Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

Machinery hii ilikuwa very strong wakati wa Nyerere..

Ukisikia neno Kada ...hawa walikuwa wanasomea kabisa hadi nje ya nchi..
Hii inatoka neno cadre.....
Walikuwa mabingwa wa propaganda na fitina za kisiasa na public manipulation of opinions..

Shida Yao wakikugeuka wanafanya mambo the opposite...kama mama Yuko nao pamoja
Hakuna atakalo shindwa
Je Yuko nao pamoja?


Yani kama bado mnajivunia fitina, manipulations of opinions n.k basi bado tuna Safari ndefu sana ya kufikia demokrasia ya kweli, haki na Uhuru wa maoni etc!

Yani umeandika kama vile ni mambo mazuri ya kujivunia na kuona fahari?!
 
Yani kama bado mnajivunia fitina, manipulations of opinions n.k basi bado tuna Safari ndefu sana ya kufikia demokrasia ya kweli, haki na Uhuru wa maoni etc!

Yani umeandika kama vile ni mambo mazuri ya kujivunia na kuona fahari?!

Kwenye siasa hakuna hayo unayosema

Siasa na Fitina ni mapacha
 
Quality ya thinking process ya hao "mathinker" walioko nyuma ya rais ni ya hovyo mno aisee

Yaani maamuzi yanafanyika mpaka mwananchi wa kawaida unashangaa kabisa,whats this nonsense?
🤣🤣🤣 Vichwa vya train kukutwa bandarini halafu eti havina mwenyewe
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
Nyuma ya raisi kuna vibaraka wa wazungu wanaopigana kufa na kupona kuwaua waafrika wenzao ili wamfurahishe mzungu
 
mzee huko mbali sana, hapa jana tu sakata la mbowe kuwa mahakamani alafu huku sakata la manara na simba sc/ mwamedi.
nchi ngumu sana hii[emoji1][emoji1]
Nyuma ya pazia hakuna great thinkers ila kuna vibaraka wa wazungu wanaopigana kufa na kupona mzungu afurahi
 
Hao greater think ndiyo wametengeneza case fake na ya utopolo ya ugaidi ambayo wanashindwa kuiendesha na kuishia kusingizia kuwa hakuna usafiri wa kuwaleta watuhumiwa mahakamani?
Pia hao great thinkers wamejificha kwenye mgongo wa jeshi. Ukitoa jeshi la wananchi na police hakuna kitu
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna
mi nakataa na kusema hii nchi Haina magreatthinker Ila tuna magreatsinker na ndo wametufikisha hapa tulipo, hivyo unavovisema mbona haviitaji ugreatthinker.
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
Kuna nyakati hufika hizo mbinu hazifanyi kazi kabisa. Kila nikitafakari naona bila katiba mpya nyakati hizo zipo karibu saana!!
 
Kwenye siasa hakuna hayo unayosema

Siasa na Fitina ni mapacha


Hususa za bongo, kwenye nchi zenye demokrasia ya kweli wakifanyiwa hayo wananchi wakabaini ukweli huwa wanawazingua hao viongozi.

Na saingine hata hao vingiongozi kuamua kujiuzuru kwenye uongozi pale inapojulikana kuwa kuwa kuna manipulation imefanyika.
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
Hujakosea...
Naomba niishie hapo
 
Kwa yale mahojiano ya bbc hao great thinkers behind the scene waende hata veta wasomee tu hata ufundi welding
 
Manara aacha kazi simba sc, Gwajima azipomda chanjo, Manara ahamia Yanga, Gwajima aitwa na kamati kujieleza 😃
Huku home umeweka umeme wa elfu tatu imekatwa elfu mbili, akili iko busy kufuatilia Manara na Gwajima Mbowe utamkumbuka lini?

If this theory is true! Then we have great thinkers, they calculated it before.

Cc Wyatt Mathewson hearly bado mnabisha?
 
You should define maana ya great thinkers? Nothing in CCM represent a thinker, leave alone great thinker, sijui simtank thinker, Hakuna! Kuna PhD za unafiki!

Mtoa uzi umejitahidi kutupa uzi mzuri,ila hukulitendea haki neno "great thinkers" mimi naona ungewaita hao watu "watoa maamuzi" ,mimi ninaushahidi hao watu maamuzi yao huwa siyo ya kuumiza kichwa mpaka uwaite "great thinkers" ,mfano ni pale wanapoamua mtu fulani atekwe au apotezwe hivi suala hilo linahitaji kuwa great thinker kweli

Wewe ndo unaona kawaida kwa kuwa huwa na majibu yako. Lakini hao watu huwa picked up out of many…. Shida Ni Sisi kuwapaga matukio kwa mindi zetu. Mfano. Tukio la kupigwa risasi Lisu hali wezi kuwa la usalama kwa maana upigaji wa risasi na dereva Pia kubaki mzima Kama vile hakuwepo na Gari Halikuwa bulletproof. Mazingira na namna Sio kabisa. Lakini inawezekana pia wakasema watu watawaza kwa kutumia akili na watasema usalama hauwezi kukosa shabaha kiasi hicho. Nia yao ikiwa Ni kumtisha na kumtia kilema tu. Ingawa hii nayo haina uzito kwa mtu mwenye akili. So hawa watu ukidhani umewaelewa Kumbe ndo wao wanataka ufikirie hivyo na wapo humu wa kutosha wanachangia mnavyotaka Nyie ili wajue mind zetu
 
Wakuu habari,

Haya ni mawazo yangu tu, ambayo nimekuwa nikifikiria kwa muda mrefu pengine ni nadharia tu kwa sababu sina uelewa wa kutosha lakini hainizuii kufikiria na kutafakari,

Nitatumia mifano ya awamu ya 5 na 6 kueleza mawazo yangu ambayo nimekuwa nikiyafikiria,

Inawezekana kuna watu wenye elimu kubwa, wataalam wa saikolojia, sosholojia, sinema, siasa uchumi n.k ambao hatuwajui na hawafahamiki kwa umma na baadhi ya viongozi mbali mbali wa kisiasa, watu hawa hukaa chini na kuumiza vichwa kuilinda nchi na kiongozi aliyepo madarakani kwa kutumia akili kubwa na ustadi wa hali ya juu.

mfano kipindi cha Sakata la Trilioni 1.5, ambalo liliibuliwa na mheshimiwa Zitto, kuna watu mbali mbali walijitokeza kumsaidia Mh hayati wengine wakaanza kutoa lecture, lakini ile issue ilikuja kumalizwa ndani ya dakika 1 tu kwenye press ya kuapisha viongozi wapya kama sikosei, C.A.G alikuwepo akaulizwa je kuna pesa yeyote iliyopotea?? Akajibu hapana basi sakata likawa limeisha pale pale (je aliyeplan hii technique ni Mh Magufuli peke yake? Je kuna watu wengine ?)

Issue ya Corona mnakumbuka jinsi ambavyo Mh Magufuli ali deal nayo? Zile technique za kupereka mapapai maabara mnazikumbuka? Pengine haikuwa kweli lakini watu waliamini na kuondokana na hofu ya corona na maisha yakaendelea kama kawa (je alifikiria peke yake ? Au kuna watu wengine walimsaidia?)

Mnakumbuka issue za wananchi kuusimamisha msafara wa Mh Raisi?? Je kuna watu wanahusika kustage tukio na kuandaa movie nzima? Je Lengo ni nini??

Mnakumbuka Mange aliwahi kuitisha maandamano uchwara, siku moja kabla wazee wa kazi wakawa wanafanya usafi maeneo mbali mbali ya mijini? Mnakumbuka?? Mwisho wa siku hakuna aliyeingia bara barani wengine hawakwenda kufungua maduka kariakoo wakajifungia majumbani kwao hakuna aliyeandamana,

Nikiwaza sana hawa watu ni akina nani je wana CCM jibu ni hapana si unaona akina pole pole na Bashiru leo hii hawana Sauti, akina Makonda, Sabaya n.k hawa huenda walikuwa wanashabikia tu hawajui kuwa kuna smart people behind the presidency who think and make thiings happen??

Wakuu au nimekosea kufikiria?? Je kuna ukweli wowote?
Raisi ni taasisi, na taasisi huundwa na departments tofauti, na kitu kingine unatakiwa kujua raisi kama mtu hupita lakini nchi hubaki na taasisi yake ya uraisi, hivyo unaweza ona kwamba nchi kama familia baba hawezi simama pekee ake au mama pekee ake na familia ikasimama, conclusively kuna watu kama baraza la mawaziri, wabunge, wasomi nguli,majeshi wote hao husimama kuizunguka tasisi moja ili iweze kusimama imara na kusonga, na laiti kama one of such department fails tasisi kama raisi inashindwa kuperform na kusimamia taifa, and what is happening in Somalia au Lebanon and Congo comes to happen.
 
Wewe ndo unaona kawaida kwa kuwa huwa na majibu yako. Lakini hao watu huwa picked up out of many…. Shida Ni Sisi kuwapaga matukio kwa mindi zetu. Mfano. Tukio la kupigwa risasi Lisu hali wezi kuwa la usalama kwa maana upigaji wa risasi na dereva Pia kubaki mzima Kama vile hakuwepo na Gari Halikuwa bulletproof. Mazingira na namna Sio kabisa. Lakini inawezekana pia wakasema watu watawaza kwa kutumia akili na watasema usalama hauwezi kukosa shabaha kiasi hicho. Nia yao ikiwa Ni kumtisha na kumtia kilema tu. Ingawa hii nayo haina uzito kwa mtu mwenye akili. So hawa watu ukidhani umewaelewa Kumbe ndo wao wanataka ufikirie hivyo na wapo humu wa kutosha wanachangia mnavyotaka Nyie ili wajue mind zetu
Wana akili kumfikia Edward Snowden?
 
Leo anaelekea Bagamoyo kuandaa movie ya utalii, ama kweli u raisi unamambo mengi.
 
😃😃😃😃😃

Sakata la kukataa chanjo possibly ilikuwa ni movie
 
Back
Top Bottom