Ni kweli Geoff they ARE THERE TO STAY kwa sababu kama yalivyo mabadiliko ya dunia from ukoloni to globalization, nyumba ndogo zinaundergo mabadiliko hayo so lazima zitaendelea kubuni mbinu mpya ili tu ziendelee kuwepo so kama tunavyoona mwanzoni walianza kuvutia wanaume kwa kutoa massage na maneno mazuri na mambo ya shanga, mkatoka mbio oh mke wangu havijui hivi so it was a justification for you to have them, now utandawazi zaidi umeleta mambo ya kujiexpress nyumba ndogo wamedaka, wakaiadvertize waume kama kawa haooo wakashangilia so next time watakuja na tundu za pua....... so as you see new appertizer kila mara lazima ZISTAY tu huku mifuko ikiendelea kutobolewa!