Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
 
mzee huko mbali sana, hapa jana tu sakata la mbowe kuwa mahakamani alafu huku sakata la manara na simba sc/ mwamedi.
nchi ngumu sana hii😄😄
Huenda tuna watu SMART nchi hii ndio maana hamna fujo wala maandamano miaka yote

Hii inaweza kuwa ushahidi kuwa kuna ma great thinker ambao huja na plans za kutuliza mambo mabaya
 
Machinery hii ilikuwa very strong wakati wa Nyerere..

Ukisikia neno Kada ...hawa walikuwa wanasomea kabisa hadi nje ya nchi..
Hii inatoka neno cadre.....
Walikuwa mabingwa wa propaganda na fitina za kisiasa na public manipulation of opinions..

Shida Yao wakikugeuka wanafanya mambo the opposite...kama mama Yuko nao pamoja
Hakuna atakalo shindwa
Je Yuko nao pamoja?
 
Quality ya thinking process ya hao "mathinker" walioko nyuma ya rais ni ya hovyo mno aisee

Yaani maamuzi yanafanyika mpaka mwananchi wa kawaida unashangaa kabisa,whats this nonsense?
unamaanisha washauri wa rais?
 
Quality ya thinking process ya hao "mathinker" walioko nyuma ya rais ni ya hovyo mno aisee

Yaani maamuzi yanafanyika mpaka mwananchi wa kawaida unashangaa kabisa,whats this nonsense?
Mkuu fikiria vizuri,
Inawezekana kukufanya ukasirike ni sehemu ya plan, then baadae watakufanya ufurahi,

Mfano issue ya bando huenda ilikua calculated kiasi kwamba hata boss wa wizara hakujua akaea anatetea tu mwisho wa siku akaachwa solemba

Lakini mimi nawaza tu huenda ni kweli au ni uongo
 
Kama kweli wapo wanaofanya hiyo kazi, kitendo cha kusema gari ya magereza ni mbovu ili Mbowe asifikishwe Mahakamani ni cha kijinga sana. Siamini kama wamekosa kitu cha kutudanganya ili tuamini
 
mzee huko mbali sana, hapa jana tu sakata la mbowe kuwa mahakamani alafu huku sakata la manara na simba sc/ mwamedi.
nchi ngumu sana hii😄😄
Usimfanye Manara kuwa story kubwa hapa nchini, he's a nobody zaidi ya kuwa an opportunist. Manara si mtu muhimu ndani ya nchi yetu, leave him alone ajiharibie maisha kwa porojo zake na hasira za kufukuzwa Simba.
 
Kama kweli wapo wanaofanya hiyo kazi, kitendo cha kusema gari ya magereza ni mbovu ili Mbowe asifikishwe Mahakamani ni cha kijinga sana. Siamini kama wamekosa kitu cha kutudanganya ili tuamini
Mkuu hujaelewa nadharia yangu, kwenye plan huenda kuna mastermind na shabiki, mastermind anakuwa anajua whole plan huyu shabiki yeye hajui chochote anafanya hivo kumkomkomoa wembo
Sijui umenielewa???

Ila hii ni nadharia tu you can argue
 
Quality ya thinking process ya hao "mathinker" walioko nyuma ya rais ni ya hovyo mno aisee

Yaani maamuzi yanafanyika mpaka mwananchi wa kawaida unashangaa kabisa,whats this nonsense?
Huenda wanatimiza jikimu lao kimharibia mbele ya jamii bila bibi kujua.
Kimsingi kuna watu smart na hatari nyuma ya pazia.
1. Kuna washauri wa rais...watu makini kabisa lkn pia ni hatari kutokana kuaminiwa zaidi kwao pia wanaweza kukupotosha makusudi.

2. Kuna watu wa usalama...hawa ni wazee konki ambao hata DG hupokea ushauri kwao, hawa nao ni hatari, ndio wapanga matukio hatari.
Katika hili nambuka kipindi cha Kikwete kuna tajiri mmoja Mwarabu, alikuwa muuza ngozi maarufu kwenda uarabuni na muwindaji halali na haramu "Ali"
Huyu alikuwa haguswi na mtu na JK alimkingia kifua kwa nguvu zote, lkn siku moja alisafiri mkongwe mmoja ngosha kwenda Ar, alipofika Arusha aliomba gari polisi na askari 2 tu kwenda kumkamata, alipofika tu Ali aliyeyuka akanyoosha mikono juu. Huyu mzee alimsafirisha peke yake kuanzia KIA hadi Dar.
Ni mzee mtata anaogopwa sio kawaida lkn huwezi kumwona mbele ya kamera.
 
Hao greater think ndiyo wametengeneza case fake na ya utopolo ya ugaidi ambayo wanashindwa kuiendesha na kuishia kusingizia kuwa hakuna usafiri
Inatakiwa utulize skili uweke ushabiki pembeni ndio utaelewa huu uzi.

Mastermind ni sawa na Director au mtunzi wa movie, Movie yenyewe ni kati ya Mbowe ambaye ni CDM vs government, hivyo basi lwenye hii movie kila upande unatamani ushinde, na kila upande unamashabiki wenye nguvu na mamlaka, mashabiki wa upande wa pili sio ajabu kufanya chochote sababu wanamamlaka maana nawao wanatamani washinde kesi lakini kiuhalisia unakuta hawaeielewi vizuri movie

All in all hizi ni hisia tu huenda hazina ukweli wowote
 
Back
Top Bottom