Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu


Kama kweli wapo wanaofanya hiyo kazi, kitendo cha kusema gari ya magereza ni mbovu ili Mbowe asifikishwe Mahakamani ni cha kijinga sana. Siamini kama wamekosa kitu cha kutudanganya ili tuamini
 
Jaribu kuangalia designated survivor
Series moja inazungumzia maisha ya rais wa marekani ndio utajua ikulu wapo hao watu nadhani na hapa kwetu wata kuwepo piaa watu wanaoumiza kichwa rais aseme Nini kwa wakati gani
 
Unaweza kukuta pia kuna makada Wa chadema wanatumiwa na hao magreat thinkers kuchafua hali ya hewa
 
Raisi ni Tasisi ,Kwa hiyo wazo lako ni ukwer mtupu Kwa asilimia Mia moja .kuna kitu kwenye Taifa lolote kipo (propaganda ) ukisoma vizuri Sana ukaelewa utacheka tuuuu.
 
Sasa hivi inakuja R.P.G (Rocket Propelled Grenade) ya kuisambaratisha issue ya kujadili katiba mpya plus kuongelea kesi ya mbowe

Nayo ni mabadiriko mapya ya vifurushi
😄😄😄😄😄😄
watu wote tutaanza kujadili vifurushi

This theory may be true wakuu

Cc
Behaviourist
Mwifwa
et al
 
Mtoa uzi umejitahidi kutupa uzi mzuri,ila hukulitendea haki neno "great thinkers" mimi naona ungewaita hao watu "watoa maamuzi" ,mimi ninaushahidi hao watu maamuzi yao huwa siyo ya kuumiza kichwa mpaka uwaite "great thinkers" ,mfano ni pale wanapoamua mtu fulani atekwe au apotezwe hivi suala hilo linahitaji kuwa great thinker kweli
Mkuu hii thread haihusiani na mambo ya utekaji
Soma uelewe
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
Wangekuepo asingeongea utumbo na kikeke,ccm kumejaa wajinga n vilaza
 
Wangekuepo asingeongea utumbo na kikeke,ccm kumejaa wajinga n vilaza
Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena. Asante!

upo hapo mkuu 😀
 
Vifurushi kupanda vimesitishwa 😄😄😄😄
Wiki nzima vinapewa promo ya kupanda, jiulize kwanini ??
Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena.
Asante!

cc: Mwifwa Behaviourist The Boss
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
State within a state
 
Dahh...ile 1.5 tr kila nikiikumbuka inaniuma kama ndo ilichukuliwa jana [emoji24][emoji24][emoji24],jamaa alikuwa anakoga pesa sio kuiba[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hivi hiyo ingepelekwa kujenga mabweni tu kwa ajili ya watoto wa kike nafikiri nchi nzima watoto wa kike wangekuwa bweni
 
Huenda tuna watu SMART nchi hii ndio maana hamna fujo wala maandamano miaka yote

Hii inaweza kuwa ushahidi kuwa kuna ma great thinker ambao huja na plans za kutuliza mambo mabaya
Na huenda tunawajinga wengi ndo maana yote hayo hayatokei.
 
Uzi unaweza ukawa mzuri lakini wakiuingilia watu wa chadema unapoteza ladha kabisa
 
Uzi unaweza ukawa mzuri lakini wakiuingilia watu wa chadema unapoteza ladha kabisa
CHADEMA wamekata tamaaaa Kwa asilimia mi moja hawana hata direction .wapo sawa na mgonjwa ambae dactari kamuereza kuwa hutapona ........mlijimwambafwai baada ya jpm kufariki mkaanza kutikisa kiberiti ...picha likaanza kichwa kikaliwa mkafanya macofence ya kutosha tena mfululizo wiki hiii naona mmepoa ..duuuuu poleeni saana .. stupid people is chadema
 
Mkuu hats kesi ya SABAYA itatengenezwa tukio kubwa nchini alafu jamaa atahukumiwa jela miaka 2 au faini milioni 1 .Siku ya pili media,magaazeti, wananchi wako bize na hilo tukio huku SABAYA wanamchoa kiaina
 
Back
Top Bottom