya mkataba huo. Unaimbishwa nyimbo ya hovyo na wewe unacheza.

Tafadhali, open your eyes and learn how to be skeptic.
Wewe umeweka mezani bilioni ngapi?
 
Hapana hatuwezi enda hivihivi, eti ligi ilikuwa haijulikani.
Sasa ishajulikana si kwamba Azam hajafaidika, kapata faida ndio maana kaja kijanja na miaka 10.
Wewe ulikatazwa kuja kijanja kijanja na miaka 20?
 
Boss vyema kama hujui ukauliza...tenda ilikuwa wazi na wazabuni waliojitokeza kuomba ni pamoja na TBC 1 kupitia Startimes, Startv kupitia continental decoda na ATN kupitia TING ...so you see..watu waliojitokeza kuweka mzigo mezani..hoja za Azam TV zikwap shawishi zaidi kuliko hao wengine...

Na kingine watu mnalia Sana na DSTV Ila kiukweli DSTV asingeweza kutoa pesa hata robo ya aliyotoa Azam TV.. zingatia alichotoa kwenye ligi za Zambia na Ethiopia ambapo huko ana soko kubwa pia Kama hapa TZ.

Utasema mbona Katoa mzigo mkubwa Afrika kusini, jibu ni simple tu kule Afrika kusini DStv ni kama Azam TV kwa hapa bongo..wana wateja wengi na uhakika mkubwa wa return ..the same na Azam TV hapa ..ingekuwa Azam TV anadhamini ligi ya Kenya asingetia pesa nyingi hivi..simple kwa kuwa hana return kule.

Ukijumlisha dau ambalo angetoa washindaji wote hao.. kwa miaka kumi ijayo..isingeweza kufika dau aliloweka Azam TV..
Kwa mfano dau walilokua wameweka Startimes na Startv haifikii hata nusu ya dau la Azam Tv.
Hao TING dau lao ndo lilikua vichekesho kabisaaa...!!!
 
Sio Kweli. Tenda haikuwa Opening.

Weka Uthibitisho hapa hapa. Sote tunajua process za Tendering na Procurement method kwa mujibu wa Procurement Act 2011, Regulation 2013 na Maboresho 2016.

Ndiyo uzuri wa kujadili kwa pamoja.

Hoja ya pili hapa ni huo mkataba wa miaka 10 kwa bili 225 bila ya kujali other factors na value for money.

Je unajua vipengele vyovyote vilivyomo ndani ya mkataba.... any contract terms?

Je unajua maana ya value for money ndani ya miaka 10 ijayo? Inawezekana Azam amesaidia kuitangaza ligi na watu kupenda mpira, lakini hiyo haitoi amefanya sana biashara na haitoi uhalali wa Monopoly.

DSTV ni kama Azam kwa SA, mkataba wake hauzidi miaka 4 na anaweka mpunga wa maana.

Naomba uliangalie hili katika mtazamo chanya pasi na majungu tujadili kwa akili
Kwa nini hao waume zako dstv wasiweke mpunga wa maana mezani kama wanazo?
 
Huo ushindani wa ligi unaongezeka vipi ikiwa Azam kapewa pin ya 10 years?

Maneno kama Akili ndogo au kutafuta kazi ya uchambuzi haina uhusiano na Mjadala huu.
Kwani ushindani unaletwa na nini
 
Mtoa mada na waliokutuma kama mna pesa za maana si mkafadhi Yanga,majimaji nk mbona hatuwaoni huko?

Au mbona haufadhili ligi kuu kama voda Ili upige pesa?
 
Back
Top Bottom